Ushauri: Chadema achaneni na ndoto za urais!

Nambie nchi au uchaguzi wowote ambao chama kilishinda na kuongeza hesabu ya WABUNGE bila kuwa na Mgombea Urais mzuri..Pengine hufahamu misingi na malengo ya ya uchaguzi mkuu..Uchaguzi siku zote unaanza na kujipanga na mgombea Urais kwanza, na hata Marekani unaona nguvu kubwa inawekwa ktk mtu wa kupambana na Obama, huyu akiwa na nafasi ya uhsindi ndiye atawarahisishia Wabunge Ushindi wao pia na akiwa sio chaguo la Wananchi basi hata nafasi ya wabunge kushinda hushuka.

Malengo ya kugombea Uchaguzi mkuu ni kuongoza nchi na sio kuwakilisha majimbo. Kwa taarifa yako tu hakuna chombo kinachoweza kwenda pasipo kiongozi, Hata mtumbwi unaotegemea nguvu ya wapiga kasia ni lazima uongozwe na nahodha mzuri..
Kuna kitu hujaelewa ila unataka kulazimisha uonekane umeelewa,tunaposema nguvu ielekezwe kuyateka majimbo na kuwa na wabunge wengi maana yake ni kwamba kwa mujibu wa katiba tuliyonayo sisi sio marekani wala wapi unakolazimisha tukakope mifano ndio kinachounda serikali,jambo ambalo ndilo lenye mana kuliko iko kivuli cha urais kinachowatesa wengi,kwa hali ilivyo sasa na hizi ndoto za urais zilizigubika chadema na wapinzani kiujumla kwa muda sasa hata kama mkifanikiwa kuupata huo urais mnaweza kujikuta mnakiti cha urais lakini ccm ndio itaunda serikali kwa maana ya kutoa waziri mkuu,je hilo ndio lengo la wapinzani wa tanzania?jamani mbona naongea kitu rahisi sana lakini great thinker mnachukua muda mrefu sana kukielewa karibu 3 hours now arguments ni zile zile zinajirudia tu mnafanya makusudi au?
 
Kuna kitu hujaelewa ila unataka kulazimisha uonekane umeelewa,tunaposema nguvu ielekezwe kuyateka majimbo na kuwa na wabunge wengi maana yake ni kwamba kwa mujibu wa katiba tuliyonayo sisi sio marekani wala wapi unakolazimisha tukakope mifano ndio kinachounda serikali,jambo ambalo ndilo lenye mana kuliko iko kivuli cha urais kinachowatesa wengi,kwa hali ilivyo sasa na hizi ndoto za urais zilizigubika chadema na wapinzani kiujumla kwa muda sasa hata kama mkifanikiwa kuupata huo urais mnaweza kujikuta mnakiti cha urais lakini ccm ndio itaunda serikali kwa maana ya kutoa waziri mkuu,je hilo ndio lengo la wapinzani wa tanzania?jamani mbona naongea kitu rahisi sana lakini great thinker mnachukua muda mrefu sana kukielewa karibu 3 hours now arguments ni zile zile zinajirudia tu mnafanya makusudi au?
Sijasema tukopi mahala isipokuwa ndio rule of movement ktk politics. Kama unataka tufanye kivyetu then kwa nini unaitaka Demokrasia ambayo imeanzishwa na hao hao unaowapinga? Mkuu huwezi kuendesha gani barabarani kwa kurudi nyuma kwa sababu tu unataka uonekane tofauti..

Hakuna chama duniani kinachoweza kushinda ktk uchaguzi mkuu pasipo kuwa na kiongozi mzuri kugombea nafasi ya Urais kwa sababu huyu ndioye anayejenga njia ya ushindi kwa wabunge..Lengo la ushindani ktk uchaguzi mkuu ni KUONGOZA nchi na sii uwakilishi wa majimbo na ndio maana hutaona chama mahala popote wakichagua wagombea Ubunge kwanza kabla ya kumpata mgombea Urais..Winner take all ina maana kubwa zaidi ya fikra zako na wala sii swala la mimi kutoelewa isipokuwa hoja yangu inapingana na yako. Uchaguzi wa Arumeru ni mdogo ukilinganisha na matayarisho ya nguvu kuelekea Uchaguzi wa 2015..
 
Sijasema tukopi mahala isipokuwa ndio rule of movement ktk politics. Kama unataka tufanye kivyetu then kwa nini unaitaka Demokrasia ambayo imeanzishwa na hao hao unaowapinga? Mkuu huwezi kuendesha gani barabarani kwa kurudi nyuma kwa sababu tu unataka uonekane tofauti..

Hakuna chama duniani kinachoweza kushinda ktk uchaguzi mkuu pasipo kuwa na kiongozi mzuri kugombea nafasi ya Urais kwa sababu huyu ndioye anayejenga njia ya ushindi kwa wabunge..Lengo la ushindani ktk uchaguzi mkuu ni KUONGOZA nchi na sii uwakilishi wa majimbo na ndio maana hutaona chama mahala popote wakichagua wagombea Ubunge kwanza kabla ya kumpata mgombea Urais..Winner take all ina maana kubwa zaidi ya fikra zako na wala sii swala la mimi kutoelewa isipokuwa hoja yangu inapingana na yako. Uchaguzi wa Arumeru ni mdogo ukilinganisha na matayarisho ya nguvu kuelekea Uchaguzi wa 2015..

Ndio nasema huelewi au pengine hutaki kuelewa,slaa kugombea ndio naona hapa ndio inayowanyima usingizi,nilichosema ARUMERU inaweza kutumika kama starting point ya mkakati au dhana ya ubunge kwanza,lakini lengo langu mzee ni wapinzani hasa chadema kwa kuwa tayari kina mtandao unaoeleweka kuweka nguvu kwenye ubunge kila nafasi inapopatikana kuliko kwenye urais,kwa kuwa mzee ukiwa na wabunge wengi kwa mujibu wa katiba yetu ndio unaunda serikali ambayo utakua na uhuru wa kutekeleza unayoyataka lakini kama utapata urais na huna wabunge hutokuwa na jipya zaidi kuzindua kampeni za upandaji wa miti n.k. huku wenye serikali(wenye wabunge/majimbo mengi)wakitekeleza sera zao hata kama ni za kifisadi,sawasawa?
 
Kim Kardash,

..hivi unaweza kusema kwamba CDM leo hii r in worse position than they were 3 yrs ago?

..kwa mtizamo wangu Slaa aliinua sana profile ya CDM wakati wa uchaguzi mkuu na kupelekea wananchi kuwa na interest na wagombea ubunge wa CDM.

..Kwa msingi huo naamini kitendo cha Slaa kugombea Uraisi kilisaidia kuongeza idadi ya wabunge wa CDM.

..huwezi kushinda viti vingi vya ubunge bila kuwa na mkakati wa muda mrefu[endelevu] wa kukijenga chama ktk ngazi ya wilaya na kata.

..hata katika ngazi ya Uraisi kampeni zake haziishii na mgombea kufanya mkutano wa hadhara tu. kunapaswa kuwepo wanachama ktk maeneo husika ambao wataendelea kumnadi mgombea Uraisi, pamoja na chama baada ya mikutano ya hadhara ya kampeni.

..kama uli-pay attention kwenye kampeni za CCM utaona kwamba kuna maeneo alipita Kikwete, halafu akafuatia Dr.Bilal, akaja mama Salma Kikwete, zaidi walikuwepo wagombea ubunge wenye nguvu na mabavu ya incumbency, na mwisho kabisa kulikuwepo na nguvu ya mtandao wa matawi ya CCM.

..binafsi nadhani Slaa aliwasaidia CDM ku-mask mapungufu yao, pamoja na udhaifu wa chama wa kutokuwa na mtandao wa matawi huko vijijini.

..CDM wako ktk nafasi nzuri zaidi ya kugombea Uraisi na kuongeza viti vya ubunge come 2015.

Je kwa jinsi unavyoona unadhani chadema wanaonesha dalili za kuwa na mkakati wowote wa muda mrefu na endelevu wa kukijenga chama ngazi ya wilaya na kata???uwe makini hapa kwenye kulijibu hili maana ukikurupuka kuna swali mbele linafuata usidhani ukisema ndio tu basi utakuwa umemaliza kazi,ujue unachokisema na uwe na uhakika nacho,ninayo hapa ratiba ya movement zote za slaa na viongozi wengine wa chadema baaya ya uchaguzi mkuu wamefanya nini wamepita wapi na wapi n.k.twende kazi.
 
Je kwa jinsi unavyoona unadhani chadema wanaonesha dalili za kuwa na mkakati wowote wa muda mrefu na endelevu wa kukijenga chama ngazi ya wilaya na kata???uwe makini hapa kwenye kulijibu hili maana ukikurupuka kuna swali mbele linafuata usidhani ukisema ndio tu basi utakuwa umemaliza kazi,ujue unachokisema na uwe na uhakika nacho,ninayo hapa ratiba ya movement zote za slaa na viongozi wengine wa chadema baaya ya uchaguzi mkuu wamefanya nini wamepita wapi na wapi n.k.twende kazi.

Kim Kardash,

..I would assume wameshaanza kufanya hivyo.

..kama hawajafanya hivyo mikwaju inapaswa kutembea ndani ya chama.
 
Mzee hakuna chama kitafanikiwa kushika dola bila kupata sapoti ya wasio wanachama kama independent voter ambao ndi wengi,kudhani nyie cdm mtafanikiwa kwa kutumia wanachama wenu ni kujidanganya,hao ccm wenyewe wanashinda kwa kuwa wanapigiwa kura hata na wasio wanachama,mkijifungia kwenye kachumba kadogo ka chama cha wanachama mtachukua muda mrefu sana bila mafanikio.Mnahitaji kuvutia watu kama mimi pia ambao sio wanachama ili tushawishike kuwapigia kura.CHADEMA ina wanachama wangapi tanzania nzima?je kura zao pekee zinatosha kuwapa dola?amka usingizini hata kama usingizi ni mtamu kiasi gani mzee

Unapotaja aina za wapiga kura na upigaji wao ungesaidia hoja yako kwa kutoa takwimu na analysis. Ungetuambia pia sababu halisi na za ukweli zilizotoa matokeo yaliyotangazwa na tume mwaka 2010 katika urais na ubunge pia, maana hoja yako ni kwamba Chadema isingeunda serikali hata kama Dr. Slaa angeshinda; je, matokeo ya ubunge yalikuwa sahihi, ya urais nayo yalikuwa sahihi?
 
CHADEMA hawajawahi kumaanisha kugombea urais. Huwa wanaweka mtu ili na wao waonekane wameweka mtu.

Radhia sweety: Hiyo si kweli kwa sababu hadi leo wapo wanaoamini kuwa JK hakushinda Urais bali DR wa ukweli na wanathubutu hata kumwita Rais siku zote!
 
Je kwa jinsi unavyoona unadhani chadema wanaonesha dalili za kuwa na mkakati wowote wa muda mrefu na endelevu wa kukijenga chama ngazi ya wilaya na kata???uwe makini hapa kwenye kulijibu hili maana ukikurupuka kuna swali mbele linafuata usidhani ukisema ndio tu basi utakuwa umemaliza kazi,ujue unachokisema na uwe na uhakika nacho,ninayo hapa ratiba ya movement zote za slaa na viongozi wengine wa chadema baaya ya uchaguzi mkuu wamefanya nini wamepita wapi na wapi n.k.twende kazi.
Safi sana, sasa wewe fikiria kama Dr.Slaa ndio ataondoka kabisa ktk nafasi hiyo na kwenda kuwa Mbunge ndio itakuwaje?. Halafu kwa maneno uloyaweka hapa inaonyesha wazi basi Dr. Slaa kumbe hafai kabisa.. Ikiwa leo hana mamlaka ya Ubunge na ameshindwa kukipeleka chama hadi ngazi ya wilaya na kata ataweza vipi akiongezewa majukumu mengine?.. Mimi nafikiri ungeanza na kumuuliza Dr. Slaa na viongozi wengine kuhusu hili kwanza kabla hujapendekeza Ubunge maana umeona mapungufu makubwa ya chama kijenga wakati Dr. Slaa hana majukumu nengine isipokuwa kukijenga chama..
 
KIM KARDASH mimi nakupongeza kwa ushauri wako japo najua kwa kiasi kikubwa wana CHADEMA hapa jamvini hawatakuelewa lakini naamini viongozi wao wataona uzito wa hii hoja yako. Jana pili kulitolewa ushauri kwa CHADEMA hapa, lakini aliyeleta alikurupuka maana aliwaambia kuwa wanatakiwa wajipenyeze kwenye mikoa isiyo na mwamko wa kisiasa ambapo kikukweli hapa hakuna mkoa usio na mwamko wa kisiasa nchini.
 
KIM KARDASH mimi nakupongeza kwa ushauri wako japo najua kwa kiasi kikubwa wana CHADEMA hapa jamvini hawatakuelewa lakini naamini viongozi wao wataona uzito wa hii hoja yako. Jana pili kulitolewa ushauri kwa CHADEMA hapa, lakini aliyeleta alikurupuka maana aliwaambia kuwa wanatakiwa wajipenyeze kwenye mikoa isiyo na mwamko wa kisiasa ambapo kikukweli hapa hakuna mkoa usio na mwamko wa kisiasa nchini.
Mkuu wangu hapa janvini tunabadilishana mawazo na hoja za nguvu zinakaribishwa. Ukiweza kuzijibu kwa mifano na vigezo sidhani kama kuna mwana Chadema atakayepinga tu ili mradi anapinga. Mimi sioni faida ya Dr.Slaa kugombea Arumeru ikiwa lengo kubwa la chama ni kuwafikia wananchi walio wengi, kukijenga chama na kuweka nanga sehemu ambazo hatukuwahi kufika zamani, leo huu uchaguzi mdogo wa Arumeru ndio uchukue nguvu yetu kubwa ya mgombea Urais mtarajiwa wakati tunajua kabisa kura moja ya Dr. Slaa bungeni haiwezi kubadilisha kitu wala kuandaa mazingira bora ya uchaguzi wa mwaka 2015.
 
Kim Kardash,

..I would assume wameshaanza kufanya hivyo.

..kama hawajafanya hivyo mikwaju inapaswa kutembea ndani ya chama.

Na hili ndio tatizo la wafuasi wengi wa chadema,wengi mnaishi kwa assumptions hamjiangaishi kukifuatilia chama mnachokipenda na mnachokiamini,mnakaa hapa jf kusoma kila propaganda inayoletwa humu mkitegemea kuleta mabadiliko kupitia kuweka post humu za kumshushua Nape,Jk na wengine ccm,kazi ya ukombozi si ya kukaa ofisini kwenye laptop,somtimes ndio mimi huwa nasema kitu ambacho hampendagi kukisikia kwamba CUF licha ya kutokuwa na wasomi waliweza kuitingisha ccm kwa kuwa wanachama na wapenzi wake walikua na ujasiri wakutoka barabarani bila kusita na kuonyesha hisia zao,chadema utaiona iko active kama mwanachama au mpitaji wa wa humu jf,hali ni tofauti huko uswahilini tunakoishi,yote hiyo ni kielelezo kwamba mashabiki wa cdm hamko tayari kukipigania chama chenu hadharani mnapigana ki uoga mkiwa mmejificha nyuma ya laptop na kumsubiri slaa,zitto na mnyikawaje hapa na bahati mbaya wakija hapa hamna cha kuwahoji kwa kuwa hamjui kinachoendelea,hamjui movement za viongozi kwenye harakati za kukijenga chama wamepita wapi na wapi wamepokelewa vipi n.k.hali ni tofauti sana kwa makada wa ccm na chama chao..leo humu akija slaa watu wakianza kumchallenge wanatukanwa,kudhalilishwa na kudhihakiwa matokeo yake mna create distance kati ya viongozi na wafuasi,wafuasi wanaogopa kuhoji utendaji wa viongozi kukijenga chama wanaogopa kuambiwa wametumwa na NAPE!ndipo mlipojifikisha chadema,sasa mnalishwa yale viongozi wanayotaka muyajue wasiyoyataka wanakaa nayo,mfano mzuri ni mazungumzo ya ZITTO,WARIOBA,SALIM,SLAA NA JK yaliyozaa zile safari za ikulu hamkujua lolote mkashitukia watu wanaigia ikulu tu na mkahamaki hapa lakini mkaogopa kuhoji tukawasaidia kuhoji mpaka slaa akalzimika kuja kutoaufafanuzi hapa lakini hakuwaambia lolote la maana zaidi ya kuwaambia msubiri "wakati ukifika" mtajulishwa!!
 
anyway tatizo lako nalijua ngoja nikuache kwanza nitarudi badaye
 
Huu ushauri wako ni suicidal kwa chadema..

Kugombea urais ni aina ya matangazo kwa wananchi;

kujijenga..tena kirahisi maana unapata media attention
 
Unapotaja aina za wapiga kura na upigaji wao ungesaidia hoja yako kwa kutoa takwimu na analysis. Ungetuambia pia sababu halisi na za ukweli zilizotoa matokeo yaliyotangazwa na tume mwaka 2010 katika urais na ubunge pia, maana hoja yako ni kwamba Chadema isingeunda serikali hata kama Dr. Slaa angeshinda; je, matokeo ya ubunge yalikuwa sahihi, ya urais nayo yalikuwa sahihi?

Hapa na wewe unaweza kuulizwa matokeo ya ubunge waliyoshinda chadema nayo yalikua si sahihi au ni kwa yale waliyoshindwa tu ndio si sahihi?
 
Huu ushauri wako ni suicidal kwa chadema..

Kugombea urais ni aina ya matangazo kwa wananchi;

kujijenga..tena kirahisi maana unapata media attention

sijasema msigombee urais bali nguvu kubwa ipelekwe kwenye ubunge kuliko urais,yale mambo ya kitoto mgombea urais kutalii na helikpta wakati wagombea ubunge wanasota muyaache,zile ni sifa za k.i.j.i.n.g.a ambazo hazina msaada kwa chama,pesa kama zipo asilimia kubwa wapewe wagombea ubunge wajiimarishe majimboni kwa kuwa wao wingi wao ndio unakiingizia chama pesa hata hivyo.
 
Radhia sweety: Hiyo si kweli kwa sababu hadi leo wapo wanaoamini kuwa JK hakushinda Urais bali DR wa ukweli na wanathubutu hata kumwita Rais siku zote!
na walimfuata Ikulu kuomba ushauri wakitoka hatumtambui hebu tusubiri hiyo Arumeru mashariki maana UZINI Zanzibar hamkusema
 
sijasema msigombee urais bali nguvu kubwa ipelekwe kwenye ubunge kuliko urais,yale mambo ya kitoto mgombea urais kutalii na helikpta wakati wagombea ubunge wanasota muyaache,zile ni sifa za k.i.j.i.n.g.a ambazo hazina msaada kwa chama,pesa kama zipo asilimia kubwa wapewe wagombea ubunge wajiimarishe majimboni kwa kuwa wao wingi wao ndio unakiingizia chama pesa hata hivyo.

Tuache na mkakati wetu, wewe inakuhusu nini pesa za chama tumetafuta wenyewe kwa jasho letu ok..

Ushauri wako hatutaki
 
Tuache na mkakati wetu, wewe inakuhusu nini pesa za chama tumetafuta wenyewe kwa jasho letu ok..

Ushauri wako hatutaki

mkakati "wenu" sio?ok anywayz endeleeni na mkakati "wenu" na chama "chenu" pande hizo.
 
Ushabiki sio mzuri, tujadili hoja tuache uchama, a maendeleo ya taifa.Naona mtoa hoja mezungumza vizuri na kushauri viti vingi vya ubunge vitasaitia kuunda serikali sio kuwa na rais bila serikali.Tufikirie mikakati ipi ifanyike kufanikisha yote mawili
 
Back
Top Bottom