Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,890
- 155,875
- Thread starter
- #121
Wao ndio wametuambia. Tukisema hili jeshi limejaa vilaza muwe mnatuelewaJeshi
La TZ ni la sita duniani ????????
Nahis umekosea
Wao ndio wametuambia. Tukisema hili jeshi limejaa vilaza muwe mnatuelewaJeshi
La TZ ni la sita duniani ????????
Nahis umekosea
Ndio uwezo wao wa jufikiria ulipogoteaNgoja wamalize kwanza operesheni saka magwanda nyumba kwa nyumba
Umekera sana kwenye ukweli ukweli usimame unawatetea watu ambao wameharibu maisha yangu lakini naomba nikuombe radhi sana nisamehe we we nimuungwana sana nisamehe sana nimejisahau kutanguliza hasira mbeleSawa. Tafuta na tusi lingine baya zaidi la Kunitukana, huenda baraka zako ziko kwenye matusi, ukitukana Bank account zako zinajaa mapesa
Sawa. Tafuta na tusi lingine baya zaidi la Kunitukana, huenda baraka zako ziko kwenye matusi, ukitukana Bank account zako zinajaa mapesa
CoolNimeweka akiba ya maneno
Afadhali. Waunde vingi basi watuuzie na raia.
SawaNimeweka akiba ya maneno
Jeshi la vibwengoWana eneo kubwa saba la ardhi walichokifanya ni kuwalaza vijana mchana na usiku na kuweka bango la usipige picha hapa na usipite hapa wakati huko Ukraine Jeshi ndio wakulima wakuu wa Ngano na kufanya tafiti za kisayansi huku kwetu ni kuweka kofia kwenye dashboard na kukamata nguo za jeshi upuuzi mtupu...
Unabisha na UVCCM mzee??!Nenda Zambia jeshi lao linamiliki mpaka milling
Kuna moja Iko mpika inaitwa mpika milling ni ya jeshi wanauza mpaka ngano