KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
- Thread starter
- #41
Kuna kitu hujaelewa ila unataka kulazimisha uonekane umeelewa,tunaposema nguvu ielekezwe kuyateka majimbo na kuwa na wabunge wengi maana yake ni kwamba kwa mujibu wa katiba tuliyonayo sisi sio marekani wala wapi unakolazimisha tukakope mifano ndio kinachounda serikali,jambo ambalo ndilo lenye mana kuliko iko kivuli cha urais kinachowatesa wengi,kwa hali ilivyo sasa na hizi ndoto za urais zilizigubika chadema na wapinzani kiujumla kwa muda sasa hata kama mkifanikiwa kuupata huo urais mnaweza kujikuta mnakiti cha urais lakini ccm ndio itaunda serikali kwa maana ya kutoa waziri mkuu,je hilo ndio lengo la wapinzani wa tanzania?jamani mbona naongea kitu rahisi sana lakini great thinker mnachukua muda mrefu sana kukielewa karibu 3 hours now arguments ni zile zile zinajirudia tu mnafanya makusudi au?Nambie nchi au uchaguzi wowote ambao chama kilishinda na kuongeza hesabu ya WABUNGE bila kuwa na Mgombea Urais mzuri..Pengine hufahamu misingi na malengo ya ya uchaguzi mkuu..Uchaguzi siku zote unaanza na kujipanga na mgombea Urais kwanza, na hata Marekani unaona nguvu kubwa inawekwa ktk mtu wa kupambana na Obama, huyu akiwa na nafasi ya uhsindi ndiye atawarahisishia Wabunge Ushindi wao pia na akiwa sio chaguo la Wananchi basi hata nafasi ya wabunge kushinda hushuka.
Malengo ya kugombea Uchaguzi mkuu ni kuongoza nchi na sio kuwakilisha majimbo. Kwa taarifa yako tu hakuna chombo kinachoweza kwenda pasipo kiongozi, Hata mtumbwi unaotegemea nguvu ya wapiga kasia ni lazima uongozwe na nahodha mzuri..