blackwizard
Senior Member
- Feb 8, 2012
- 163
- 24
Ushabiki sio mzuri, tujadili hoja tuache uchama, kwa maendeleo ya taifa.Naona mtoa hoja mezungumza vizuri na kushauri viti vingi vya ubunge vitasaitia kuunda serikali sio kuwa na rais bila serikali.Tufikirie mikakati ipi ifanyike kufanikisha yote mawili