Serikali kama inataka matokeo kwenye mfumo wa elimu ya juu ianzishe internship kwa graduates wenye GPA kuanzia 3.8

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,331
8,254
Ukiangalia kwa undani graduates wa matokeo yenye GPA kuanzia 3.8 sio wengi sana. Serikali inaweza kuwa accommodate vizuri kabisa.

Serikali ianzishe mfumo wa internship kwa hao graduates kwa mwaka mmoja kama wanavyofanya wizara ya afya.

Kila graduates mwenye hayo matokeo apelekwe internship ya mwaka mmoja kwenye makampuni anayofanya shuguli alizosomea baada ya hapo akimaliza ndipo aende kufundisha chuo.

Internship ziwe kama za wizara ya afya. Serikali izitafute yenyewe.

Wizara ya viwanda ihusike na internship za graduates wa chemical, mechanical, electrical, industrial, physics, chemistry, n.k

Wizara ya ujenzi ihusike na internship za graduates wa civil, architecture, etc

Wizara ya nishati ihusike na internship za graduates wa petroleum engineering, petroleum chemistry, petroleum geology nk

Wizara ya madini ihusike na internship za graduates wa mining engineering, mineral and process engineering, mineral geology nk.

Lakini GPA za graduates zianzie 3.8 kwenda juu.
Wafanye internship kwa mwaka mmoja na kuendelea ndipo waende kufundisha vyuoni.

Hapo ndipo tutaweza kupata matokeo ya elimu yetu.
Lakini bila hizo wizara zingine kushirikiana na wizara ya elimu hatuwezi kuona matokeo hata mara moja.
 
Sijui nina shida gani! Ila kiukweli siamini kabisa katika GPA za chuo kikuu! Kuna watu huwa wanahitimu na GPA kubwa, halafu ukija kwenye uhalisia, hakuna kitu.

Natamani kuona kama Taifa tukiwekeza zaidi kwenye maarifa, badala ya GPA kubwa.
 
Sijui nina shida gani! Ila kiukweli siamini kabisa katika GPA za chuo kikuu! Kuna watu huwa wanahitimu na GPA kubwa, halafu ukija kwenye uhalisia, hakuna kitu.

Natamani kuona kama Taifa tukiwekeza zaidi kwenye maarifa, badala ya GPA kubwa.
Huoni uhalisia kwasababu hujawapa mazoezi ya vitendo ya kutosha boss. Ila GPA itabakia kuwa ndio kipimo cha uwezo wa mtu.
 
Huoni uhalisia kwasababu hujawapa mazoezi ya vitendo ya kutosha boss. Ila GPA itabakia kuwa ndio kipimo cha uwezo wa mtu.
Tatizo GPA nyingi za Bongo hazina uhalisia! Janja janja ni nyingi sana. Kuna vyuo vinagawa hizo GPA kwa wepesi sana, huku wahitimu wakiwa ni empty heads.

Tungewekeza kwenye elimu ya kumjengea maarifa na ujuzi mhitimu, ingependeza sana. Yaani kama ilivyo kwa ndugu zetu Wachina!
 
Tatizo GPA nyingi za Bongo hazina uhalisia! Janja janja ni nyingi sana. Kuna vyuo vinagawa hizo GPA kwa wepesi sana, huku wahitimu wakiwa ni empty heads.

Tungewekeza kwenye elimu ya kumjengea maarifa na ujuzi mhitimu, ingependeza sana. Yaani kama ilivyo kwa ndugu zetu Wachina!
Vitaje hivyo vyuo boss.
 
Aisee inaonekana kuwaza na kuwazua kwako ni hafifu!, kwanini wawe wenye GPA hiyo tu?.
 
Tatizo GPA nyingi za Bongo hazina uhalisia! Janja janja ni nyingi sana. Kuna vyuo vinagawa hizo GPA kwa wepesi sana, huku wahitimu wakiwa ni empty heads.

Tungewekeza kwenye elimu ya kumjengea maarifa na ujuzi mhitimu, ingependeza sana. Yaani kama ilivyo kwa ndugu zetu Wachina!
Ukiona mtu ana GPA kubwa na yupo mtaani hana kazi ujue ni ya mchongo
 
Vijitundu vidogovidogo ndivyo uzamisha meli!
Kama Bongo kupata sehemu ya kufanya field ni dili,itakuwaje kwa internship?
This country is very difficult";alisika akisema msomi mmoja kutoka uzalamoni!
 
Sijui nina shida gani! Ila kiukweli siamini kabisa katika GPA za chuo kikuu! Kuna watu huwa wanahitimu na GPA kubwa, halafu ukija kwenye uhalisia, hakuna kitu.

Natamani kuona kama Taifa tukiwekeza zaidi kwenye maarifa, badala ya GPA kubwa.
Labda mazingira ya kuwatumia sio rarifiki , kibongo bongo ukiwa mpiga mdomo sana ndio inaonekana jembe
 
Ukikutana na lecturer aliepiga kazi kwenye taasisi fulani, ndio akaja kuwalisha nondo aisee hawa jamaa wanakuaga vizuri tofauti na wale fresh from school.

Anakupa mifano hai kabisa, sio hawa mifano mingi ni ya vitabuni mpaka somo likua gumu coz unahisi hayo mamb mtaani hayapo, kumbe yapo.

Ni wazo zuri, lakini mtakua mnatutenga wale wa gettlemen gpa.
 
Ukikutana na lecturer aliepiga kazi kwenye taasisi fulani, ndio akaja kuwalisha nondo aisee hawa jamaa wanakuaga vizuri tofauti na wale fresh from school.

Anakupa mifano hai kabisa, sio hawa mifano mingi ni ya vitabuni mpaka somo likua gumu coz unahisi hayo mamb mtaani hayapo, kumbe yapo.

Ni wazo zuri, lakini mtakua mnatutenga wale wa gettlemen gpa.
Ndio serikali iwapeleke kwenye hizo taasisi sio blabla tu😀😀😀. Tumia hela kutrain.
 
Serikali itapeleka interns wangapi wakati vyuo vinatema graduates kwa maelfu?

Huko kwenye taasisi kutakuwa hakuna hata nafasi za kukaa hao interns.
Umeelewa mada, tunazungumzia wenye GPA kuanzia 3.8. Za kufundisha chuo kikuu. Hao wanahesabika. Kila mwaka Hawazi watano kwa kozi.
 
Back
Top Bottom