Nashukuru mkuu. Na mimi pia nina bahati kumpata huyu mwanamke.Aisee yaan nimejikuta tu nafurahi, yaani ningepata mume kama wewe cpati picha ningekuwa na furaha kiasi gani
Nampongeza mkeo kwa bahati aliyoipata!
Kwani bado haujawahi kukutana na mtaalam wa kuzipiga hizoHa ha ha eeh na zile fomesheni za 4*4
kumbenakutakia kira la heri, katika kutafta zawdi, usisau kumkuna vizuri baada ya kununua zawadi, mkifika kitandani pia zawadi ya kumkunja inahusika sana, mkunje mpaka akwambie miguu inamuuma au kiuno kinamuuma, mkunje mpaka akuite baba majina ya watoto wako wawili, apo zawadi, itakuwa imenoga, maana huspo fanya hivyo, hatari yaja.kifo cha mende kiusike baada ya zawadi.
Hahaaa...kuna siku atakuja tena kuomba ushauri wa zawadi gani amnunulie mtoto wake maana amekuwa wa kwanza.....Huwa najiuliza kila siku ikiwa mambo ya kawaida sana kama haya (yaani ukae na mkeo 2-3 yrs usijue kitu anachokipenda??) mtu anakilimbilia JF watawezaje ku manage issues kubwa kubwa za kifamilia? Kila kitu kidogo break ya kwanza JF ina maana uwezo wa akili zetu umeshuka sanaa??
Get her out on a romantic couples dinner....southern sun, kempinski et al.
Ukiwa huko utamtolea a very fine gold chain wit her name initial on it ukiwa kwenye kile ki pouch chake well decorated as a gift.
Then mwambie (utareplace nancy wit ur wife's name)
" Nancy sweet love u have been a blessing nd have brought much joy nd sunshine in my life. Our kids and Me have been soo fortunate to have u as part of our family. Accept this little gift as sign of my sincere/genuine appreciation to u, I love and adore u much my Queen "
Then utamvalisha na kumkiss. Thats it Lol...asipotoa chozi mi najitoa JF.
Hahahaha u wish what ?? LolI wish [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25]
Aisee yaan nimejikuta tu nafurahi, yaani ningepata mume kama wewe cpati picha ningekuwa na furaha kiasi gani
Nampongeza mkeo kwa bahati aliyoipata!
Ukiona mpaka kaamua kulileta hapa ujue wameishi takribani miaka mingi na hajawai kuliona kosa la kuumiza,ukiwa unapenda sana kurejea ya nyuma kwakweli utakua hufanyi maamuzi yoyote magumu katika maisha yako,hongera yake kwa kupata mke mwema maana wanawake wa miaka hii wengi tunawajua walivyo hata kama umtoe Chato leo hii atakuaribikia tu.Jidanganye tu.. hata Yesu alimpenda Yuda lakini still alimsaliti... ila uzuri unaishi kwa imani.
Kupata wa kuniambia maneno hayo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hahahaha u wish what ?? Lol
Sijui kwa nini baadhi ya wachangiaji hawaamini nikisema 'hajawahi kuchepuka'. Mkuu nasema kweli, kweli tupu. sina haja ya kudanganya.Hajawahi kuchepuka?!huwajui vzuri wanawake endelea hivyo hivyo mkuu
Endelea kuamini unachokijua mkuu....maisha ya siku hizi yqmejaa drama ndio maana watu wanashindwa kuaminianaSijui kwa nini baadhi ya wachangiaji hawaamini nikisema 'hajawahi kuchepuka'. Mkuu nasema kweli, kweli tupu. sina haja ya kudanganya.
Hahaha utapata honey usijali. [emoji4]Kupata wa kuniambia maneno hayo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]