DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,106
- 45,803
Kama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwaka huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
Kwani ni lazima asome? Hawezi kutafuta shughuri nyingine nje na kusoma?Kama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwa huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
View attachment 2380674
aombe tena mwakani, hakuna namna zaidi ya hapo.Kama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwa huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
View attachment 2380674
Asante Mkuu wa ushauriaombe tena mwakani, hakuna namna zaidi ya hapo.
DUCE na alikuwa anapiga BSEDOwaishe mfanye arudie upya ila ada mtamlipia. Ungesema yuko chuo gani, kuna vyuo ukidisco unafanyiwa mpango wa kuendelea na HESLB mpaka mkataba wako nao unaisha. Kama programu ni ya miaka mitatu na kadisco yuko wa kwanza, anawadai miaka miwili HESLB na anaanza kozi nyingine inayoendana na hiyo ila analipiwa mkopo miaka miwili iliyobaki na HESLB hawajui kama alidisco. Huo mmoja mnapambana.
Kama alikuwa second year na akapata GPA ya kuuzia nyanya hivyo bora aache chuo. First year kunakuwa na mzaha ila second year anajua uhalisia
Poleni sana, shida ya vijana wengi wanajisahau wakishafika chuo wawe wa kike au wa kiume na hasa kale kamchezo ka kuoana.Yeye anasemaje baada ya matokeo hayo? Je kaonewa? Kama kaonewa zipo taratibu za kukata rufaa ....Kama picha inavyojieleza nipo katika mtanziko mkubwa baada ya huyu Mdogo angu Kupata Disco mwaka huu je namsaidiaje wakuu ?!! Je utaratibu wa kufata baada ya hii Disco!? Ni upi?
View attachment 2380674
Uhuru umemsahaulisha kuwa kuna kufeli.DUCE na alikuwa anapiga BSED
KE
Huyo alikuwa analiwa mbususo tu mwambie aangali kilicho Bora zaidi kwake, fuatilia tabia na matendo ya wadogo zenu wakiwa chuo msivune mabuaDUCE na alikuwa anapiga BSED
KE