baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 430
- 310
Nakushauri vitu viwili tu muhimu sana,kwa haya yanayo endelea katika mitandao ya kijamii.
1.Mshauri mkeo wako kutojihusisha na mitandao ya kijamii kabisa...sababu kwa yanayoendelea katika mitandao yanaweza yakamletea matatizo na kumpelekea kufa kwa pressure ya hofu juu yako.
Na kama alikupendea position na pesa basi na yeye anaweza kulubuniwa na kukubwaga ili wazidi kukumaliza.
Lakini haya yanayoendelea mitandaoni ,mkeo lazima atakuwa anatafakari nina mume wa namna gani ??? Mwisho wake ni upi?usalama wake uko wapi?? Kumbuka ana ndugu na marafiki wanao mzunguka, Sasa maamuzi yake yanaweza kuwa hasi au chanya kwako.
2.Unapotoka kwenda mahali popote usipende kwenda na familia yako sababu unaweza kufanyiwa kitu cha aibu sana au kibaya sana ambacho kitapelekea machungu makubwa kwa makeo na hata mtoto wako kubaki na kumbukumbu mbaya...
Mimi binafsi nakuombea neema ya Mungu ikufunike hata kama ulitenda yote hayo..basi Mungu akupe msamaha kwake na kwa wanadamu kama alivyofanya kwa Mtumishi wake Paulo ....na aweze kukutumia katika kazi yake...
- Sifikiri kama wewe ndiyo umefanya mabaya sana kuliko wengine hapana...na wala wewe hutokuwa wa mwisho kufanya mabaya hayo...kwa sababu shetani bado yupo duniani, tutayaona mengi sana zaidi ya haya...
3.Paul Makonda let past pass..you can't change anything ,what happened has happened...focus for your future and how you can make it to be good....jifunze kwa Prince .Y. Johnson who killed former President of Liberia Samweli Edore... ( FROM KILLER TO PASTOR )...
1.Mshauri mkeo wako kutojihusisha na mitandao ya kijamii kabisa...sababu kwa yanayoendelea katika mitandao yanaweza yakamletea matatizo na kumpelekea kufa kwa pressure ya hofu juu yako.
Na kama alikupendea position na pesa basi na yeye anaweza kulubuniwa na kukubwaga ili wazidi kukumaliza.
Lakini haya yanayoendelea mitandaoni ,mkeo lazima atakuwa anatafakari nina mume wa namna gani ??? Mwisho wake ni upi?usalama wake uko wapi?? Kumbuka ana ndugu na marafiki wanao mzunguka, Sasa maamuzi yake yanaweza kuwa hasi au chanya kwako.
2.Unapotoka kwenda mahali popote usipende kwenda na familia yako sababu unaweza kufanyiwa kitu cha aibu sana au kibaya sana ambacho kitapelekea machungu makubwa kwa makeo na hata mtoto wako kubaki na kumbukumbu mbaya...
Mimi binafsi nakuombea neema ya Mungu ikufunike hata kama ulitenda yote hayo..basi Mungu akupe msamaha kwake na kwa wanadamu kama alivyofanya kwa Mtumishi wake Paulo ....na aweze kukutumia katika kazi yake...
- Sifikiri kama wewe ndiyo umefanya mabaya sana kuliko wengine hapana...na wala wewe hutokuwa wa mwisho kufanya mabaya hayo...kwa sababu shetani bado yupo duniani, tutayaona mengi sana zaidi ya haya...
3.Paul Makonda let past pass..you can't change anything ,what happened has happened...focus for your future and how you can make it to be good....jifunze kwa Prince .Y. Johnson who killed former President of Liberia Samweli Edore... ( FROM KILLER TO PASTOR )...