Picha ninayoipata hapa ni kwamba nyinyi wote vijana, mke anatoka familia yenye uwezo hivyo kazoea kufuliwa na chupi, na kupika je? Mtu anafikia kukushtaki kwa mama yake, yawezekana hamkupitia njia zote za ndoa. Je alipata muda wa kufundwa kabla ya harusi na labda shangazi au ndugu wa karibu? Je kazini kwake ana cheo au ni mtu wa kawaida? Nina maswali mengi kuliko msaada. Pole.Wakuu nnamachungu sana nataman kuondoka daah sjui nfanyaje na nkimfokea tu anampgia cm MAMA ake japo MAMA ake ni mtu mwema sana kwangu

