Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Mwalimu KK na wengine,
Mkaisome tena KATIBA ya sasa ya JMT muielewe. Rais wa JMT anaweza kuunda na kuendesha serikali bila ya chama chake kuwa na Wabunge wengi.
-Anao Wabunge 10 wa kuteua yeye mwenyewe kama Rais.
-Serikali inaendesha mambo yake mengi bila kutafuta ridhaa ya Bunge ikiwemo kusaini mikataba mbalimbali.
-Teuzi nyingi za Watendaji wakuu serikalini ni zake yeye mwenyewe na hazithibitishwi wala kuhojiwa na chombo kingine chochote mbali na uteuzi wa WAZIRI MKUU.
-Mchakato wa Bunge kumpigia Rais kura ya kutokuwa na IMANI naye ni mrefu na mgumu kwelikweli.
-Ni rahisi mno Rais kulivunja Bunge na serikali ikaendelea kuwepo.
CHADEMA, tafuteni kwanza URAIS wa JMT haya mengine mtayapata kwa ZIADA. KK haijui katiba yetu.

kuna kitu kimoja unakwepa sana kukizungumzia;upatikanaji wa mtendaji mkuu wa shughuli za serikali-waziri mkuu,hebu tueleze kwa mujibu wa katiba ambayo wewe mwenzetu umeisoma vizuri tunampataje pm na spika?
 
WildCard umemalza kila ki2,nlichogundua mtoa mada ameanza na thread yke ati ka kawaida huleta mambo kinyume & weng waaminivo!Mmh,ili iweje?Nikuulze cdm wamepataje mps weng mjengon?Jbu unalo bt katiba huijui unaleta HISIA ziczo & mashko hii jf VICHWA!
 
WildCard umemalza kila ki2,nlichogundua mtoa mada ameanza na thread yke ati ka kawaida huleta mambo kinyume & weng waaminivo!Mmh,ili iweje?Nikuulze cdm wamepataje mps weng mjengon?Jbu unalo bt katiba huijui unaleta HISIA ziczo & mashko hii jf VICHWA!
mkinijibu katiba inasemaje kuhusu upatikanaji wa mtendaji mkuu wa serikali-pm na spika mtakua mmenitendea haki sana na mtakua mmejipambanua kuwa nyie ni miongoni mwa vichwa vya jf,otherwise kila mtu atawadharau humu na kuwaona mko kiushabiki zaidi kuliko reality.
 
mzee hiyo inaweza isiwe sahihi sana lakini katika hali ya utamamduni wa kuvumilia maoni ya mtu mnaepishana nawajibika kuvumilia maoni yako,lakini naomba nikuulize kitu,unawafahamu wabunge walioshinda huko kigoma kupitia NCCR mageuzi?je mgombea urais wa nccr mageuzi alikua na ushawishi wowote uliosaidia wale mabwana na bibi kushinda huko majimboni na kuvishinda vyama vyenye maguvu kama chadema na ccm?jibu nadhani litakua hapana,bali kilichofanyika ni mikakati ya wabunge husika kwa msaada wamarafiki zao,ndio mana nasema chadema ijikite kwenye ubunge kwa kuwezesha kiuchumi mikakati ya wagombea ubunge iweze kutekelezeka..mgombea urais ndugu yangu anapita kwenye majimbo na kuhutubia kwa dk 30 kwisha kazi kubwa inabaki kwa mgombea mwenyewe na timu yake pale site,sasa chama kimuwezeshe mgombea na timu yake badala ya kwenda kumsanifu na helkopta kwa dk 30 halafu mnapaa hao manondoka zenu then mnasubiri matokeo,haiwezekani mzee.Muwezesheni then wala msiende kule muone kama atashindwa.Wagombea ubunge wanakuwa na wakati mgumu sana wakati wa kampeni za uchaguzi nyie hamjui tu,mgombea anaamka asubuhi anakuta watu wamejipanga nyumbani kwake kama zahanati ya kijiji wote wanasubiri kuwezeshwa na mgombea ili waweze kuzunguka huku na kule kushawishi wapiga kura kwenye vilabu vya pombe n.k.huwezi kuwaita watu(wapiga debe) ukawaweka wakikusikiliza kwa maneno matupu na hadithi za helkopta iliyowatimulia vumbi jana pale uwanjani.
Unazungumzia Wabunge wawili? mkuu wangu kupata wabunge wawili haina taabu kabisa kwa chama chochote inategemea na wana malengo gani, aidha ya kuongoza nchi ama kupata uwakilishi bungeni. Kama lengo la Chadema ni kupata uwakilishi Bungeni na kukusanya ruzuku ili kukikuza chama hiyo strategy yako ni nzuri sana lakini kama chama kinataka kuchukua nchi na kuongoza nchi hii basi lazima swala la Rais linasimama mbele ya yote.

Ndio maana Kina Raila na vyama vyao leo wako ktk uongozi wa mseto, Zanzibar na Sief Hamad wako mseto na CCM, kutetereka kwa Seif ndiko kutakiua chama. Na ndio maana hata Marekani leo wanamtafuta mgombea Urais kabla ya kutafuta wabunge..Kuna sababu ya kufanya hivyo kwa vyama isipokuwa vipo vyama vinavyotafuta wabunge kuwakilisha wadau fulani iwe mazingira au mengineyo havimtafuti rais kwanza isipokuwa sauti yao kupata mwakilishi bungeni.

Kisha chama hakifanyi maamuzi kwa sababu wanavyofikiria wao isipokuwa wanatazama wananchi wanataka nini? Na ikiwa lengo letu ni kuiondoa CCM madarakani basi kutafuta Ubunge inaondoa kabisa ari ya wananchi, na kumbuka tu majuzi wabunge 200+ wametaka posho zaidi lakini JK amekataa kuweka sahihi, JK angeweza kukataa kupitisha muswada wa sheria ya Katiba JK ndiye hupitisha bajeti zote za Taifa hata kama zimekubaliwa ama kupingwa bungeni, Rais ndiye kila kitu na hii ndio chama kushika hatamu..
 
Kama kawaida yangu mimi hupenda kuzungumza yale mambo ambayo watu huwa hawapendi kuyasikia hata kama yapo.Leo napenda kushauri chadema ama wapinzani kiujumla waachane na ndoto za urais badala yake wajikite kwenye ubunge;hii ndio njia ya mkato na strategy ya kushika serikali.Urais ni jambo dogo sana ambalo unaweza kulipata na ukawa rais picha tu ambae hana serikali.Kwa mfano nguvu nyingi walizotumia chadema kwenye uchaguzi uliopita ili slaa awe rais urais wake usingekua na maana kwani angekua rais bila serikali jambo ambalo lisingeisadia sana chadema na wapenda mabadiliko wengine,hivyo shime sasa chadema acheni kudanganyana na ndoto za urais,nguvu kubwa ipelekeni kwenye ubunge na kwa kuanzia Slaa agombee ubunge ALUMERU na muhakikishe anashinda ili kutekeleza kwa vitendo nadharia ya ubunge kwanza urais utakuja wenyewe baadae.

Nawasilisha.

*Angalizo wachangiaji mnatakiwa kuwa na hoja kwanza,kama huna hoja kaa pembeni,itoshe tu kuwa msomaji kuliko kuleta vioja.

*Mods msisikilize maneno ya wachochezi kwa kuifunga hii thread ama kuichanganya na nyingine.


"Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". - Regia Mtema.
naona unasumbuliwa na minyoo nasia ukitafuna mkaa au ukinywa maji ya betri utapona haraka
 
naona unasumbuliwa na minyoo nasia ukitafuna mkaa au ukinywa maji ya betri utapona haraka

Lete hoja acha vioja kijana.

viongozi wako tena wakubwa tu wengi wamekua marafiki zangu baada ya hii thread sasa wewe kinega kutoka chadema kata unaweza kuwa na jipya gani la kuniyumbisha nisiendelee kutoa ushauri?
 
Mimi nakukubali sana kwa kujenga hoja humu JF ila walikuwa na upeo mdogo watakubishia japo hawana jibu kamili au hoja mbadal kuhusu hili la kuingia IKULU wanajiandaa na siri nzito ya kuiuza Tanzania yetu. Endelea kugonga vichwa vyaoo kama nyoka apigwapo kila anapoonekana hadharani. BIG UP
 
Watu wa chadema nadhani sasa angalau mtakua mmeanza kunielewa nilipowapa ushauri huu mwezi february mwaka huu 2012,nasema hivi kwa kuwa wengi wenu toka jana mmekua katika shangwe ya kumshangilia zitto kabwe alivyoanzisha zengwe la kumshughulikia waziri mkuu,sasa je mmejiuliza kama kweli mngekua na wabunge wa kutosha kama nilivyoshauri jinsi gani kazi ya zitto ingekua nyepesi kuliko hivi leo mpaka msubiri "mjomba naomba nipigie huyu mamangu mkaidi"
 
Open Group mpya imefunguliwa facebook kwa jina la Ukombozi Tanzania. Unaruhusiwa kujoin pamoja na kuinvite watu mbalimbali kwenye group. Aim ni kuwa na kila mtanzania anayetumia mtandao wa internet awe kwenye hili group tayari kupashana habari pamoja na Kuikomboa nchi yetu. Ndio kwanza tumeanza kuchukua hatua sio kila siku maneno.. Jiunge na hiyo group sasa na unganisha na wenzako.


Ukombozi Tanzania Admin
 
Watu wa chadema nadhani sasa angalau mtakua mmeanza kunielewa nilipowapa ushauri huu mwezi february mwaka huu 2012,nasema hivi kwa kuwa wengi wenu toka jana mmekua katika shangwe ya kumshangilia zitto kabwe alivyoanzisha zengwe la kumshughulikia waziri mkuu,sasa je mmejiuliza kama kweli mngekua na wabunge wa kutosha kama nilivyoshauri jinsi gani kazi ya zitto ingekua nyepesi kuliko hivi leo mpaka msubiri "mjomba naomba nipigie huyu mamangu mkaidi"

CHADEMA SIYO WABUNGE BALI NI NGUVU YA WANANCHI.waache ccm wapinge lakini Maandamano yetu yapo palepale.Hao mawaziri kumi na tisa hatuwataki.kazi kwa J.k.Hata libya yalianza hivi hivi.
 
Kusema eti CHADEMA isifikirie urais, hizo ni fikra finyu na mawazo mgando ya baadhi ya wanaopenda ukiritimba katika taifa letu. CHADEMA mwendo mdundo mpaka kitaeleweka!
 
CHADEMA SIYO WABUNGE BALI NI NGUVU YA WANANCHI.waache ccm wapinge lakini Maandamano yetu yapo palepale.Hao mawaziri kumi na tisa hatuwataki.kazi kwa J.k.Hata libya yalianza hivi hivi.

mnafanya kazi nzuri sana,hivyo ndio chama cha kudumu cha upinzani kinapaswa kufanya,kuikumbusha na kuiamsha serikali kwa maslahi ya wananchi.
 
mnafanya kazi nzuri sana,hivyo ndio chama cha kudumu cha upinzani kinapaswa kufanya,kuikumbusha na kuiamsha serikali kwa maslahi ya wananchi.

Unahitaji ukombozi wa kifikra, una macho lakini huoni, masikio lakini husikii, una pua lakini huwezi kunusa. umepofushwa na kina Nape kufikiri CCM itatawala milele. wenzenu wengi wanashtuka sasa wanakimbia kaburi. Nakushauri achana na ujinga, elimika ndugu.
 
mnafanya kazi nzuri sana,hivyo ndio chama cha kudumu cha upinzani kinapaswa kufanya,kuikumbusha na kuiamsha serikali kwa maslahi ya wananchi.
KK. Kuna jambo wana CCM mnaogopa sana kulijadili,lakini nadhani ni muhimu sana kujadiliwa,nalo ni CCM baada ya kuondolewa madarakani hivi karibuni itaweza vipi kusurvive kama chama cha siasa! Huu ushauri unaotoa hapa kwa CDM ni ushauri wa ushabiki ambao hauna hekima wa busara! Ni mwendelezo wa viongozi wako kupenda kusifiwa kwa mambo madogo dogo na kupenda masihara ktk hoja muhimu za kitaifa!
 
Kama kawaida yangu mimi hupenda kuzungumza yale mambo ambayo watu huwa hawapendi kuyasikia hata kama yapo.Leo napenda kushauri chadema ama wapinzani kiujumla waachane na ndoto za urais badala yake wajikite kwenye ubunge;hii ndio njia ya mkato na strategy ya kushika serikali.Urais ni jambo dogo sana ambalo unaweza kulipata na ukawa rais picha tu ambae hana serikali.Kwa mfano nguvu nyingi walizotumia chadema kwenye uchaguzi uliopita ili slaa awe rais urais wake usingekua na maana kwani angekua rais bila serikali jambo ambalo lisingeisadia sana chadema na wapenda mabadiliko wengine,hivyo shime sasa chadema acheni kudanganyana na ndoto za urais,nguvu kubwa ipelekeni kwenye ubunge na kwa kuanzia Slaa agombee ubunge ALUMERU na muhakikishe anashinda ili kutekeleza kwa vitendo nadharia ya ubunge kwanza urais utakuja wenyewe baadae.

Nawasilisha.

*Angalizo wachangiaji mnatakiwa kuwa na hoja kwanza,kama huna hoja kaa pembeni,itoshe tu kuwa msomaji kuliko kuleta vioja.

*Mods msisikilize maneno ya wachochezi kwa kuifunga hii thread ama kuichanganya na nyingine.


"Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". - Regia Mtema.

................................B/S

Kama urais siyo wa muhimu hivyo basi ishauri hata CCM pia iachane nao.
 
Unahitaji ukombozi wa kifikra, una macho lakini huoni, masikio lakini husikii, una pua lakini huwezi kunusa. umepofushwa na kina Nape kufikiri CCM itatawala milele. wenzenu wengi wanashtuka sasa wanakimbia kaburi. Nakushauri achana na ujinga, elimika ndugu.

wenzetu kina millya au?
 
KK. Kuna jambo wana CCM mnaogopa sana kulijadili,lakini nadhani ni muhimu sana kujadiliwa,nalo ni CCM baada ya kuondolewa madarakani hivi karibuni itaweza vipi kusurvive kama chama cha siasa! Huu ushauri unaotoa hapa kwa CDM ni ushauri wa ushabiki ambao hauna hekima wa busara! Ni mwendelezo wa viongozi wako kupenda kusifiwa kwa mambo madogo dogo na kupenda masihara ktk hoja muhimu za kitaifa!

Ni jeuri ipi inayokufanya uamini ccm itaondolewa madarakani hivi karibuni?au ni kale kaushindi ka arumeru bado kamewalevya?kama ndio basi mna tatizo la kusahau haraka kwani mlishawahi kushinda pia uchaguzi mdogo tarime kumbuka vizuri,mkapita mkishangilia nchi nzima na kudai tutawakoma kwenye uchaguzi wa 2010,matokeo yake hamkupata hata nusu ya wabunge wa ccm na tarime pia mkashindwa kuitetea.Labda mtatushinda kwa hii style ya kurecruit mafisadi watoto kina millya na baba zao badae,may be itawasaidia....! sijui bwana
 
Kardash nimepitia mada zako nyingi humu nikagundua unaongozwa na chuki za kisiasa,KWA UFUPI HATUTAKI USHAURI WA WACHUMIA TUMBO.
 
Back
Top Bottom