NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 647
- 1,442
Habari zenu wakuu. Mwanafunzi mwaka jana aliomba vyuo viwili akapata vyote CBE na TIA. Aka-confirm CBE. Shida ikatokea mkopo hakupata hivyo hata chuo hakuripoti kabisa sababu mpaka batch zote zinatoka hakufanikiwa kupata kabisa na anapoishi ni mkoani.
Sasa mwaka huu wakati dirisha limefunguliwa wakati anajaribu kuomba tena database ya CBE ikamjulisha kuwa tayari ana account kwenye chuo husika kujaribu kulogin ikakubali na status inasoma selected kwa kozi ile ile ya mwaka jana.
Swali langu je hii ina maana bado anatambulika kama mwanafunzi wao CBE hivyo haihitaji tena kuomba mwaka huu sababu alisha-aconfirm tangu mwaka jana hivyo aombe mkopo tu akisubiri kujiunga rasmi hapo oktoba?. Au hii ni system glitch tu?
Nimeomba ushauri kwa wajuzi wa elimu nipate mwanga wa kuanzia japo kesho tutawapigia ili tupate ukweli zaidi.
Sasa mwaka huu wakati dirisha limefunguliwa wakati anajaribu kuomba tena database ya CBE ikamjulisha kuwa tayari ana account kwenye chuo husika kujaribu kulogin ikakubali na status inasoma selected kwa kozi ile ile ya mwaka jana.
Swali langu je hii ina maana bado anatambulika kama mwanafunzi wao CBE hivyo haihitaji tena kuomba mwaka huu sababu alisha-aconfirm tangu mwaka jana hivyo aombe mkopo tu akisubiri kujiunga rasmi hapo oktoba?. Au hii ni system glitch tu?
Nimeomba ushauri kwa wajuzi wa elimu nipate mwanga wa kuanzia japo kesho tutawapigia ili tupate ukweli zaidi.