Ushauri: Mke wangu mchafu

Ushauri: Mke wangu mchafu

Siye japo na huyu wng aliwAhi loweka mpaka funZa wakajitokeZa akazchimbia shimo
asee yule jirani yangu alikuwa balaa. na mumeee alikuwa anasafiki. miezi hadi mitatu.
mwanamke haogi mpaka asikie mumewe anakuja leo. na nyumba ndo itafanyiwa usafi.
upate Bahati sasa mwanae aingie ndani kwako. utatamani umwambie nenda kwa MAMA ako. kuna wanawake wachafu jamani. aibu. na wala hafanyi kazi mda wote yupo nyumbani tu
 
TAFUTA MAMA MWENYE BUSARA AONGEE NAE TENA IKIBIDI UMPE HUYO MAMA HELA AMTOE OUT WAKAKAE SEHEMU TULIVU ASEME NAE TARATIBU
N.B UTAE MTAFUTA AWE ANAJUA DINI NA ANAKAA NA MUME SI CHINI YA MIAKA KUMI
 
Nimevumilia nnashindwa sasa Leo alfajiri wakati najiandaa enda job daah nkakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa ukimuulza hayo majibu yake khaa jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na nnaamini kaenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka hzo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuulza jibu sina muda khaa usafi chooni hafanyi mpaka niinglie Kati nafanye yaani wagen wakija wakati mwngne naombea wasiingie chooni aibu sana huwa namsaidia mpaka kufua kupka kuteka.maji nk nguo anachanganya chafu na safi,kitanda hakitandkwi ninaskitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sjui hii ndo rangi yake daah naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa iman ningeshajitwalia kimada jaman akina Dada ndo mko hivi. Mkishaolewa? chumba nispochangamka kinaweza malza Week hakuna usafi nmechoka sana naombeni ushauri wakuu
Ushalogwa Simple tu
 
Mleta mada unatania aisee..

Kitu cha kwanza mwanamke akiwa mvivu tuu basi sio hata wa kumwambia tukutane.

Wapo wengine uswahilini huko wanashinda na night dress mpaka jioni bila kuoga.

Kuna binti mmoja nilimtembelea kwao anaishi na mama yake na wanae mazingira nilivyoyakuta na mapenzi yalikata ghafla.
 
Nawaza tu pale kati si patakua na msitu wa amazon?daah pole sana mkuu...ila huyo mwanamke hajafundwa kwao?
 
Nimevumilia nnashindwa sasa Leo alfajiri wakati najiandaa enda job daah nkakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa ukimuulza hayo majibu yake khaa jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na nnaamini kaenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka hzo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuulza jibu sina muda khaa usafi chooni hafanyi mpaka niinglie Kati nafanye yaani wagen wakija wakati mwngne naombea wasiingie chooni aibu sana huwa namsaidia mpaka kufua kupka kuteka.maji nk nguo anachanganya chafu na safi,kitanda hakitandkwi ninaskitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sjui hii ndo rangi yake daah naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa iman ningeshajitwalia kimada jaman akina Dada ndo mko hivi. Mkishaolewa? chumba nispochangamka kinaweza malza Week hakuna usafi nmechoka sana naombeni ushauri wakuu

Jacklyn wolper huyo
 
Ulisaidiwa kuoa?
Yaani hukuyaona yote hayo kabla? Ata tudalili twa uchafu?
Au ndo love is blind???

Pole sana
Kupenda upofu, ila huyo amrudishe tu kwao asije kumletea maladhi bure maana kama haogi angalau Mara Mara 2, choo hasafishi hapo uwezekano wa wao kuugua U.T.I Mara kwa Mara ni mkubwa sana, na zaidi ya yote wasubiri Kipindi pindu
 
Daaah mkuu kwa hali hiyo sidhani kama hata UNYUMBA unakumbuka kuomba?? Maana kama kipindi cha baridi mke haogi wakat kipindi hiko watu ndo wanadumisha NDOA unazani mkuu utapata genye za kuomba chezo ukiwaza uchafu wake??

Hakyanani peleka kwaoo huyoo kama kila ukimuelekezaa anakua kiburi.
 
Hivi kumbe hadi wanawake me najuaga ni wanaume tu.
 
Nimevumilia nnashindwa sasa Leo alfajiri wakati najiandaa enda job daah nkakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa ukimuulza hayo majibu yake khaa jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na nnaamini kaenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka hzo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuulza jibu sina muda khaa usafi chooni hafanyi mpaka niinglie Kati nafanye yaani wagen wakija wakati mwngne naombea wasiingie chooni aibu sana huwa namsaidia mpaka kufua kupka kuteka.maji nk nguo anachanganya chafu na safi,kitanda hakitandkwi ninaskitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sjui hii ndo rangi yake daah naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa iman ningeshajitwalia kimada jaman akina Dada ndo mko hivi. Mkishaolewa? chumba nispochangamka kinaweza malza Week hakuna usafi nmechoka sana naombeni ushauri wakuu
Dah!! Pole sana Mkuu, nakushauri kaa na mkeo zungumza nae mwambie ukweli kwamba hupendi UCHAFU na hupendi mke MCHAFU, akikaidi basi akili kichwani. Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom