Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,267
- 5,601
Hahahaha nafikiri basi mtaji wa Chadema ni ku-manipulate watu waliochoka na maisha kama wewe ili Muda wote muwe mnafatilia vitu visivyo na tija kwenye maisha yenu/kuvitoa kasoro /kupinga kila kitu.Huwezi kuona kasoro, ilihali hukwenda shule. Ndo mana mtaji wa CCM ni kuwafanya watanzania kubaki kwenye ujinga
Basi tu unajua vitu vingine havina maana zaidi ya kuuchosha moyo wa mtuHahahahaha, kwa nini!
yani unaweza kudhani muda wowote nchi inapinduliwaKabisa
Ukiwa Ndani Jamiiforums.com
Utasema Nchi Haitawaliki Vile