Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Ushabiki sio mzuri, tujadili hoja tuache uchama, kwa maendeleo ya taifa.Naona mtoa hoja mezungumza vizuri na kushauri viti vingi vya ubunge vitasaitia kuunda serikali sio kuwa na rais bila serikali.Tufikirie mikakati ipi ifanyike kufanikisha yote mawili
 
Tuache na mkakati wetu, wewe inakuhusu nini pesa za chama tumetafuta wenyewe kwa jasho letu ok..

Ushauri wako hatutaki

Ruzuku umesahau kuwa inatoka Serikalini? na serikalini kuna oesa zetu za kodi. Vyama vyote tinaviendesha wote na walipa kodi wengi Tanzania ni CCM. Tuliona magwanda mpaka wafanyakazi wao akiwemo na Katibu Mkuu wao Slaa wameshtukiwa kwa kukwepa kodi.
 
Kujikita kwenye ubunge na kushika serikali kivipi? Who's the head of that Government if it isn't the presida? Ushauri wako una mashiko kiasi fulani, lakini umeandika kiushabiki na kiumbea wa kimagamba, vile unajukana utadhani una jinsia ya kike na ya kiume (2 in 1). Nami nakushauri nenda kawaambie wapiga kura wakawachague wabunge wengi wa upinzani badala ya waizi wa ccm. Wapiga kura ndio wenye maamuzi ya nani awe rais na nani awe mbunge. Hakuna chama chochote kinaweza kuamua kuwa ni lazima fulani awe na fulani asiwe bila kura za wananchi.
 
Kujikita kwenye ubunge na kushika serikali kivipi? Who's the head of that Government if it isn't the presida? Ushauri wako una mashiko kiasi fulani, lakini umeandika kiushabiki na kiumbea wa kimagamba, vile unajukana utadhani una jinsia ya kike na ya kiume (2 in 1). Nami nakushauri nenda kawaambie wapiga kura wakawachague wabunge wengi wa upinzani badala ya waizi wa ccm. Wapiga kura ndio wenye maamuzi ya nani awe rais na nani awe mbunge. Hakuna chama chochote kinaweza kuamua kuwa ni lazima fulani awe na fulani asiwe bila kura za wananchi.

Ndio unaamka nini mzee?mbona nimeshajieleza sana ninachomaanisha.Ok ntakusaidia,kujikita kwenye ubunge ni kupigana kufa na kupona na kuwekeza nguvu nyingi kwenye harakati za ubunge ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mnakua wa wagombea kila kona ya nchi hii,hapa intention yenu inakuwa ni kuwapata wabunge wengi kadiri mtakavyoweza kuvipita vyama vyote,na hili linawezekana kabisa mkijipanga sawasawa na kuachana na ndoto za urais kwanza,kila mwanachadema aimbe nyimbo ya ubunge na wabunge tu;mkifanikiwa kupata wabunge wengi maana nyie ndio mtakua na jeuri ya kuunda serikali kwa kuwa kwa mujibu wa katiba chama chenye wabunge wengi ndio kinachounda serikali sio chama chenye mgombea urais aliyepata kura nyingi,upo hapo kwanza???

Sasa basi mkishakua kwenye nafasi hiyo ya kuunda serikali ndio mnamchukua huyo mpendwa wenu bwana Slaa ambaye kwa kuwa nae atakua hakugombea urais kama mnavyopenda bali ubunge kama ninavyoshauri hapa mnampendekeza awe waziri mkuu kwa kuwa wakati huo atakua na sifa za kuwa waziri wetu mkuu,katiba yetu inasema waziri mkuu atapendekezwa na hatimaye kuidhinishwa na bunge kutoka miongoni mwa wabunge waliogombea na kuchaguliwa majimboni(wabunge wa kuteuliwa au viti maalum hapa hawatoki).N a kwakuwa bungeni sasa tuna uhakika kwamba tuko wengi ni wazi jina la slaa likienda bungeni litapita na ataapishwa kuwa waziri mkuu ambae atakaa na rais kuuunda baraza la mawaziri ambalo kutokana n wingi wa wabunge mliowapata mawaziri wengi kama sio wote watatoka chadema,kumbuka kwamba wakati huo huo wingi wa wabunge utawapatia pia spika na naibu spika ambao wanachaguliwa na wabunge!!je mpaka hapo rais amabe sio wenu atakua na kazi gani zaidi ya kuzindua kampeni za upandaji miti na mambo ya mazingira kwa kushirikiana na makamu wake.

Cha kwanza slaa akiingia madarakani kama waziri mkuu mtendaji anaichukua hazina na serikali za mitaa zinakua chini ya ofisi ya waziri mkuu!uchaguzi unaofuata urais ndio utakua unaitafuta chadema sio chadema kutafuta urais kutokana na kazi ambayo atapiga slaa kama waziri mku kila mtu atampenda na akisimama kwenye kugomea urais hamtakua na haja ya kukodi helkopta imzungushe kama mtalii,kazi itakua rahisi,ni strategy tu hakuna uchawi wala nini hapa lakini mwisho wa siku kupanga ni kuchagua kazi kwenu sisi wengine kazi yetu ni kuuza maneno tu utekelezaji ni kazi yenu makada wa chadema,japo nashangaa hapo juu wewe kada wa chadema unanituma mimi nikafanye kazi zako kuwashawishi wapiga kura wakichague chama wakati wewe umestarehe hapo kwenye computer yako ukiamini utaleta mabadiliko kwa ku type through keyboard,haiwezekani mzee ,anza sasa,jasho jingi wakati wa amani damu chache wakati wa vita,mkianza mapema kwa kuanzia Arumeru kumsindikiza mzee wangu slaa wakati wa uchaguzi mkuu kazi itakua nyepesi sana ndio maana yangu kuwataka mtoke jasho sasa ili wakati wa uchaguzi mkuu msipigike sana kuwanaadi wagombea ubunge wenu.
 
Kama suala ni kujikita kwenye ubunge zaidi sio lazima Dr Slaa ndio agombee Arumeru, mtu mwingine yeyote anaweza kugombea kwa tiketi ya CDM na kushinda kwa kishindo. Kwanza Dr. Slaa ameshasema hahitaji tena ubunge na pili yeye sio mkazi wa huko. Sasa sijui kwanini nyie magamba mnahangaika hivyo!!
 
:alien: Umenikera na hiyo Heading `CDM acheni ndoto za uraisi`. Unadhani hao magamba wana hati miliki ya uraisi wa nchi hii? Miaka 50 they have proved failure, it time for us to demonstrate the rule of law, wakae pembeni wafundishwe jinsi ya kuiongoza inchi na jinsi ya kuwaletea maendeleo ya kweli wananchi. Wao wanachojua ni kugawa t shirt kila ukifika uchaguzi. Tuamke .... its time!
 
wakuu,mnaonaje kwa sasa tufanye kazi kwanza tuahirishe hii mijadala ya urais kwa sasa kwa kuwa haina manufaa kwa taifa.
 
Kama suala ni kujikita kwenye ubunge zaidi sio lazima Dr Slaa ndio agombee Arumeru, mtu mwingine yeyote anaweza kugombea kwa tiketi ya CDM na kushinda kwa kishindo. Kwanza Dr. Slaa ameshasema hahitaji tena ubunge na pili yeye sio mkazi wa huko. Sasa sijui kwanini nyie magamba mnahangaika hivyo!!

Mkuu hii issue kama umeisoma sawasawa thread ni pana kuliko doctor,sema yeye nimemtumia kama starting point ya strategy husika,lakini lengo hasa ni kupata wabunge wengi wa upinzani ili kuunda serikali si vinginevyo,ila kama nimekukwaza kutaja jina la doctor uniwie radhi halikua lengo langu kukuumiza wewe wala doctor mwenyewe.
 
KIM,

ungepata ujasiri wa kutumia jina lingine ili ushauri wako ukubalike. wewe ni mmoja wa maadui 10 wa chadema hapa JF kulingana na michango yako ya kila siku. Tunaishi nyumba moja ya JF tunafahamiana mitazamo na misimamo yetu. Umerudisha lini kadi ya CCM na CUF? Tunajua ndivyo vyama vyako

kamanda mimi ni mzalendo ninaeamini hivi vyama vyote tulivyomo ni kama makoti tu,koti likikubana bana na kukutia joto unalivua na kuliweka pembeni,chama si mama yangu,nimekutana nacho tu barabarani na nitaachana nacho huko huko nilikokutana nacho siku moja,sikuzaliwa mwanachama wa chama flani bali nilizaliwa mtanzania hilo halina ubisha,hivyo kwangu mimi utaifa(tanzania)kwanza chama kitasubiri.
 
umesema hiyo ni njia ya mkato na chadema unapaswa uwashauri na ushauri usiwaelekeze njia za mkato waelekeze njia ya kufanyia mabadiliko ya kudumu hata ya kimaadili na inayolenga kuwapa watu mioyo ya ujasiri na isiyokata tamaa kwa jambo linalokubalika hapo ntakuelewa
 
Ndio unaamka nini mzee?mbona nimeshajieleza sana ninachomaanisha.Ok ntakusaidia,kujikita kwenye ubunge ni kupigana kufa na kupona na kuwekeza nguvu nyingi kwenye harakati za ubunge ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mnakua wa wagombea kila kona ya nchi hii,hapa intention yenu inakuwa ni kuwapata wabunge wengi kadiri mtakavyoweza kuvipita vyama vyote,na hili linawezekana kabisa mkijipanga sawasawa na kuachana na ndoto za urais kwanza,kila mwanachadema aimbe nyimbo ya ubunge na wabunge tu;mkifanikiwa kupata wabunge wengi maana nyie ndio mtakua na jeuri ya kuunda serikali kwa kuwa kwa mujibu wa katiba chama chenye wabunge wengi ndio kinachounda serikali sio chama chenye mgombea urais aliyepata kura nyingi,upo hapo kwanza???

Sasa basi mkishakua kwenye nafasi hiyo ya kuunda serikali ndio mnamchukua huyo mpendwa wenu bwana Slaa ambaye kwa kuwa nae atakua hakugombea urais kama mnavyopenda bali ubunge kama ninavyoshauri hapa mnampendekeza awe waziri mkuu kwa kuwa wakati huo atakua na sifa za kuwa waziri wetu mkuu,katiba yetu inasema waziri mkuu atapendekezwa na hatimaye kuidhinishwa na bunge kutoka miongoni mwa wabunge waliogombea na kuchaguliwa majimboni(wabunge wa kuteuliwa au viti maalum hapa hawatoki).N a kwakuwa bungeni sasa tuna uhakika kwamba tuko wengi ni wazi jina la slaa likienda bungeni litapita na ataapishwa kuwa waziri mkuu ambae atakaa na rais kuuunda baraza la mawaziri ambalo kutokana n wingi wa wabunge mliowapata mawaziri wengi kama sio wote watatoka chadema,kumbuka kwamba wakati huo huo wingi wa wabunge utawapatia pia spika na naibu spika ambao wanachaguliwa na wabunge!!je mpaka hapo rais amabe sio wenu atakua na kazi gani zaidi ya kuzindua kampeni za upandaji miti na mambo ya mazingira kwa kushirikiana na makamu wake.

Cha kwanza slaa akiingia madarakani kama waziri mkuu mtendaji anaichukua hazina na serikali za mitaa zinakua chini ya ofisi ya waziri mkuu!uchaguzi unaofuata urais ndio utakua unaitafuta chadema sio chadema kutafuta urais kutokana na kazi ambayo atapiga slaa kama waziri mku kila mtu atampenda na akisimama kwenye kugomea urais hamtakua na haja ya kukodi helkopta imzungushe kama mtalii,kazi itakua rahisi,ni strategy tu hakuna uchawi wala nini hapa lakini mwisho wa siku kupanga ni kuchagua kazi kwenu sisi wengine kazi yetu ni kuuza maneno tu utekelezaji ni kazi yenu makada wa chadema,japo nashangaa hapo juu wewe kada wa chadema unanituma mimi nikafanye kazi zako kuwashawishi wapiga kura wakichague chama wakati wewe umestarehe hapo kwenye computer yako ukiamini utaleta mabadiliko kwa ku type through keyboard,haiwezekani mzee ,anza sasa,jasho jingi wakati wa amani damu chache wakati wa vita,mkianza mapema kwa kuanzia Arumeru kumsindikiza mzee wangu slaa wakati wa uchaguzi mkuu kazi itakua nyepesi sana ndio maana yangu kuwataka mtoke jasho sasa ili wakati wa uchaguzi mkuu msipigike sana kuwanaadi wagombea ubunge wenu.
Mkuu wangu tunakuelewa vizuri sana kwamba hoja kubwa hapa ni Chadema kuongeza hesabu ya wabunge wake. Na hakuna njia bora zaidi ya Chadema kushiriki sehemu zote za majimbo na kikubwa zaidi ya yote ni kupata mgombea Urais anayekubalika. Hili la Mgombea Urais ndilo linalotangulika ktk utamadun wote wa chaguzi duniani na watu wote wapiga kura humtazama kiongozi kama anakubalika ukiacha sera za chama. Hivyo Sera kwanza zinapalilia shamba, Pili mgombea urais na ilani ndio mbegu ya zao la uchaguzi halafu Wabunge ni zao linalovunwa kutokana na hivyo vilivyotangulia.

Sasa unaposema Chadema aichane na ndoto ya Urais ni sawa kabisa na kusema asipande kitu wategemee kuvuna ambacho hawakukipanda. Hii ni Logic tu ikiwa chama kitakosa sera, kitakosa imani ya wananchi ktk mgombea Urais basi sii rahisi hata kupata wabunge wengi majimboni..Hivyo kusema tu kwamba Chadema aiache ndoto ya Urais wakati hakuna njia nyingine nakuhakikishia kwamba Chadema wakifuata maelezo yako basi pengine wabunge watakaoshinda ni Dr.Slaa, Zitto, Lema, Mnyika na wengine ambao tayari wameisha jitengenezea majina na kuna hatari ya wao kushindwa ikiwa CCM watamweka mtu mwenye mvuto zaidi ktk iti cha Urais kama ilivyokuwa kuingia kwa JK mwaka 2005. CUF walikuwa na wagombea karibu majimbo yote a waliweka nguvu kubwa sana ktk kujiimarisha na wabunge lakini ujio wa JK ulimawaliza wao, Chadema na vyama vingine vyote. JK alipita uchaguzi ho hata kabla ya uchaguzi wenyewe na wabnge wa CCM wenyewe walikiri kwamba wamepita uchaguzi ule kutokana na JK..

Hivi ndivyo, na tuseme CCM wakimweka Lowassa kugombea wapo wanaCCM ambao hawatampigia kura yeye na mbunge wa CCM jimboni kwake, vile vile wapo wananchi wa vyama vingine watamkubali yeye na mbunge wa jimbo hilo..Kioo kinakuwa Lowassa na sii sana mbunge, labda tu mbunge huyo awe hakubaliki hata kwa kutiwa udi na ubani..
 
umesema hiyo ni njia ya mkato na chadema unapaswa uwashauri na ushauri usiwaelekeze njia za mkato waelekeze njia ya kufanyia mabadiliko ya kudumu hata ya kimaadili na inayolenga kuwapa watu mioyo ya ujasiri na isiyokata tamaa kwa jambo linalokubalika hapo ntakuelewa

Hiyo itakua rahisi sana wakifanikiwa kuunda serikali.
 
Mkuu wangu tunakuelewa vizuri sana kwamba hoja kubwa hapa ni Chadema kuongeza hesabu ya wabunge wake. Na hakuna njia bora zaidi ya Chadema kushiriki sehemu zote za majimbo na kikubwa zaidi ya yote ni kupata mgombea Urais anayekubalika. Hili la Mgombea Urais ndilo linalotangulika ktk utamadun wote wa chaguzi duniani na watu wote wapiga kura humtazama kiongozi kama anakubalika ukiacha sera za chama. Hivyo Sera kwanza zinapalilia shamba, Pili mgombea urais na ilani ndio mbegu ya zao la uchaguzi halafu Wabunge ni zao linalovunwa kutokana na hivyo vilivyotangulia.

Sasa unaposema Chadema aichane na ndoto ya Urais ni sawa kabisa na kusema asipande kitu wategemee kuvuna ambacho hawakukipanda. Hii ni Logic tu ikiwa chama kitakosa sera, kitakosa imani ya wananchi ktk mgombea Urais basi sii rahisi hata kupata wabunge wengi majimboni..Hivyo kusema tu kwamba Chadema aiache ndoto ya Urais wakati hakuna njia nyingine nakuhakikishia kwamba Chadema wakifuata maelezo yako basi pengine wabunge watakaoshinda ni Dr.Slaa, Zitto, Lema, Mnyika na wengine ambao tayari wameisha jitengenezea majina na kuna hatari ya wao kushindwa ikiwa CCM watamweka mtu mwenye mvuto zaidi ktk iti cha Urais kama ilivyokuwa kuingia kwa JK mwaka 2005. CUF walikuwa na wagombea karibu majimbo yote a waliweka nguvu kubwa sana ktk kujiimarisha na wabunge lakini ujio wa JK ulimawaliza wao, Chadema na vyama vingine vyote. JK alipita uchaguzi ho hata kabla ya uchaguzi wenyewe na wabnge wa CCM wenyewe walikiri kwamba wamepita uchaguzi ule kutokana na JK..

Hivi ndivyo, na tuseme CCM wakimweka Lowassa kugombea wapo wanaCCM ambao hawatampigia kura yeye na mbunge wa CCM jimboni kwake, vile vile wapo wananchi wa vyama vingine watamkubali yeye na mbunge wa jimbo hilo..Kioo kinakuwa Lowassa na sii sana mbunge, labda tu mbunge huyo awe hakubaliki hata kwa kutiwa udi na ubani..

mzee hiyo inaweza isiwe sahihi sana lakini katika hali ya utamamduni wa kuvumilia maoni ya mtu mnaepishana nawajibika kuvumilia maoni yako,lakini naomba nikuulize kitu,unawafahamu wabunge walioshinda huko kigoma kupitia NCCR mageuzi?je mgombea urais wa nccr mageuzi alikua na ushawishi wowote uliosaidia wale mabwana na bibi kushinda huko majimboni na kuvishinda vyama vyenye maguvu kama chadema na ccm?jibu nadhani litakua hapana,bali kilichofanyika ni mikakati ya wabunge husika kwa msaada wamarafiki zao,ndio mana nasema chadema ijikite kwenye ubunge kwa kuwezesha kiuchumi mikakati ya wagombea ubunge iweze kutekelezeka..mgombea urais ndugu yangu anapita kwenye majimbo na kuhutubia kwa dk 30 kwisha kazi kubwa inabaki kwa mgombea mwenyewe na timu yake pale site,sasa chama kimuwezeshe mgombea na timu yake badala ya kwenda kumsanifu na helkopta kwa dk 30 halafu mnapaa hao manondoka zenu then mnasubiri matokeo,haiwezekani mzee.Muwezesheni then wala msiende kule muone kama atashindwa.Wagombea ubunge wanakuwa na wakati mgumu sana wakati wa kampeni za uchaguzi nyie hamjui tu,mgombea anaamka asubuhi anakuta watu wamejipanga nyumbani kwake kama zahanati ya kijiji wote wanasubiri kuwezeshwa na mgombea ili waweze kuzunguka huku na kule kushawishi wapiga kura kwenye vilabu vya pombe n.k.huwezi kuwaita watu(wapiga debe) ukawaweka wakikusikiliza kwa maneno matupu na hadithi za helkopta iliyowatimulia vumbi jana pale uwanjani.
 
Ndugu yangu katika kujifunza hakuna kosa kubwa kama kukariri[KIPURURE],NINGEKUPONGEZA KAMA UNGESHAURI CCM WAACHE KUGOMBEA 2015 kwani itakuwa vema kuliko anguko la kushindana hii aina ya BARCELONA.

HALALAFU ANGALIA TRENTD YA CDM NA CCM KTK PRESIDENTIAL ELECTION NAMNA GRAPH INAVYO TEMBEA KWA KILA UPANDE.

MWISHO KUMBUKA MAZOEA NI TABIA YANA MWISHO, MWAKA 2015 NI WA MAAJABU MAKUU, TUSUBIRI PANAPO MAJAALIWA!
 
You have spoken my mind comrade friend! Majibu unayoyapata kwa wachangiaji wengi ni kawaida ya wana-jf wengi! Wanapenda kusikia kile wanachokipenda! Ukija na critical thinking / observation unaitwa ccm/gamba! Pengine mtazamo huu umepelekea fikra potofu kwamba labda jf ni kwaajili ya chama fulani!

Personally, I totally share your critical observation comrade KIM! It is very obvious kwamba Kama chadema wangeshinda urais 2010 wasingeweza kutawala! Kwa sababu ambazo KIM ameziweka vizuri tu! Lakini kubwa ni kwamba utawala siyo urais tu!! Unawezaje kuwa rais kwenye nchi ambayo 85% ya wabunge ni wa kutoka vyama vya upinzani?! Kwa mara ya kwanza tanzania tungeshuhudia rais anapigiwa vote of no confidence! Na angeondoka!

Ni chadema na vyama vingine vya upinzani kwa ujumla vingetumia muda mwingi kutafuta uhalali na ushawishi kwa wapiga kura kwanza, vijijenge kwanzia chini, vikishakuwa na uhakika na at least 53% of MPs then vinaweza kuanza kuweka mikakati ya urais kwa wakati huo hata wakiupata utakuwa na maana!
 
halafu rais awe nani?
sijui mimi nimejikita katika kutoa ushauri kwa chama kikuu cha upinzani ili kiweze kuunda serikali,urais mimi huwa haunisumbui kutokana na katiba ya tanzania ilivyo ni kitu kidogo sana,sema kwa nyie wapenda ving'ora labda,urais kwangu ni jambo la mwisho na utaitafuta wenyewe chadema baada ya kuwa na govt,sio tena chadema kuutafuta urais.muhimu ni kuwa na serikali
 
Back
Top Bottom