Ushauri: Mke wangu mchafu

Ushauri: Mke wangu mchafu

Kupenda upofu, ila huyo amrudishe tu kwao asije kumletea maladhi bure maana kama haogi angalau Mara Mara 2, choo hasafishi hapo uwezekano wa wao kuugua U.T.I Mara kwa Mara ni mkubwa sana, na zaidi ya yote wasubiri Kipindi pindu
kwajinsi mleta mada alivyoeleza....ni lazima watakua na huo U.T.I tayari
 
Pole sana, kuna wanandoa Mume amelazimika kujitenga chumba ksb ya uchafu Wa mkewe. Mkewe ni mchafu nahis kupita huyo Wa kwako, Ila ksb anampenda sana hajamwacha alichofanya ni kujitenga chumba ili aondokane na baadhi ya uchafu Wa mkewe.
Chumba chake na usafi wake Wa chumba anamtegemea house 100%.
Wakitaka tendo LA ndoa, mume anamwambia mkewe lazima akaoge apige mswaki ,nguo atazokuja na chumbani ziwe zimefuliwa ndipo wanalala wote chumba cha mume, match ikiisha Mke anarudi jalalani (chumbani) kwake.
Mke ni mchafu zaidi ya wachafu, Ila ana uzuri Wa asili Wa mwonekano na umbo. Mume anasema amemwachia Mungu anasubiri muujiza tu, Ila hawezi kumwacha ukizingatia wana watoto, pia kikubwa anampenda.
Tafuta njia nzuri ya kuweza kumsaidia, Ila kama ni asili yake yake hawezi kubadilika, labda kwa muujiza.
Mume wake ni msafi sana, imebidi aingie gharama yakuajiri house gal 3 ili kuficha aibu ya mkewe ya mazingira ya nyumbani. Ila usafi wa mwili wamkewe ameshindwa ksb anaweza kaa siku hata 4 hajaoga tena hali ya hewa ya Dsm.
Ila mzuri sana kwa mwonekano wa nje, ila uchafu alionao nahisi anaweza shida kama atashindanishwa na wachafu wenzie. Pole sana
 
Dun. Pole sana sasa akiwa kwenye zile siku zetu za mzunguko inakuwaje si balaa
 
Mkuu mambo mengine sio sauti,huyo mwanamke ni mchafu wa asili(asidi aachi asili yake) unaweza ukapiga mpaka ukaua apo jamaa inabidi abebe msalaba wake au atafute nyumba ndogo kama dini inaruhusu.
kweli mkuu
kuna mtu aliwahi kunambia kosea vyote katika maisha lakini usije kukosea kuchagua mke wa kuoa kutokana na changamoto alizopitia katika ndoa
yawezekana ndo yamemkuta huyu mwenzetu ndo ameshanasa na kutoka hawezi
 
Na naona mbinu aliyotumia mumewe imesaidia, ksb wanaingia mwaka 17 Wa ndoa yao, pamoja na uchafu Wa mkewe. Tafuta mbinu itakayokusaidia kuendelea kuishi Ila usimwache. Kumbuka hakuna binadamu mkamilifu, pia fahamu kila tatizo lina ufumbuzi wake.
Pole sana
 
Siungi mkono hoja....
Huyo mwanamke anapaswa arudishwe kwao
sio rahisi namna hiyo mkuu hujui jamaa anapewa kwenye 6*6
kwa nilivyomuelewa nahisi kashikwa kama sio limbwata basi huyo mke mchafu ila kitandani ni moto wa tipa
sio kwa kuteseka hivi aisee lazima kuna jambo behind the scene
 
Duh pole mkuu! Mm mume wangu huwa analalamika eti akivua tu nguo nimesha idaka kwenda kuifua wakati inakuwa sio chafu, halafu kuifanyia usafi nyumba kila siku, kufuta futa masofa na zulia anaona vinapauka. Basi watu tunatofautiana.
 
Mmh siamini kama kuna wanawake wachafu kiasi hikii
 
sio rahisi namna hiyo mkuu hujui jamaa anapewa kwenye 6*6
kwa nilivyomuelewa nahisi kashikwa kama sio limbwata basi huyo mke mchafu ila kitandani ni moto wa tipa
sio kwa kuteseka hivi aisee lazima kuna jambo behind the scene
nimekuelewa mkuu
 
Pole sana, kuna wanandoa Mume amelazimika kujitenga chumba ksb ya uchafu Wa mkewe. Mkewe ni mchafu nahis kupita huyo Wa kwako, Ila ksb anampenda sana hajamwacha alichofanya ni kujitenga chumba ili aondokane na baadhi ya uchafu Wa mkewe.
Chumba chake na usafi wake Wa chumba anamtegemea house 100%.
Wakitaka tendo LA ndoa, mume anamwambia mkewe lazima akaoge apige mswaki ,nguo atazokuja na chumbani ziwe zimefuliwa ndipo wanalala wote chumba cha mume, match ikiisha Mke anarudi jalalani (chumbani) kwake.
Mke ni mchafu zaidi ya wachafu, Ila ana uzuri Wa asili Wa mwonekano na umbo. Mume anasema amemwachia Mungu anasubiri muujiza tu, Ila hawezi kumwacha ukizingatia wana watoto, pia kikubwa anampenda.
Tafuta njia nzuri ya kuweza kumsaidia, Ila kama ni asili yake yake hawezi kubadilika, labda kwa muujiza.
Mume wake ni msafi sana, imebidi aingie gharama yakuajiri house gal 3 ili kuficha aibu ya mkewe ya mazingira ya nyumbani. Ila usafi wa mwili wamkewe ameshindwa ksb anaweza kaa siku hata 4 hajaoga tena hali ya hewa ya Dsm.
Ila mzuri sana kwa mwonekano wa nje, ila uchafu alionao nahisi anaweza shida kama atashindanishwa na wachafu wenzie. Pole sana
Duuuh hatar hyo..wanasema mwanaume msafi anapataga mke mchafuu kutokana hyo story yako naona ka ukweli
 
Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka.

Hizo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuuliza jibu sina muda, usafi chooni hafanyi mpaka niingilie kati ndio afanye yaani wageni wakija wakati mwingine naombea wasiingie chooni aibu sana, huwa namsaidia mpaka kufua, kupika kutekamaji nk. Nguo anachanganya chafu na safi, kitanda hakitandkwi ninasikitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sijui hii ndo rangi yake.

Naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa imani ningeshajitwalia kimada jamani akina dada ndo mko hivi mkishaolewa? Chumba nisipochangamka kinaweza maliza Week hakuna usafi, nimechoka sana.

Naombeni ushauri wakuu!
Dah! Pole Sana .uchafu sio kitu cha kulea.
 
Mkuu kuna watu ukimuambia jitahidi usafi mpenzii kuoga, swaki fua ujue umemfukuza anaona unamdharau kumbe akuambiaye ndo akupendaye
nikweli kuna wengine hawapendi kuambiwa ukweli mchungu,inabidi tu wewe uwe barozi wake ambayeni wakwanza kumuambia kuliko akiambiwa na watu wa nje.,
 
Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka.

Hizo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuuliza jibu sina muda, usafi chooni hafanyi mpaka niingilie kati ndio afanye yaani wageni wakija wakati mwingine naombea wasiingie chooni aibu sana, huwa namsaidia mpaka kufua, kupika kutekamaji nk. Nguo anachanganya chafu na safi, kitanda hakitandkwi ninasikitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sijui hii ndo rangi yake.

Naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa imani ningeshajitwalia kimada jamani akina dada ndo mko hivi mkishaolewa? Chumba nisipochangamka kinaweza maliza Week hakuna usafi, nimechoka sana.

Naombeni ushauri wakuu!
Mkuu... Kabila gan mkeo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom