car wash

A car wash (also written as "carwash") or auto wash is a facility used to clean the exterior and, in some cases, the interior of motor vehicles. Car washes can be self-serve, fully automated, or full-service with attendants who wash the vehicle. It may also be an event where people pay to have their cars washed by volunteers as a method to raise money for some purpose.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Naomba kujuzwa biashara ya kuosha magari (car wash)

    Habari wakuu, Naomba kwa mwenye ufaham wa biashara ya car wash,anipe Ushauri ni kiasi gani cha fedha kinatosha kuanzisha biashara ya kusha magari ya saizi ya kati? kama kutakua na mchanganua wa budget nzima itakua vizuri. Nina milioni 4 je inatosha?
  2. hp4510

    Nakodisha vifaa vya car wash

    Wakuu Nina set ya vifaa vyote vya kuoshea magari vipo Tu home vimekaa Sasa kama mtu anataka nimkodishe then awe ananipa % flan kila siku aje DM tuyajenge Vifaa viko Dar
  3. cleokippo

    Mwenye uzoefu wa car wash naomba anipe elimu kidogo juu ya hii biashara

    Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania, ni matumain yangu nyote mpo salama & kwa wale wenye matatizo almight god awatie nguvu. Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, nimekuwa nikivutiwa sana na biashara ya car wash kwa kubis kwamba ni biashara fln ambayo changamoto...
  4. L

    Nafasi za kazi car wash

    Laz Auto Car wash inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye uzoefu wa kazi ya kuosha magari. Waadilifu, wachapakazi, watiifu na wenye uzoefu. Laz Auto Car wash inapatikani Kinondoni nyuma ya Best Bites ya Namanga. Piga simu Na. 0717 26 33 77
  5. L

    AUZA BIASHARA YA CAR WASH

    NAUZA BIASHARA YA CAR WASH: NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA BIASHARA YANGU ILI NIKAFUNGUE INGINE HUKO NIANDAKO, TUMIA FURSA HII KUWA MJASIRIAMALI. MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 8,000,000 LOCATION...
  6. Gshtargets

    Ni mashine gani nzuri ya kuanza nayo 'Car wash' na bei yake kwa sisi wa kipato kidogo?

    Asalaam alaikum. Wakuu kuanzisha tenda ya "car wash". Nakuombeni ushauri ni mashine gani nzuri ya kuanza nayo na bei yake kwa sisi wa kipato kidogo?
  7. L

    Ushauri na Mbinu Mbalimbali Kuhusu Uendeshaji wa Biashara ya Kuosha Magari (Car Wash)

    Hi to everyone, and hope you're doin fine. Nimefikiria kuwa na mradi wa uoshaji magari sambamba na huduma ndogondogo nyingine kama pressure n.k badala ya kutojishughulisha kabisa. Ni mradi mdogo ila nimeupenda kwani is a free risk and have low operating cost as generally nahjtaji kuwa na: 1...
Back
Top Bottom