Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 543
- 524
Ataenzisha biashara ya Uber au Bolt Mbeya atapata pesa sana, pamoja na magari executive ya kukodisha.
Mimi kila nikiwa na kazi kule inagharimu ofisi yangu million 5 kusafirisha dereva na magari mabosi yaende kule ili kuwazungusha, sasa sisi wafanyakazi wengine tukifika tunabaki hohe hahe, hakuna magari ya kukodi kuzunguka kwenye mizunguko yetu wala taxi.
Taxi za mkoa wa Mbeya ni mbovu na zimezeeka mno huwezi kupanda ukiwa na roho ndogo. Wajasirimali mfikirie hili. Pamoja na kuwa na taxi mbovu bado unachajiwa bei za ajabu.
Unaweza lipa 30,000 hadi 40,000 umbali wa mwenge- posta tena. Kukodisha kwa siku gari mbovu mbovu imechoka mtu anataka 100,000 hapo ni mzunguko wa jiji dogo kama sinza.
Kwa kweli wenye mahoteli mbeya angalieni hili pia, muwe na magari kwajili ya wateja wenu kutuzungusha, tutalipa. Unaweza jikuta kwa wiki umetumia 250,000 kwenye usafiri tu. Inaumiza sana wageni tunapara shida.
Mimi kila nikiwa na kazi kule inagharimu ofisi yangu million 5 kusafirisha dereva na magari mabosi yaende kule ili kuwazungusha, sasa sisi wafanyakazi wengine tukifika tunabaki hohe hahe, hakuna magari ya kukodi kuzunguka kwenye mizunguko yetu wala taxi.
Taxi za mkoa wa Mbeya ni mbovu na zimezeeka mno huwezi kupanda ukiwa na roho ndogo. Wajasirimali mfikirie hili. Pamoja na kuwa na taxi mbovu bado unachajiwa bei za ajabu.
Unaweza lipa 30,000 hadi 40,000 umbali wa mwenge- posta tena. Kukodisha kwa siku gari mbovu mbovu imechoka mtu anataka 100,000 hapo ni mzunguko wa jiji dogo kama sinza.
Kwa kweli wenye mahoteli mbeya angalieni hili pia, muwe na magari kwajili ya wateja wenu kutuzungusha, tutalipa. Unaweza jikuta kwa wiki umetumia 250,000 kwenye usafiri tu. Inaumiza sana wageni tunapara shida.