A car wash (also written as "carwash") or auto wash is a facility used to clean the exterior and, in some cases, the interior of motor vehicles. Car washes can be self-serve, fully automated, or full-service with attendants who wash the vehicle. It may also be an event where people pay to have their cars washed by volunteers as a method to raise money for some purpose.
Habari wakuu,
Naomba kwa mwenye ufaham wa biashara ya car wash,anipe Ushauri ni kiasi gani cha fedha kinatosha kuanzisha biashara ya kusha magari ya saizi ya kati?
kama kutakua na mchanganua wa budget nzima itakua vizuri.
Nina milioni 4 je inatosha?
Wakuu
Nina set ya vifaa vyote vya kuoshea magari vipo Tu home vimekaa
Sasa kama mtu anataka nimkodishe then awe ananipa % flan kila siku aje DM tuyajenge
Vifaa viko Dar
Nawasalimu kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania, ni matumain yangu nyote mpo salama & kwa wale wenye matatizo almight god awatie nguvu.
Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, nimekuwa nikivutiwa sana na biashara ya car wash kwa kubis kwamba ni biashara fln ambayo changamoto...
Laz Auto Car wash inatangaza nafasi za kazi kwa vijana wenye uzoefu wa kazi ya kuosha magari.
Waadilifu, wachapakazi, watiifu na wenye uzoefu.
Laz Auto Car wash inapatikani Kinondoni nyuma ya Best Bites ya Namanga.
Piga simu Na. 0717 26 33 77
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA BIASHARA YANGU ILI NIKAFUNGUE INGINE HUKO NIANDAKO, TUMIA FURSA HII KUWA MJASIRIAMALI.
MAELEZO:
UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 8,000,000
LOCATION...
Hi to everyone, and hope you're doin fine.
Nimefikiria kuwa na mradi wa uoshaji magari sambamba na huduma ndogondogo nyingine kama pressure n.k badala ya kutojishughulisha kabisa.
Ni mradi mdogo ila nimeupenda kwani is a free risk and have low operating cost as generally nahjtaji kuwa na:
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.