Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS.
Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf? Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF.
Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu.
MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
Unaongelea Watanzania gani wewe ? Ulikaa nao lini hadi wakasema unayo yawakilisha hapa ? Una maana wataka CCM iendelee kukaa madarakani ?Hakuna anayekataa Zitto kuwa raisi ama kugombea watu wamesema kitu kimoja kwamba Zitto ngojea siku zifike muafaka kwa sasa jengeni cham wewe unatoa uharo gani tena hapa .Mods ban this thing hana adabu huyu .Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS.
Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf? Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF.
Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu.
MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
![]()
Yaani wewe unatuona sie watoto hatukioni kinachoendelea hapa jf , ZITTO, SAA SABA, MAMUYA wanavuana nguo hapa live hadi sms zao wanaziweka hapa , na huo unaita sio mgogoro.hiki unachoongea unaweza kuthibitisha ni msemaji gani wa chama amekiri kuwa kuna mgogoro?
CHADEMA hakuna migogoro yoyote bali kuna kikundi kidogo cha ''misukule'' kinachofugwa na CCM kwa lengo la kutaka kuwavuruga.
Makundi ya urais yapo CCM, watu hawalali wanahaha usiku na mchana wakitafutana.
Ndio tabu yenu,Unaongelea Watanzania gani wewe ? Ulikaa nao lini hadi wakasema unayo yawakilisha hapa ? Una maana wataka CCM iendelee kukaa madarakani ?Hakuna anayekataa Zitto kuwa raisi ama kugombea watu wamesema kitu kimoja kwamba Zitto ngojea siku zifike muafaka kwa sasa jengeni cham wewe unatoa uharo gani tena hapa .Mods ban this thing hana adabu huyu .
Yaani wewe unatuona sie watoto hatukioni kinachoendelea hapa jf , ZITTO, SAA SABA, MAMUYA wanavuana nguo hapa live hadi sms zao wanaziweka hapa , na huo unaita sio mgogoro.
kama ni ndoa basi hii ndoa ya kikurya kutwa kudundana ndio mapenzi
Nimeafuatilia migogoro inayoendelea ndani ya chadema na nimegundua tatizo ni dogo sana. KILA KIONGOZI ANATAKA AWE RAIS.
Hii ni dalili kuwa kuna watu wana njaa kali sana humo na mawazo yao yote ni kuwa wakiingia ikulu kitu cha kwanza ni kuanza kula mpaka washibe. Kwa nini Zito alipotamka anataka kugombea urais wanachadema wamchukie kiasi hicho? si wangesubiri tu wakati wa kupiga kura wamtose kuliko kuanza kumtukana hapa jf? Mbona kimewaudhi sana hiki kitendo? hapo kuna mtu ambaye mimi nadhani ndie presidential material hajasema kitu ... TUNDU LISU . huyu naye akifungua kinywa tu aseme neno rais bila hata kusema atagombea basi ngumi za uso zitaanza tena hapa JF.
Hizi dalili zote zimewatisha sana watanzania kiasi kwamba wameona kuwaachia nchi chadema ni sawa na kuwaacha fisi wakutunzie bucha lako, hapo ujue hakitabaki kitu.
MODS kama lugha niliyotumia siyo nzuri naomba muirekebishe kutumia neno fisi sina maana ya kutukana ni mfano tu wa mnyama kwa sababu nisingetumia sima kwa sababu simba hali nyama iliyokwisha chinjwa na nisingetumia mamba kwa sababu mamba wanakulaga mlo mmoja tu kwa mwezi lakini fisi haridhiki
![]()
Yaani wewe unatuona sie watoto hatukioni kinachoendelea hapa jf , ZITTO, SAA SABA, MAMUYA wanavuana nguo hapa live hadi sms zao wanaziweka hapa , na huo unaita sio mgogoro.
kama ni ndoa basi hii ndoa ya kikurya kutwa kudundana ndio mapenzi
Yaani wewe unatuona sie watoto hatukioni kinachoendelea hapa jf , ZITTO, SAA SABA, MAMUYA wanavuana nguo hapa live hadi sms zao wanaziweka hapa , na huo unaita sio mgogoro.
kama ni ndoa basi hii ndoa ya kikurya kutwa kudundana ndio mapenzi