data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Wadau wa Elimu na Wazazi.
Mtokeo ya Dara's la nne na kidato Cha pili yametangazwa leo.
Napenda kulipongeza Baraza La Mitihani kwani kiukweli kabisa mwaka huu yamkuja matokeo halisi sawa na watoto tunavyowafahamu huku mashuleni na mtaani.
Naomba niseme hivi...
Kidato Cha pili wanfunzi wengi sana wamekuwa referred, maana yake wamefeli na watapaswa kukariri darasa. Hivyo ndivyo ilivyo Kama utaratibu.
Naishauri Serikali Kama ifuatavyo.. hao wanafuzi waliokuwa referred hakutakuwa na vyumba vya kuwaweka kwani vyumba walivyokuwa wakivitumia vinaenda kuchukulia na waliokuwa kidato Cha kwanza.
Hivyo Basi Hawa wanafuzi wasiendelee na Elimu hii ya sekondari la waende Katika mikondo mbadala...
Mtajua kwa kuwapelekea iwe VETA, Kilimo au popote. Hawa ndo wapelekwe kwenye mikondo hiyo ya Elimu Ujuzi. Hii itasaidia kutopoteza muda na fedha kwa watu walioshindwa..
Mtokeo ya Dara's la nne na kidato Cha pili yametangazwa leo.
Napenda kulipongeza Baraza La Mitihani kwani kiukweli kabisa mwaka huu yamkuja matokeo halisi sawa na watoto tunavyowafahamu huku mashuleni na mtaani.
Naomba niseme hivi...
Kidato Cha pili wanfunzi wengi sana wamekuwa referred, maana yake wamefeli na watapaswa kukariri darasa. Hivyo ndivyo ilivyo Kama utaratibu.
Naishauri Serikali Kama ifuatavyo.. hao wanafuzi waliokuwa referred hakutakuwa na vyumba vya kuwaweka kwani vyumba walivyokuwa wakivitumia vinaenda kuchukulia na waliokuwa kidato Cha kwanza.
Hivyo Basi Hawa wanafuzi wasiendelee na Elimu hii ya sekondari la waende Katika mikondo mbadala...
Mtajua kwa kuwapelekea iwe VETA, Kilimo au popote. Hawa ndo wapelekwe kwenye mikondo hiyo ya Elimu Ujuzi. Hii itasaidia kutopoteza muda na fedha kwa watu walioshindwa..