- Thread starter
- #81
Ni kweli mkuu ila mimi namzawadia kwa sbb ya upendo wake wa kweli na wa dhati kwa miaka hii 8, tangu nimemuoa. Sio kwa miaka ijayo.Ila kumbuka mapenzi hayana kiapo mkuu
Ni kweli mkuu ila mimi namzawadia kwa sbb ya upendo wake wa kweli na wa dhati kwa miaka hii 8, tangu nimemuoa. Sio kwa miaka ijayo.Ila kumbuka mapenzi hayana kiapo mkuu
Kempinski, southern sun, double tree na nyingi kali ziko dar ndio..pande za masaki huko ndio kabisaa kuna viwanja vingi vikali....Hiyo kempiski et all si ipo dar? sisi hatuisho dar; Ila ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwili.
Mnunulie mkufu wa dhahabu..ni mapambo na wakati huohuo ni kama hazinaNi kweli mkuu ila mimi namzawadia kwa sbb ya upendo wake wa kweli na wa dhati kwa miaka hii 8, tangu nimemuoa. Sio kwa miaka ijayo.
Kuna watu mna allergies za kuwatia wenzenu moyo. Always with negative mind.Jidanganye tu.. hata Yesu alimpenda Yuda lakini still alimsaliti... ila uzuri unaishi kwa imani.
Heshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Mkuu, kwa upendo anaonipa huwa nataka nimfanyie ki2 kikubwa ila kipato ndo tatizo nimeishia kumnunulia simu na nguo za kawaida na mwakajana nilimtoa out mara moja.
Duuh sasa hapo kuhusu vinywaji kila mmoja ana interests zake. Ki ufupi wavae that fine casual outfit kama jamaa atapiga suit asivae tie..kuna suit za mitoko sio mpaka i match na suruali....apige mixer flan hivi classic.Haha...Mkuu upo vizuri ila kabla hujajitoa JF
naomba uwape na dressing code ya kuvaa siku hiyo...
Muda wa kwenda eneo la tukio,
aina ya parfume kwa siku hiyo na
aina za vinywaji.
Mwongeze mimba ingineHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Namba ya simu hapana. Kama unataka kumpongeza andika hapa hapa nitampa cm asome mwenyewe.KWANZA WEKA PICHA NA NAMBA YAKE YA SIMU HAPA MKUU.
Mimba no, labda baadaye sana kama uchumi utazidi kuimarika.Mwongeze mimba ingine
Kisha usinene hachepuki
don't trust a woman even if is your mama[emoji57] [emoji85] [emoji85]
OkMimba no, labda baadaye sana kama uchumi utazidi kuimarika.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] tutalifanyia kazi haya mawazo ya kumfungila kabiashara.Hongera, we ni mwanaume wa pekee kuweza kusimama na kumsifia mkeo. Zawadi kubwa kuliko zote ni UPENDO hizo nyingine ni mbwembwe tu, mpe mtaji wa kumwezesha kusimama yeye kama yeye, kuna leo na kesho ndugu.
Kila la kheri mkuu[emoji122] [emoji122] [emoji122] tutalifanyia kazi haya mawazo ya kumfungila kabiashara.
Nakubaliana nawe nilikuwa na wazo la mkufu naona itamfurahisha na nikumbukumbu nzuriGet her out on a romantic couples dinner....southern sun, kempinski et al.
Ukiwa huko utamtolea a very fine gold chain wit her name initial on it ukiwa kwenye kile ki pouch chake well decorated as a gift.
Then mwambie (utareplace nancy wit ur wife's name)
" Nancy sweet love u have been a blessing nd have brought much joy nd sunshine in my life. Our kids and Me have been soo fortunate to have u as part of our family. Accept this little gift as sign of my sincere/genuine appreciation to u, I love and adore u much my Queen "
Then utamvalisha na kumkiss. Thats it Lol...asipotoa chozi mi najitoa JF.
Mkuu kuna mtu ameishi m wenza wake zaidi ya miaka 13 amekuja kujua jamaa ni jasusi baada ya kuugua na kufa ..Mkuu, huu ni mwaka wa 8. Nimemchunguza sana sana sana, mpaka moyo wangu umetulia tuli. Hakuna hata dalili ya usaliti. Mpaka leo hii usaliti hua nasikiaga tu redioni, kwa majirani na magazetini.