Inshaalah..Hadi raha jamani!
Ni faraja kubwa pale mwenza anapoona mchango/bidii na loyalty iliyopo ndani yako na akatafuta namna ya kukuonesha kushukuru namna hii.
Hata kama utampa zawadi,nakushauri pia umlipe mkeo upendo na uaminifu kama vile yeye anavyokufanyia.
Sijui hata niseme nini cha zaidi,ila nimeipenda sana hii.
Kumbe kuna family zina upendo namna hii?Lucky you guys.
Yaa Raby nijaalie Mume kama huyu mimi pamoja na wanawake wenzangu....Aamin [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Sawa mkuu. wadau wametoa michango iliyojaa busara na hekima, pamoja na kuungana na mimi kumpongeza my wife wangu. nadhani na yeye atajisikia vizuri kwa pongezi hizi.Haya maneno ulioandika humu,mwambie usiache hata nukta.Hii ni zawadi tosha..
mkuu mtu yoyote ukimtazama kwa kumtazama huwezi kuona makosa yake...mtazame tena alafu tena alafu mchunguze ila jiandae na negative pia otherwise utajikuta ICUSawa, sina uhakika wa 100% wa Wakati ujao. Ila mpaka waleo hilo neno 'kumfuma' halipo. Kwa kutazama uaminifu wake tangu nimuoe, napata ujasiri wa kumuita mke mwema.
Moro mji kasoro bahari. [emoji4] [emoji4]
Mkuu nimetumia neno kutazama kwa maana ya kudadisi na kutathmini mienendo, upendo na bidii yake kwangu na kwa watoto. Pia nimeandika sina uhakika wa 100% wa wakati ujao. Ila kwa wakati uliopita na uliopo, anastahili kila kilicho chema kutoka kwangu.mkuu mtu yoyote ukimtazama kwa kumtazama huwezi kuona makosa yake...mtazame tena alafu tena alafu mchunguze ila jiandae na negative pia otherwise utajikuta ICU
Mnunulie vitu vinne tu lakini kila kitu hapa kitampa kumbukumbu kwenye maisha yake ya kila siku atakapokuwepo. Na kuwa muaminifu zaidi juu yakoHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
😱😱😱Kapime DNA kwanza ujue km ni watoto wako halafu mpe zawadi ya mimba nyingine
Wala haihitajiki dna hapa. Watoto wamefanana na mimi utadhani nimeji-print mwenyewe. Kuanzia sura, kichwa, urefu mpaka masikio.Kapime DNA kwanza ujue km ni watoto wako halafu mpe zawadi ya mimba nyingine
Nashukuru mkuu... sikuwa nafahamu kwamba vi2 hivi vitakuwa na impact kubwa ktk maisha yake. Walahi nitazifanyia kazi.Mnunulie vitu vinne tu lakini kila kitu hapa kitampa kumbukumbu kwenye maisha yake ya kila siku atakapokuwepo. Na kuwa muaminifu zaidi juu yako
1) Herini za Dhahabu
2) Kidani cha Dhahabu
3) Saa nzuri yenye samani
4) Pete mpya ya ndoa yenye samani kuliko ya mwanzo
Hivi vitu unaweza kuona vidogo lakini vina samani zaidi ya gari au smartphone. Samani yake kila akiviangalia hukukumbuka wewe kwani sio wanaume wengi wenye kufanya vitu hivyo pia anapokwenda huwa navyo humuondolea hata hamu ya kutaka kuchepuka na mtu mwengine kwenye maisha yake. Usisahau unapompa hivyo vitu mnunulie roses na chocolate ukimpa mpige na kiss na kumwambia maneno ya upendo.