Ushabiki wa siasa katika taasisi za soka: Wakati umewadia sasa kwa FIFA kushusha rungu lake kwa vilabu vya Yanga na Simba

Mkuu nakuunga Mkono kwa hili. Sisi wanachama wa SIMBA tumeumizwa saana na huu upuuzi wa huyu gabachori na amekuwa mbishi saana. Changamoto imekuwa wapi pa kuanzia ila nakuhakikishia tupo tayari kukuunga mkono wewe tuongoze. Tuwasiliane
petition wasilisheni ninyi wenye vilabu vyenu dhidi ya hao wanasiasa uchwara ndani ya vilabu vyenu.

sisi wengine tusioshabikia hivi vilabu vyenu tunasubiri kuchukua hatua dhidi ya vilabu endapo tu nyie wafuasi mtawanyamazia hao.
 
Yanga kipindi inaanziswa lengo kuu ni kukusanya vijana wa tanganyika pamoja na kuleta mshikamano na uzalendo katika Chama (tanu) ndio maana sandaland ilipoanzishwa mwalim nyerere alichukia why ipewe jina la kizungu hvy aliwaona kama ni wapinzani flani hv, hvy basi kutenganisha hizi club na Chama tawala ni issue kwel kwel coz wazee waasisi wa club hizi walikuwa tanu damu na wengi walikuwa ni mapolisi , wanajeshi, magereza na wafanyakazi wa kiwanda cha mkonge.
 
Hilo jamaa jinga sana yani linashabikia watu waliomteka na kumficha pangoni wakimlisha ugali maharage wiki nzima
 
Uliwahi kuona wapi Simba au yanga ikaongozwa na kiongozi toka upinzani?
Chadema mjikite kwenye Sera acheni kuhangaika na Mambo madogo,Kura Ni Siri yangu siwezi kuiacha Simba kisa Mo Ni ccm
Hata yanga akina mwakalebela na Mahindi msola wamezindua wiki ya wananchi huko Dodoma Ni siasa tu,lakini Mbowe mnazi wa Yanga hajajitoa yanga
Tuthibitishie kua mbowe ni yanga,Unless otherwise zitakua ni porojo
 
Back
Top Bottom