kwa hiyo unaamini kabisa chadema watakusikiliza!? Na kufuata ushauri wako!? Unajua wewe una mawazo ya kimasikini kabisa!? Yaani ni sawa sawa na kumwambia mtu bora uwe masikini tu naona utajiri umekushinda!? Unajua mtu au mwanaume kama mwanaume inabidi uhustle au ustraggle, so chadema ni mwanaume inabidi ahustle, unajua katika kuarchive something masnitch huwa wana exist, snitch mmoja ni kama wewe, Never forgive up chadema, walianza na wabunge 5 je unajua sasa hivi wapo wangapi!? Kama wangekuwa wanafuata ushauri kama wako unadhani ingekuwaje!? Sasa hivi wameteka kanda ya ziwa,kaskazini kule kusini Mbeya na Iringa pamoja na mpanda kati je unadhani zamani ilikuwaje!? no retreat, no surrender, freedom is coming tomorrow!