Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Chadema kama kweli ina watu makini watasikiliza ushauri wako ..



Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk
 
Ushauri wako ni wa ujenzi sana lakini sijui kama utapata nafasi ya kufanyiwa kazi kutokana na wewe sio pro-chadema.

Chakuwa mfano uwe na wabunge 23 wakuchaguliwa pamoja na Rais halafu upinzani una wabunge 216 hivi hiyo miswada bungeni itapitaje?

Chadema wanatakiwa watambue nguvu ya serikali ipo bungeni, Urais ni taasisi inayofanya kazi na bunge bila bunge ni ngumu kutawala.
 
Ushauri wako ni wa ujenzi sana lakini sijui kama utapata nafasi ya kufanyiwa kazi kutokana na wewe sio pro-chadema.

Chakuwa mfano uwe na wabunge 23 wakuchaguliwa pamoja na Rais halafu upinzani una wabunge 216 hivi hiyo miswada bungeni itapitaje?

Chadema wanatakiwa watambue nguvu ya serikali ipo bungeni, Urais ni taasisi inayofanya kazi na bunge bila bunge ni ngumu kutawala.
nimewaeleza faida za kuwa na wabunge wengi toka jana naimba wimbo huo huo hawa watu hawaelewa wanauliza maswali yale yale,nimewaambia ukiwa na wabunge wengi utaunda serikali kwa maana ya waziri mkuu atakua wako bila waziri mkuu hakuna serikali na pia spika atakuwa wako kwa kuwa spika anachaguliwa na wabunge ambao wewe utakuwa nao wengi hivyo hata chama kingine kikisimamisha mgombea uspika definately atapita wako..wamechagua kutoelewa,wao wako kwenye urais,achana nao.
 
nimewaeleza faida za kuwa na wabunge wengi toka jana naimba wimbo huo huo hawa watu hawaelewa wanauliza maswali yale yale,nimewaambia ukiwa na wabunge wengi utaunda serikali kwa maana ya waziri mkuu atakua wako bila waziri mkuu hakuna serikali na pia spika atakuwa wako kwa kuwa spika anachaguliwa na wabunge ambao wewe utakuwa nao wengi hivyo hata chama kingine kikisimamisha mgombea uspika definately atapita wako..wamechagua kutoelewa,wao wako kwenye urais,achana nao.

Magamba at work
 
Kama kawaida yangu mimi hupenda kuzungumza yale mambo ambayo watu huwa hawapendi kuyasikia hata kama yapo.Leo napenda kushauri chadema ama wapinzani kiujumla waachane na ndoto za urais badala yake wajikite kwenye ubunge;hii ndio njia ya mkato na strategy ya kushika serikali.Urais ni jambo dogo sana ambalo unaweza kulipata na ukawa rais picha tu ambae hana serikali.Kwa mfano nguvu nyingi walizotumia chadema kwenye uchaguzi uliopita ili slaa awe rais urais wake usingekua na maana kwani angekua rais bila serikali jambo ambalo lisingeisadia sana chadema na wapenda mabadiliko wengine,hivyo shime sasa chadema acheni kudanganyana na ndoto za urais,nguvu kubwa ipelekeni kwenye ubunge na kwa kuanzia Slaa agombee ubunge ALUMERU na muhakikishe anashinda ili kutekeleza kwa vitendo nadharia ya ubunge kwanza urais utakuja wenyewe baadae.

Nawasilisha.

*Angalizo wachangiaji mnatakiwa kuwa na hoja kwanza,kama huna hoja kaa pembeni,itoshe tu kuwa msomaji kuliko kuleta vioja.

*Mods msisikilize maneno ya wachochezi kwa kuifunga hii thread ama kuichanganya na nyingine.


"Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". - Regia Mtema.

Mkuu unajitolea sana kusafisha njia.Ukienda Lumumba waambie wakuongezee posho
 
Ushauri wako ni wa ujenzi sana lakini sijui kama utapata nafasi ya kufanyiwa kazi kutokana na wewe sio pro-chadema.

Chakuwa mfano uwe na wabunge 23 wakuchaguliwa pamoja na Rais halafu upinzani una wabunge 216 hivi hiyo miswada bungeni itapitaje?

Chadema wanatakiwa watambue nguvu ya serikali ipo bungeni, Urais ni taasisi inayofanya kazi na bunge bila bunge ni ngumu kutawala.

hebu kawashauri ccm waweke kwa matendo mambo wanayoyaandika kwenye makaratasi.
Wamesema wataondoa posho za vikao, mpango wa miaka mitano unasema wazi wazi, mbona hawazitoi? Mbona wanataka kuongezana posho?
Hebu kawashauri hao kwanza. Achaneni na mambo yasiyowahusu.
Mnaonekana makenge, mnaonea wivu mikia ya wenzenu coz ya kwenu hamuioni...
 
nimewaeleza faida za kuwa na wabunge wengi toka jana naimba wimbo huo huo hawa watu hawaelewa wanauliza maswali yale yale,nimewaambia ukiwa na wabunge wengi utaunda serikali kwa maana ya waziri mkuu atakua wako bila waziri mkuu hakuna serikali na pia spika atakuwa wako kwa kuwa spika anachaguliwa na wabunge ambao wewe utakuwa nao wengi hivyo hata chama kingine kikisimamisha mgombea uspika definately atapita wako..wamechagua kutoelewa,wao wako kwenye urais,achana nao.

Ni kweli ipo faida kubwa ya kuwa na wabunge wengi, mkakati wa CDM iwe ni kuwekeza kwa vijana. CDM haiwezi kuwa na wabunge wengi mwaka 2012 kwani hata wakishinda kesi zote bado hawatazidi namba ya wabunge wa CCM. Ushauri wangu Nasary apewe nafasi tena na support kubwa ya Chama ikizingatiwa ni mwenyeji wa eneo hilo na matokeo ya uchaguzi uliopita hayakuwa mabaya ukilinganisha na uzoefu aliokuwa nao na mtu aliyekuwa akipambana naye. Jimbo hilo lina siasa za ukubwa wa ukoo hivyo mtu yeyote toka nje ya Meru hana nafasi kubwa. Strength ya Nasary ipo kwa vijana kwani wanamkubali vyuo na watu wengi waliopo maeneo yasiyokuwa na wenyeji wa Meru. Dr. Imarisha chama, elimisha jamii andaa serikali ya 2015.




i
 
hebu kawashauri ccm waweke kwa matendo mambo wanayoyaandika kwenye makaratasi.
Wamesema wataondoa posho za vikao, mpango wa miaka mitano unasema wazi wazi, mbona hawazitoi? Mbona wanataka kuongezana posho?
Hebu kawashauri hao kwanza. Achaneni na mambo yasiyowahusu.
Mnaonekana makenge, mnaonea wivu mikia ya wenzenu coz ya kwenu hamuioni...

Kuhusu posho hakuna alo salama,labda zitto angalau anasimamia anachosema wengine wote akiwamo mbowe,mnyika,tundu n.k. wametulate down sana kule bungeni,mtu kama mbowe ndio tulimtegemea aongoze wabunge wa upinzani kuonyesha mfano kugomea zile posho za kukaa kitako lakini yeye ndio amekuwa wa kwanza kuungana na kina juma nkamia kusaini kuzipokea huku akimtoa zitto ambae amegoma kuzichukua kafara..
 
Mkuu unajitolea sana kusafisha njia.Ukienda Lumumba waambie wakuongezee posho

Poa wapi we dogo,we unafikiri kila mtu anaishi kwa posho kama mbowe na wabunge wengine ukimuacha mheshimiwa zitto !
 
Poa wapi we dogo,we unafikiri kila mtu anaishi kwa posho kama mbowe na wabunge wengine ukimuacha mheshimiwa zitto !

Hapo cha maana mwisho wa siku PEOPLES wameshinda kwani ndio walioanzisha hoja, tunasubiri pia serikalini na mashirika ya umma.
 
Kama kawaida yangu mimi hupenda kuzungumza yale mambo ambayo watu huwa hawapendi kuyasikia hata kama yapo.Leo napenda kushauri chadema ama wapinzani kiujumla waachane na ndoto za urais badala yake wajikite kwenye ubunge;hii ndio njia ya mkato na strategy ya kushika serikali.Urais ni jambo dogo sana ambalo unaweza kulipata na ukawa rais picha tu ambae hana serikali.Kwa mfano nguvu nyingi walizotumia chadema kwenye uchaguzi uliopita ili slaa awe rais urais wake usingekua na maana kwani angekua rais bila serikali jambo ambalo lisingeisadia sana chadema na wapenda mabadiliko wengine,hivyo shime sasa chadema acheni kudanganyana na ndoto za urais,nguvu kubwa ipelekeni kwenye ubunge na kwa kuanzia Slaa agombee ubunge ALUMERU na muhakikishe anashinda ili kutekeleza kwa vitendo nadharia ya ubunge kwanza urais utakuja wenyewe baadae.

Nawasilisha.

*Angalizo wachangiaji mnatakiwa kuwa na hoja kwanza,kama huna hoja kaa pembeni,itoshe tu kuwa msomaji kuliko kuleta vioja.

*Mods msisikilize maneno ya wachochezi kwa kuifunga hii thread ama kuichanganya na nyingine.


"Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". - Regia Mtema.














GAMBA GUMU wewe unamdanganya nani wewe gamba2 na una ubongo mdogo kama maisha ya funza pumbaf zako
 
GAMBA GUMU wewe unamdanganya nani wewe gamba2 na una ubongo mdogo kama maisha ya funza pumbaf zako

Najua itakua ngumu kunielewa ninachosema kwa kuwa sasa hivi hamtaki kusikia la muadhini wala la mnadi sala mnataka urais na hamtaki kusikia yeyote huko chadema anatajwa kwa urais zaidi ya slaa,wakati huo huo mnajiita cha cha kidemokrasia na maendelea,hii inachekesha sana aisee,chama cha demokrasia bila demokrasia..!
 
Mtoa hoja akapimwe akili kwani anaonekana kuwa na tatizo la kufikiri na kupima licha ya kusoma alama za nyakati. Huo urais uachiwe chama gani? cha magamba? Huu ni mfululizo wa kutumwa kuibua hoja ambazo hazina mashiko. Hawa ni kundi lile linalopewa rushwa ya fulana, kofia na pilao ya jana yake. Watu wa namna hii wanachelewesha safari ya kupata maisha bora. Itoshe tu kusema kuwa siyo lazima kuchangia kwenye JF kama una ufinyu wa uelewa katika tanzania tunayotaka. Anachosema huyu bwana ni kuona hali mbaya za maisha, barabara mbovu, huduma mbaya za afya, migomo isiyoisha ya kudai haki kwa vikundi mablimbali vya jamii n.k vyote vikiwa vimechangiwa na serkali iliyoko madarakani ya magamba.
 
Mwalimu KK na wengine,
Mkaisome tena KATIBA ya sasa ya JMT muielewe. Rais wa JMT anaweza kuunda na kuendesha serikali bila ya chama chake kuwa na Wabunge wengi.
-Anao Wabunge 10 wa kuteua yeye mwenyewe kama Rais.
-Serikali inaendesha mambo yake mengi bila kutafuta ridhaa ya Bunge ikiwemo kusaini mikataba mbalimbali.
-Teuzi nyingi za Watendaji wakuu serikalini ni zake yeye mwenyewe na hazithibitishwi wala kuhojiwa na chombo kingine chochote mbali na uteuzi wa WAZIRI MKUU.
-Mchakato wa Bunge kumpigia Rais kura ya kutokuwa na IMANI naye ni mrefu na mgumu kwelikweli.
-Ni rahisi mno Rais kulivunja Bunge na serikali ikaendelea kuwepo.
CHADEMA, tafuteni kwanza URAIS wa JMT haya mengine mtayapata kwa ZIADA. KK haijui katiba yetu.
 
Back
Top Bottom