Ushauri: Mke wangu mchafu

Ushauri: Mke wangu mchafu

Hao ndo pretenders to be good wakati sio, ili waolewe mfundishe usafi najua uchafu unakera unalala na mtu ananuka mdomo, matakoni, kwapa hadi macho yana harufu inakeraaaa! Bora awe amevaa nguo akivua ndo hali inabadilika unaseza ukalia
 
ndugu,wengi sana tunayo madhaifu ya wake zetu na wao wanayo ya kwetu, jitahidi uwe na uwezo wa kuficha mapungufu ya mwenza wako ata kama unatumia id fake maana ni aibu.simama kama mwanaume ndani ya nyumba na usimuogope mwambie ukweli abadilike,kama hataki (kiburi ) chukua hatua nyingine. ata ikiwezekana toka njia kuu (kama mazuri vile)

Mkuu kuna watu ukimuambia jitahidi usafi mpenzii kuoga, swaki fua ujue umemfukuza anaona unamdharau kumbe akuambiaye ndo akupendaye
 
Pole sana mtoa mada kwa kuishi na mwanamke mchafu wa aina hiyo na hongera kwa uvumilivu uliotukuka!Kama ulivyoweza kuwasilisha hili hapa basi tafuta wanawake waliomzidi umri ambao unawaheshimu wanaweza kuwa ndugu au watu wa dini katika imani yenu na uwaeleze wamfunde mkeo kwa tabia ya uchafu,ninaamini wanaweza kumsaidia. Umesema mwanzo hakuwa hivyo basi yawezekana opia ana tatizo..sina hakika huenda akawa mjamzito imekimbilia kumfanya kuwa mvivu.Ni mawazo yangu tu.
 
6tag_080417-160605.jpg
Pole Sana.
 
Wakuu nnamachungu sana nataman kuondoka daah sjui nfanyaje na nkimfokea tu anampgia cm MAMA ake japo MAMA ake ni mtu mwema sana kwangu

Mfundishe na pia baadhi ya maeneo ya muhimu safisha. Fua shuka, tandika kitanda akija hajaoga mwambie silali na wewe! Ukienda kuoga mwambie leo nataka nikuogeshe nikupe vitu adimu mpige kabusu chaaap
 
Aiseee pole sana,heri mwanaume awe mchafu kwsbb mwanmke atasaidia kumcontrol.
Kwa mwanamke mbona hiyo ni hatari sasa, duh!
 
Kama wewe ni mwislamu mwongezee mke wa pili halafu awe msafi. Wanawake wa namna hii dawa hiyo, akiona mwenzie msafi na anajitahidi kusafisha.

Utashangaa asubuhi moja anataka kupiga deki dari au mwenzake akideki choo yeye anasafisha bafu.
 
Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka.

Hizo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuuliza jibu sina muda, usafi chooni hafanyi mpaka niingilie kati ndio afanye yaani wageni wakija wakati mwingine naombea wasiingie chooni aibu sana, huwa namsaidia mpaka kufua, kupika kutekamaji nk. Nguo anachanganya chafu na safi, kitanda hakitandkwi ninasikitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sijui hii ndo rangi yake.

Naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa imani ningeshajitwalia kimada jamani akina dada ndo mko hivi mkishaolewa? Chumba nisipochangamka kinaweza maliza Week hakuna usafi, nimechoka sana.

Naombeni ushauri wakuu!
Hivi ndo wewe jirani yangu nini? maana nakuona bro una uvumilivu balaa, lakini mkeo mbona ana sura nzuri sana ila ndani duh!
 
Nimevumilia ninashindwa, sasa Leo alfajiri wakati najiandaa kwenda job daah! Nikakuta kaweka kopo la chooni ndani ya ndoo ya kuhifadhia maji ya kunywa, ukimuulza hayo majibu yake khaa! Jana kalala bila kuoga kisa baridi full harufu ya majasho na naamini kwenda job kwake hajaoga maana nilimuacha hajaamka.

Hizo ndoo za kuhifadhia maji ukiziona mpaka aibu ukimuuliza jibu sina muda, usafi chooni hafanyi mpaka niingilie kati ndio afanye yaani wageni wakija wakati mwingine naombea wasiingie chooni aibu sana, huwa namsaidia mpaka kufua, kupika kutekamaji nk. Nguo anachanganya chafu na safi, kitanda hakitandkwi ninasikitika wakati wa mwanzo hakuwa hivi kabisa sijui hii ndo rangi yake.

Naombeni ushauri ningekuwa mpigaji ningekuwa nishaua soon pia nisingekuwa si mtu wa imani ningeshajitwalia kimada jamani akina dada ndo mko hivi mkishaolewa? Chumba nisipochangamka kinaweza maliza Week hakuna usafi, nimechoka sana.

Naombeni ushauri wakuu!
Ila papuchi si ni safi?

Si ni tamu?

Hayo mengine rekebisheni mdogo mdogo.
 
Mambo kusaidiana. Komaa bro, ndoa haitaki hasira
 
mbona kama namfahamu huyo mwanamke???. maana kuna mwanamke namjua alikuwa mchafu balaa. vyombo vichafu vinakaa mwezi mzima bila kuoshwa mpaka vinakuwa na finyofinyo.
Na sifa kama ulizotaja hapo juu. Nguo zinalowekwa mpaka zinaoza anazitupa. ikafikia hatua hana nguo. asee yule Dada. watu wa kusini ndo mlivyo.???? Nauliza tu.
Wanawake wa kusini wachafu sana.
 
mbona kama namfahamu huyo mwanamke???. maana kuna mwanamke namjua alikuwa mchafu balaa. vyombo vichafu vinakaa mwezi mzima bila kuoshwa mpaka vinakuwa na finyofinyo.
Na sifa kama ulizotaja hapo juu. Nguo zinalowekwa mpaka zinaoza anazitupa. ikafikia hatua hana nguo. asee yule Dada. watu wa kusini ndo mlivyo.???? Nauliza tu.
Aisee hii kali
 
Labda hana elimu ya usafi. Muelimishe atakuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom