Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,606
- 51,737
Wakuu kwema.
Mkazi wa Dar, nataka ninunue baiskeli kwaajili ya mazoezi na siku moja moja hali ya hewa ikiwa nzuri natumia kwenda nayo kazini (3KM kutoka nyumbani).
Naomba ushauri wenu, kwa budget ya mwisho Laki 1.5 naweza kupata aina gani ya baiskeli? Itatosha au niongeze?Je kuna brand ya kuzingatia? Kwa Dar es Salaam ni wapi nitapata kwa bei nzuri na imara? Nategemea kununua used, iwe kama hii kwenye picha (sio 100%) kama hii ila muundo huu, sio zile sewa.
Unavyonunua baiskeli naambiwa kuna size, je ni size ya matairi au? Mimi nina urefu wa cm 190 hivi je size hani itanifaa.
Nimeona nitafute basikeli kwasababu kazi yangu muda mwingi nakua nimekaa, hafu kila nikijaribu kwenda gym nashindwa kua na ratiba nzuri u akuta baada ya week naacha kwenda, na pia nataka hobby mpya.
Shukrani.
Mkazi wa Dar, nataka ninunue baiskeli kwaajili ya mazoezi na siku moja moja hali ya hewa ikiwa nzuri natumia kwenda nayo kazini (3KM kutoka nyumbani).
Naomba ushauri wenu, kwa budget ya mwisho Laki 1.5 naweza kupata aina gani ya baiskeli? Itatosha au niongeze?Je kuna brand ya kuzingatia? Kwa Dar es Salaam ni wapi nitapata kwa bei nzuri na imara? Nategemea kununua used, iwe kama hii kwenye picha (sio 100%) kama hii ila muundo huu, sio zile sewa.
Unavyonunua baiskeli naambiwa kuna size, je ni size ya matairi au? Mimi nina urefu wa cm 190 hivi je size hani itanifaa.
Nimeona nitafute basikeli kwasababu kazi yangu muda mwingi nakua nimekaa, hafu kila nikijaribu kwenda gym nashindwa kua na ratiba nzuri u akuta baada ya week naacha kwenda, na pia nataka hobby mpya.
Shukrani.