Ushauri kuhusu kusoma England

Thailand

JF-Expert Member
Nov 15, 2019
262
778
Habarini ndugu,
Namshukuru Mungu niliomba
chuo kipo England (Norwich city) kinaitwa University of East Anglia (UEA) course niliyo kubaliwa Masters of science in Economics and Data science kwa mwaka mmoja. Napenda sana hizo mambo za uchumi, changamoto nimepata ufadhili pound £4000 ila nimecheck gharama ya kusoma course hiyo hapo chuoni ni pound £ 19000. Sasa hiyo deficit ya £15000 ndo inanitoa jasho hapa.

Naombeni ushauri au msaada nachangamkiaje hii fursa ndugu zangu. Na vipi kuhusu mipango ya serikali kusomesha watu wake nje ya nchi bado ipo?
 
Habarini ndugu,
Namshukuru Mungu niliomba
chuo kipo England (Norwich city) kinaitwa University of East Anglia (UEA) course niliyo kubaliwa Masters of science in Economics and Data science kwa mwaka mmoja. Napenda sana hizo mambo za uchumi, changamoto nimepata ufadhili pound £4000 ila nimecheck gharama ya kusoma course hiyo hapo chuoni ni pound £ 19000. Sasa hiyo deficit ya £15000 ndo inanitoa jasho hapa.

Naombeni ushauri au msaada nachangamkiaje hii fursa ndugu zangu. Na vipi kuhusu mipango ya serikali kusomesha watu wake nje ya nchi bado ipo?
Achana nayo hiyo gharama hutaweza kuimudu
 
Usithubutu kama hujapata full scholarship, Hio difference ya ada tu ni mzigo mkubwa karibia milioni 40+ kwa mwaka

Gharama za kuishi zipo juu sana kule mkuu hata ukibahatisha io ada maisha yako yatakua ya shida sana,
 
Back
Top Bottom