Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Wewe mweyewe fisi una mawazo ya kifisi .Ndiyo maana unapenyeza ufisi wako wako .Mbaguzi mkubwa na usiye na elimu dunia .Mwanamke kupigwa na mumewe ana hawara ni Wakurya tu ? Mods huyu taka wa nini mnafuga anaudhi watu bwana .

Mkuu tuliza munkari kaka, mbona watoka povu hivyooooo.
Nimepiga kwenye masaburi nini?? hahaha
 
Mods kuna wakati mweingine mnakosea sana ,
sasa hii thread na hii muliyounganisha kuna mahusiano gani.
Thread yangu ina ujumbe tofauti kwa jamii na hii.
This is not fair my
 
Back
Top Bottom