Hahah..Bro kozi hua naipata kwa douta hapa napaste vitu vyake tu!Teh teh..Bro itabidi nije kuchukua kozi aisee..
Hahah na smile smile hapa dooh..inabidi tutafute viwanja nje ya mji kabisa ili utulivu na mvua vihusikeTeh nafanya booking mapema. Itakuwa uwanja gani tena teh, I hope mvua itashuka
Teh yani baada ya ile Dinner yako nilijiona bado mwanafunzi kabisa, so narudi tu class unipe mamboHahah vingi nimecopy kutoka kwako ujue...
Hahah..Bro kozi hua naipata kwa douta hapa napaste vitu vyake tu!
Teh mvua lazima mbonaHahah na smile smile hapa dooh..inabidi tutafute viwanja nje ya mji kabisa ili utulivu na mvua vihusike
Huu sasa ni ukorofi. mada za aina hii zinajadilika sehemu yoyote ile; iwe kijiweni, bar, hotelini, kwenye basi. Hata JF pia. Siku nyingine kabla hujaanza kukandya, toa kwanza ushauri mzuri ili tujue uwezo wako wa kufikiri uko juu au chini kiasi gani.
Teh yani baada ya ile Dinner yako nilijiona bado mwanafunzi kabisa, so narudi tu class unipe mambo
Teh mvua lazima mbona
Mnunulie sukari mkuu. Sukari tu inatoshaHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Nimewahi kumnunulia. Ila nilipanga hii iwe bab kubwa. Tarehe 26 mwezi huu tunakamilisha miaka 8 ya ndoa yetu. Cku hiyo nitamtoa out na nitamshukuru kwa niaba yangu na ya watoto wetu 2 kwa UPENDO & JITIHADA zake.Wewe ulishawahi kumnunulia mkeo/mumeo/mtoto zawadi? Je hujui ni zawadi gani aipendayo? Hapo ulipo hujui mkeo/mumeo anapendelea nini/hataki nini? Kwenye birthdays (hata kama siyo zote) hujawahi kumnunulia mwenzi wako zawadi/kumpeleka out for the occasion??
Haha...Mkuu upo vizuri ila kabla hujajitoa JFGet her out on a romantic couples dinner....southern sun, kempinski et al.
Ukiwa huko utamtolea a very fine gold chain wit her name initial on it ukiwa kwenye kile ki pouch chake well decorated as a gift. Then mwambie
" Nancy sweet love u have been a blessing nd have brought joy nd sunshine in my life. Accept this little gift as sign of my sincere appreciation to u, I love u soo much my baby mama "
Then utamvalisha na kumkiss. Thats it Lol...asipotoa chozi mi najitoa JF.
Hahahahaaaaa... hiyo itaonekana nimeleta chakula nyumbani. [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Mnunulie sukari mkuu. Sukari tu inatosha
No utamwambia nimeleta kitu adimuHahahahaaaaa... hiyo itaonekana nimeleta chakula nyumbani. [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Hiyo kempiski et all si ipo dar? sisi hatuisho dar; Ila ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwili.Get her out on a romantic couples dinner....southern sun, kempinski et al.
Ukiwa huko utamtolea a very fine gold chain wit her name initial on it ukiwa kwenye kile ki pouch chake well decorated as a gift.
Then mwambie (utareplace nancy wit ur wife's name)
" Nancy sweet love u have been a blessing nd have brought much joy nd sunshine in my life. Our kids and Me have been soo fortunate to have u as part of our family. Accept this little gift as sign of my sincere/genuine appreciation to u, I love and adore u much my Queen "
Then utamvalisha na kumkiss. Thats it Lol...asipotoa chozi mi najitoa JF.
Ila kumbuka mapenzi hayana kiapo mkuuHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Naogopa mkuu, nisije kuanzisha ugomvi ambao sitaumudu.Angalia ww usichepuke tu.