Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,148
Hello 👋
Natarajia kupata pesa kiasi, fulani sasa nilikuwa natamani kufungua biashara ya car wash.
Napenda nijue ni eneo gani kwa Dar litafaa kwa car wash, na je, eneo hilo linakodishwa bei gani kwa mwezi? Pia vijana wa car wash wanalipwa bei gani kwa mwezi? Na vifaa vitanigharimu bei gani au nijipange na kiasi gani?
Nipo hapa nasoma comment
Natarajia kupata pesa kiasi, fulani sasa nilikuwa natamani kufungua biashara ya car wash.
Napenda nijue ni eneo gani kwa Dar litafaa kwa car wash, na je, eneo hilo linakodishwa bei gani kwa mwezi? Pia vijana wa car wash wanalipwa bei gani kwa mwezi? Na vifaa vitanigharimu bei gani au nijipange na kiasi gani?
Nipo hapa nasoma comment