Fake lifeBadilisha Mali zote ulizonazo ziwe kwa jina lake nadhani hiyo Zawadi angalau itamfaa
Fake lifeBadilisha Mali zote ulizonazo ziwe kwa jina lake nadhani hiyo Zawadi angalau itamfaa
anastahili upendo wa dhati.... huo tu...
Kweli mkuu wakati mwingine maneno yanatimia vzr ukiweka na vitendo. MweeeeHongera sana mkuuuu,mnunulie pichu nzuri sana na pafym ya ukweli
Wanaume jifunzeni kitu hapa,mweeeeee mpende mkeo,mthamini,Maliji
Upendoo Wa maneno tuuu,mnunulie zawadi kuonyesha upendo wake kwako
Naona kwenye avatar yako umeweka picha ya simba wakikojozana. hahaaa, poa umesomeka mkuuMnunulie chupi ya gharama na muandalie gemu moja matata kidume usimamie shooo mpaka umukojoze mara mbili zawadi kubwa sana.
Mkuu umechelewa. Kwao mabinti wako watatu tu na yeye ndo wa mwisho.Kuna wanawake wamefundwa bana, hivi mkeo ana.mdogo wake vile!
Nipe direction nijaribu nyota yangu aisee.
Acha udwanzi, mambo ya kupenda sifa na macocain yameingiaje hapa?We
We jamaa unapenda sifa, mambo ya ma occasiona sijui macocain peleka huko.
Sawa kabisa mkuu. Anafahamu fika kwamba sitaki masihara. Uaminifu ni mia kwa mia.Hakuna zawadi zaidi ya upendo na uaminifu hiyo no zawadi tosha kama mkeo akijua wewe ni mwaminifu hiyo in zawadi tosha hiyo pesa nunua kitu ambacho hamna huko ndani mwenu mshirikishe aseme nini cha kununua
Ktk sharti za dua ni kosa kubwa sana kusema In Sha Allah.Inshaalah..
Ok, tupe maelekezo vizuri mkuu. Hili neno wengi wanapenda kulitumia. Kumbe tunatumia isivyo sawa sawa.Ktk sharti za dua ni kosa kubwa sana kusema In Sha Allah.
Duh...sawa madamHakuna kitu tangible unachoweza kumpa ambacho sio jukumu lako, hivyo hakitaqualify kuwa zawadi.
sawa maalimu.Ktk sharti za dua ni kosa kubwa sana kusema In Sha Allah.
Ya Rabb nijalie mawarda na mahaba kwa mke wangu. Ya Allah utakase moyo wangu dhidi ya machafu etc,Hapa tunastahili kuitikia Aamini,maana hii ni dua, tunamuomba Allah,na hakika ya Mola wetu mlezi ni mwenye kuitikia maombi yetu. Ukisema In Sha Allah unaondoa uwezo wa Allah wa kukutendea lile unaloliomba,mfano :Ya Rabb nijalie mke/me mwema....ukisema In Sha Allah....unamaanisha Mungu akipenda akujalie hilo unaloliomba....hapo tunafanya makosa makubwa, Lugha ya maombi ktk uislam ni direct. Neno In Sha Allah halitumiki ktk maombi linatumika ktk kutimiza jambo fulani ambalo kidhana lipo ndani a uwezo wako ila kiuhalisia huna uwezo nalo kutokana na vikwazo ambavyo vipo nje ya uwezo wetu isipokuwa kwa utashi wa alietuumba. Mfano ; Kesho nikijaliwa nitakulipa deni lako....In Sha Allah,Kimsingi hapa nadhihirisha uwezo wakukulipa kesho upo ila malipo yatafanyika nikijaliwa uzima,hapa kwa neno In Sha Allah ninaomba Idhin ya Muumba aniamshe salamma nipate kutimiza ahad husikaOk, tupe maelekezo vizuri mkuu. Hili neno wengi wanapenda kulitumia. Kumbe tunatumia isivyo sawa sawa.
Mkuu mie maamuma kama wewesawa maalimu.
Asante sana mkuu. [emoji122] [emoji122] [emoji122]Ya Rabb nijalie mawarda na mahaba kwa mke wangu. Ya Allah utakase moyo wangu dhidi ya machafu etc,Hapa tunastahili kuitikia Aamini,maana hii ni dua, tunamuomba Allah,na hakika ya Mola wetu mlezi ni mwenye kuitikia maombi yetu. Ukisema In Sha Allah unaondoa uwezo wa Allah wa kukutendea lile unaloliomba,mfano :Ya Rabb nijalie mke/me mwema....ukisema In Sha Allah....unamaanisha Mungu akipenda akujalie hilo unaloliomba....hapo tunafanya makosa makubwa, Lugha ya maombi ktk uislam ni direct. Neno In Sha Allah halitumiki ktk maombi linatumika ktk kutimiza jambo fulani ambalo kidhana lipo ndani a uwezo wako ila kiuhalisia huna uwezo nalo kutokana na vikwazo ambavyo vipo nje ya uwezo wetu isipokuwa kwa utashi wa alietuumba. Mfano ; Kesho nikijaliwa nitakulipa deni lako....In Sha Allah,Kimsingi hapa nadhihirisha uwezo wakukulipa kesho upo ila malipo yatafanyika nikijaliwa uzima,hapa kwa neno In Sha Allah ninaomba Idhin ya Muumba aniamshe salamma nipate kutimiza ahad husika
Nitakuambia mkuu. vick wako kakufanyia nini kinachostahili zawadi specialUkishapata zawad ya kumpa nambie nami nimpe Vick wang zawad
Sawa mgosi. Huko ndiko mapenzi yalikozaliwa. Point taken.Kwetu Tanga unaweza mpeleka kwa SONARA ukamnunulia cheni au hereni ya dhahabu, ila kitu cha muhimu ni upendo tu kaka hakuna kingine.
Mimi nilifanya utani.Kunyonya uke ni kipengele mojawapo kati ya vipengele vingi kwny uwanja wa mahaba na ma romance. cha msingi ni ufundi wa kuvitumia.