vvvv
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 357
- 589
Yanga walipopata barua toka kwa FIFA, CAF na TFF Pacome akapata injury, TFF imeficha jina la mchezaji aliyechezeshwa na Yanga wakati usajili wake wa utata.
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)
Wameamua wasimchezeshe kabisa, sheria inajulikana kila mechi aliyochezeshwa points 3 zinatakiwa zikatwe.
TFF simamieni sheria acheni kuwekwa kwapani na Yanga. Simba na vilabu vingine vinatakiwa kusimamia hili kupitia kwa wanasheria mchezaji anachezaji ada ya malipo ya FIFA na CAF haijalipwa?
Pia soma: Klabu Yanga yafungiwa kusajili na Shirikisho la soka Duniani (FIFA)