
,noo si wanawake wote tuko ivo wngn tunajua wajib wetu,labda uyo uliebahatika ndio umeangukia tundu bovu,pole mkuuMkuu mambo mengine sio sauti,huyo mwanamke ni mchafu wa asili(asidi aachi asili yake) unaweza ukapiga mpaka ukaua apo jamaa inabidi abebe msalaba wake au atafute nyumba ndogo kama dini inaruhusu.mkuu yaonekana hauna sauti kwa mkeo
onesha uanaume wako mface na muambie kinagaubaga mambo yanayokukera
ukiona hakusikilizi mrudishe kwao huwezi kukosa amani kiasi hicho
HahahaNamshangaa sana kuendelea kuruhusu uchafu uliokithiri kiasi hiki ndani ya nyumba yake. Hii nyumba hata maji ya kunywa yake ni ya kuyaogopa achilia mbali chakula.
Ila huyo naye kazidi. Siku hizi wanawake tulio wengi tunajitambua walio baki kama hao ni wakuhesabuHmmm!! This is too much noww,noo si wanawake wote tuko ivo wngn tunajua wajib wetu,labda uyo uliebahatika ndio umeangukia tundu bovu,pole mkuu
Hahaha
Hata yeye ni wale wale tuu, hamna mtu timamu anayeweza vumilia yote hayoo!!! Uchafu ni habari ingine kabisaa
Kama ni hivyo.....Huo ndo ukweli sio hadithi
Mwanamke mchafu 90%wanakua wavivu wavivu,ukiona mtu kila kitu anakujib kachoka au hapend kujishuulisha 24hrs simu tu uyo miongon mwa waviv piaAisee,sijui kabla hujaoa utamjuaje mwanamke msafi...
Siungi mkono hoja....mkuu yaonekana hauna sauti kwa mkeo
onesha uanaume wako mface na muambie kinagaubaga mambo yanayokukera
ukiona hakusikilizi mrudishe kwao huwezi kukosa amani kiasi hicho
Naona kabisa vile unavyo tamani ungekua ndio huyu jamaa.....Huyo ni changamoto!!!
Pole ila uchafu hauvumiliki mkuu, huyo mke wako umemdekeza bwanaa. Haiwezekani afanye hayo yote na wewe kimya a, kuwa na sauti kama baba kweeli. Mbona Atanyooka tuu

Mambo mrembooooMmmh. Hii kiboko Yaani. Mbona balaa huyo mwanamama???haoni Aibu?
Msemelee kwa mama ako mauite amchambe Maana ukimpeleka kwa mama ake nahisi hakuna litakalo badilika,mengine mama anke alisema afadhali aolewe apeleke uchafu nyumbani kwake mama wa watu apumzike. Kamsemelee Hadi kwa viongozi wa dini.
Qhkaaaaa!!!mwanamke uchafu inahuu??
Unajua hii mitandao pia inachangia ,hatukatazwi kukaa ktk mitandao ila tujue kujipangia mda,mda wa usafi ni usafi,mume yupo nyumban ni mda wa kuspend nae,mume katoka uko pekeako uo ndo mda wa kuchezea mitandao,lkn utamkuta mwanamke anaamka tu asbuh anadandia simu,hapo usafi bado wa nyumba,hajapika,hajafua,hajafanya lolote.Ila huyo naye kazidi. Siku hizi wanawake tulio wengi tunajitambua walio baki kama hao ni wakuhesabu

mavyombo siku mbili hayaoshwi,nguo ndo mwezi ,huu ni msiba kwa wanawake hmmm!!!Hmmm!! This is too much noww,noo si wanawake wote tuko ivo wngn tunajua wajib wetu,labda uyo uliebahatika ndio umeangukia tundu bovu,pole mkuu