HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,703
- 48,143
Tunaelewana vizuri sana.Kumbe hatuelewani hapa. Mie sijamshauri mtu kunyonya na wala sijasema nafanya hivyo au la. Hizo ni siri za ndani za watu.
Mimi nilikuwa najadili hoja hiyo ktk mtazamo chanya. Kama kuna anayenyonya sawa tu, ni maamuzi yake. Kama kuna wasionyonya, sawa tu ni maamuzi yao.
Pia hapa tunaongelea mwanamke anayejiheshimu, habari ya kinyume na maumbile... no no no.
Mimi nilikuwa natolea mifano na kautani, wala sijakushutumu.
Mbona bado tuko njia moja hatujapishana