Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,605
Ajabu mada sensitive kama hizi masaa mawili post hata hazifiki 15 ila sasa mwendawazimu mmoja aanzishe uzi hapa akizungumzia ukubwa wa makalio au udogo wa maumbile ya kiume ndani ya 30minute utakuta unasoma pages 4.
Sijui Watanzania maisha tunayachukuliaje!!!
Sijui Watanzania maisha tunayachukuliaje!!!