carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,616
Mke atulie na uvivu wake mwisho dada wa kazi ajimilikishe mume![]()
![]()
ndo kilichobaki sasa si anataka kusaidiwaMke atulie na uvivu wake mwisho dada wa kazi ajimilikishe mume![]()
![]()
ndo kilichobaki sasa si anataka kusaidiwandugu,wengi sana tunayo madhaifu ya wake zetu na wao wanayo ya kwetu, jitahidi uwe na uwezo wa kuficha mapungufu ya mwenza wako ata kama unatumia id fake maana ni aibu.simama kama mwanaume ndani ya nyumba na usimuogope mwambie ukweli abadilike,kama hataki (kiburi ) chukua hatua nyingine. ata ikiwezekana toka njia kuu(kama mazuri vile
)
Wakuu nnamachungu sana nataman kuondoka daah sjui nfanyaje na nkimfokea tu anampgia cm MAMA ake japo MAMA ake ni mtu mwema sana kwangu
Utashangaa asubuhi moja anataka kupiga deki dari au mwenzake akideki choo yeye anasafisha bafu.Hivi ndo wewe jirani yangu nini? maana nakuona bro una uvumilivu balaa, lakini mkeo mbona ana sura nzuri sana ila ndani duh!Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka.
Hizo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuuliza jibu sina muda, usafi chooni hafanyi mpaka niingilie kati ndio afanye yaani wageni wakija wakati mwingine naombea wasiingie chooni aibu sana, huwa namsaidia mpaka kufua, kupika kutekamaji nk. Nguo anachanganya chafu na safi, kitanda hakitandkwi ninasikitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sijui hii ndo rangi yake.
Naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa imani ningeshajitwalia kimada jamani akina dada ndo mko hivi mkishaolewa? Chumba nisipochangamka kinaweza maliza Week hakuna usafi, nimechoka sana.
Naombeni ushauri wakuu!
Ila papuchi si ni safi?Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka.
Hizo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuuliza jibu sina muda, usafi chooni hafanyi mpaka niingilie kati ndio afanye yaani wageni wakija wakati mwingine naombea wasiingie chooni aibu sana, huwa namsaidia mpaka kufua, kupika kutekamaji nk. Nguo anachanganya chafu na safi, kitanda hakitandkwi ninasikitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sijui hii ndo rangi yake.
Naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa imani ningeshajitwalia kimada jamani akina dada ndo mko hivi mkishaolewa? Chumba nisipochangamka kinaweza maliza Week hakuna usafi, nimechoka sana.
Naombeni ushauri wakuu!
Wanawake wa kusini wachafu sana.mbona kama namfahamu huyo mwanamke???. maana kuna mwanamke namjua alikuwa mchafu balaa. vyombo vichafu vinakaa mwezi mzima bila kuoshwa mpaka vinakuwa na finyofinyo.
Na sifa kama ulizotaja hapo juu. Nguo zinalowekwa mpaka zinaoza anazitupa. ikafikia hatua hana nguo. asee yule Dada. watu wa kusini ndo mlivyo.???? Nauliza tu.
Aisee hii kalimbona kama namfahamu huyo mwanamke???. maana kuna mwanamke namjua alikuwa mchafu balaa. vyombo vichafu vinakaa mwezi mzima bila kuoshwa mpaka vinakuwa na finyofinyo.
Na sifa kama ulizotaja hapo juu. Nguo zinalowekwa mpaka zinaoza anazitupa. ikafikia hatua hana nguo. asee yule Dada. watu wa kusini ndo mlivyo.???? Nauliza tu.
Nawaza tu pale kati si patakua na msitu wa amazon?daah pole sana mkuu...ila huyo mwanamke hajafundwa kwao?

amesema mwanzo hakuwa hivyo....kabadilika baada ya kuolewaKabla haujamuoa huo uchafu wake haukuuona?