Ushauri: Nimpe zawadi gani mke wangu?

Ushauri: Nimpe zawadi gani mke wangu?

Kuwa mwaminifu mpende mjali na zaidi kabisa simama naye wakati wa shida na raha kuwa upande wake. Hii ni zawadi kubwa sana.
Sijajua uwezo au zawadi yako ya dhamani gani. Mnunulie hereni na mkufu wa dhahabu.
 
Kulingana na maelezo yako naona vyeto alivyofanya ni wajibu wake, mpe tu zawadi kwa kuwa ni mke wako lkn sijaona cha ziada cha kutuumiza vichwa hapa
 
Hongera walau tunapata watu wanaoona mema kwa wapenzi wao,endelea kumjali,Mwambie unampenda na unamthamini
Ishu ya gari sawa uwezo hauruhusu kwa sasa ila jiwekee lengo hata baada ya mwaka au miwili au mitatu Mungu akikujalia basi mtimizie mana ishu ya usafiri hasa mijini sio anasa tena haswa Ukiwa na watoto,ila usimwambie hadi utimize
 
Heshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Hakuna zawadi nzuri unayoweza kumpa kama kumkojoza. We endelea kumpa hiyo zawadi alafu kitu kingine utakachokimudu kitakachomfanya ajisikie kwenda na wakati, kama simu kali, au hata kumpeleka tour maeneo ambayo hajawahi fika kama mbuga za wanyama au hapo Zbar itafaa pia... Hongera kwa kupata mke mwema...
 
Kama unampenda sana na unamjali na unataka kumpa zawadi nzuri, oa mke wa pili ili kumpunguzia majukumu na yeye aishi kwa raha.
 
Uzidishie UPENDO wa Dhati Tu

Mthamini Kama Mkeo Kipenzi Tena Mwaminifu Kwako

Ulimkuta Bikra?

Wewe ni mwanaume Wa Kwanza Kutoa Bikra Yake?

Bikra Ipi?

NAPITA Tu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
mpe zawadi ya kujua pass word, nywila, neno la siri la akaunti yako ya benki, facebook, jamiiforums, simu yako ya mkononi, vilevile mruhusu muda wote achezee simu asome meseji na kupokea simu muda wote
Sawa mkuu. Password ya simu na benki anazijua. Pia simu zetu sio siri hata akitaka naweza kumuachia cku nzima. changamoto za simu tulishazimuka zamani. sometym huwa natumia simu yake kusoma email yangu na huwa sisai out, hivyo naye aziona hizo emails.
 
Kuwa mwaminifu mpende mjali na zaidi kabisa simama naye wakati wa shida na raha kuwa upande wake. Hii ni zawadi kubwa sana.
Sijajua uwezo au zawadi yako ya dhamani gani. Mnunulie hereni na mkufu wa dhahabu.
Nafikiria kumnunulia hereni na mkufu. Ndo uwezo wangu huo mkuu. Asante
 
Hongera walau tunapata watu wanaoona mema kwa wapenzi wao,endelea kumjali,Mwambie unampenda na unamthamini
Ishu ya gari sawa uwezo hauruhusu kwa sasa ila jiwekee lengo hata baada ya mwaka au miwili au mitatu Mungu akikujalia basi mtimizie mana ishu ya usafiri hasa mijini sio anasa tena haswa Ukiwa na watoto,ila usimwambie hadi utimize
Nashukuru mkuu... Kipato kikikaa sawa tu... nafanya kweli
 
Hakuna zawadi nzuri unayoweza kumpa kama kumkojoza. We endelea kumpa hiyo zawadi alafu kitu kingine utakachokimudu kitakachomfanya ajisikie kwenda na wakati, kama simu kali, au hata kumpeleka tour maeneo ambayo hajawahi fika kama mbuga za wanyama au hapo Zbar itafaa pia... Hongera kwa kupata mke mwema...
Hahahaa kumkojoza noma, watakushtaki. Basi tutumie tafsida, kumkuna kisawasawa. [emoji4] [emoji4]
 
Back
Top Bottom