Wakuu naombeni ushauri, nikimaliza chuo nifanye nini kati ya haya?

MWALIMU DAIMA

Senior Member
Mar 4, 2023
130
263
Mimi ni Kijana wa kitanzania umri 22, nipo moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi mwaka wa pili ( biology na geography) yaani bachelor of science with education.

Lengo la Uzi huu ni kuomba ushauri katika haya nayo waza;

01. Nawaza kuwa baada ya kumaliza shahada yangu ya kwanza apa mwakani, niunge na diploma ya ualimu maalumu( special needs) katika chuo cha Patandi kilichopo Moshi

02. Wazo langu la pili nawaza niunge post graduate diploma coz ya curriculum development pale open university of Tanzania

03. Wazo langu tatu nawaza nikimaliza apo mwakani nijitolee tu katika shule yoyote ya serikali apa inchini kwa ajiri ya ku chase ajira.

04. Wazo langu la mwisho nawaza Tapo maliza apa mwakani nikomae na maisha mtaani kutafuta pesa wakati nasubil ajira.

📌📌Wakuu naombeni mnishauri katika hayo Mawazo yangu manne lipi ni sahihi na Bora.

Note that: Hali ya uchumi ya nyumbani ni duni, kiufup natoka familia maskin.

Kuhusu familia yaani kuoa : Sina malengo hayo kwa sasa.

Karibuni wakuu wangu
 
Mimi ni Kijana wa kitanzania umri 22, nipo moja ya chuo kikuu apa inchini nasoma shahada ya kwanza ya ualimu sayansi mwaka wa pili ( biology na geography) yaani bachelor of science with education.

Lengo la Uzi huu ni kuomba ushauri katika haya nayo waza;

01. Nawaza kuwa baada ya kumaliza shahada yangu ya kwanza apa mwakani, niunge na diploma ya ualimu maalumu( special needs) katika chuo cha Patandi kilichopo Moshi

02. Wazo langu la pili nawaza niunge post graduate diploma coz ya curriculum development pale open university of Tanzania

03. Wazo langu tatu nawaza nikimaliza apo mwakani nijitolee tu katika shule yoyote ya serikali apa inchini kwa ajiri ya ku chase ajira.

04. Wazo langu la mwisho nawaza Tapo maliza apa mwakani nikomae na maisha mtaani kutafuta pesa wakati nasubil ajira.

Wakuu naombeni mnishauri katika hayo Mawazo yangu manne lipi ni sahihi na Bora.

Note that: Hali ya uchumi ya nyumbani ni duni, kiufup natoka familia maskin.

Kuhusu familia yaani kuoa : Sina malengo hayo kwa sasa.

Karibuni wakuu wangu
Wazo lako la tatu ni zuri lakini wakati unajitolea anzisha kamradi kadogo kakukuingizia pesa kama itakuwa ni tuition centre hasa kwa masomo yako au kamradi kengine kokote katakokuingizia hela ili usiwe desperate sana kupata mahitaji yako muhimu.

Kumaliza kusoma na kurudi kusoma tena ni kupoteza muda labda kama unaconnection kile unachokwenda kukisomea utamaliza kuingia kazini moja kwa moja.

Kutafuta sifa za ziada kwenye taaluma huwa tunafanya ukiwa tayari uko kazini kwako na umeshachungulia fursa utakapotumia hiyo sifa yako ya ziada.

Otherwise mengine amua mwenyewe kulingana na mazingira na hali uliyonayo.
 
Kwanza uwaze kuoa una pesa mkuu.. tafuta pesa..? hakuna Ndoa sikuhizi bila pesa
 
Back
Top Bottom