Ushauri: Nimpe zawadi gani mke wangu?

Ushauri: Nimpe zawadi gani mke wangu?

Muda wote huo mmekuwa kwenye mahusiano/ndoa ila hujui zawadi ya kumpa mkeo? Unafeli sana, Chief.

Hahaaa...kuna siku atakuja tena kuomba ushauri wa zawadi gani amnunulie mtoto wake maana amekuwa wa kwanza.....Huwa najiuliza kila siku ikiwa mambo ya kawaida sana kama haya (yaani ukae na mkeo 2-3 yrs usijue kitu anachokipenda??) mtu anakilimbilia JF watawezaje ku manage issues kubwa kubwa za kifamilia? Kila kitu kidogo break ya kwanza JF ina maana uwezo wa akili zetu umeshuka sanaa??
 
Hahaaa...kuna siku atakuja tena kuomba ushauri wa zawadi gani amnunulie mtoto wake maana amekuwa wa kwanza.....Huwa najiuliza kila siku ikiwa mambo ya kawaida sana kama haya (yaani ukae na mkeo 2-3 yrs usijue kitu anachokipenda??) mtu anakilimbilia JF watawezaje ku manage issues kubwa kubwa za kifamilia? Kila kitu kidogo break ya kwanza JF ina maana uwezo wa akili zetu umeshuka sanaa??
Huu sasa ni ukorofi. mada za aina hii zinajadilika sehemu yoyote ile; iwe kijiweni, bar, hotelini, kwenye basi. Hata JF pia. Siku nyingine kabla hujaanza kukandya, toa kwanza ushauri mzuri ili tujue uwezo wako wa kufikiri uko juu au chini kiasi gani.
 
Teh teh..Wazee wa dinner za kwenye mvua..Mwite na rafiki yako mtoe ushauri
Hahah mtoa mada yupo serious kweli au anatutania?

kipengele cha zawadi ufilipino ni cha muhimu kuliko hata kula kwanza unapotea kidogo ukirudi na hiyo zawadi mke anazimia siku mbili...
Hahah wapi partner Benny na kati ya ufilipino. Mtuwacheeee
 
Mpaka hapa nimejifunza kuwa mkeo ni mama wa nyumbani. Ningekuwa mimi ningemfungulia kamradi akasimamie kimuingizie kipato na kipato hicho kiwe ndo Zawadi kwake. Mfano,kwa Kuwa kipato chako sio kikubwa cha kumudu kumnunulia gari, basi mnunulie bodaboda mbili, tafuta operator waaminifu uingie nao mkataba. Every week wakuletee wife kiasi flani cha pesa, maybe after 2 years bodaboda inakuwa Mali ya operator. Ukisimamia vizuri zitazaa sana na hicho kipato ni cha wife kama Zawadi kwake. Inakuwa Zawadi endelevu.
JF , will Remain but other social networks gonna perish.
Ushauri Mzuri Sana.
 
Ndugu kwanza hongera sana kwa kumpenda mkeo na kutambua thamani yake ..pia unaweza kumtoa out walau siku mbili tu akalale hoteli nzuri za hapa mjini nadhdani utamudu gharama


Jambo la pili mshukuru sana mkeo kwa kuwa msiri kiasi hicho nadhani mkeo anafaa sana kuwa mtu wa usalama
Mkuu, huu ni mwaka wa 8. Nimemchunguza sana sana sana, mpaka moyo wangu umetulia tuli. Hakuna hata dalili ya usaliti. Mpaka leo hii usaliti hua nasikiaga tu redioni, kwa majirani na magazetini.
 
Huu sasa ni ukorofi. mada za aina hii zinajadilika sehemu yoyote ile; iwe kijiweni, bar, hotelini, kwenye basi. Hata JF pia. Siku nyingine kabla hujaanza kukandya, toa kwanza ushauri mzuri ili tujue uwezo wako wa kufikiri uko juu au chini kiasi gani.
Mpaka hapo tyr uwezo wake inaonesha uko chini Sana.
mi Nampa pole mwalimu aliyemfundisha kujua Kusoma na kuandika Aisee huyu jamaa alimtesa Sana huyo Mwalimu Mwenzangu .
 
Back
Top Bottom