Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Usaliti: Nusura niue mtu hii weekend

Mjumbe wa amani kuhubiri kuua....Ni kitabu kipi cha dini hakijaagiza kuua? kila kitu ni sawa kulingana na uhitaji wake.

Basi kama ndio hivyo kuwa kila kitu ni sawa kutokana na uhitaji wake basi hata huyo aliyetupa moyo wako ingali ulimkabidhi basi ilikuwa sawa kutokana na uhitaji wake wakati ule!! Ila bado haujaniambia maana ya 'bata mweusi'.
 
Pole Mkuu penzi ni hatari mm nilishindwa lala kheri wewe uliupata hata uo usingizi mm nililia nikashindwa kula dunia ilikua chungu kwangu ila sasa nimeshasahau maisha yanasonga
 
pole sana dd angu.mimi ni wakiume ila nmejikuta nakuhurumia, ww ni asset lkn bahati mbay yalokukuta. Anyway tulia saiv usfanye maamuz yoyte kwanza adi akili itulie
 
Thank you mummy...maumivu yake usiseme kabisa!
Ila futa kauli Huyo Mwanaume hakuwa ana kupenda kama ulivyokiri Hapa...ungesema He pretended to love ...ndo mana ukiona hiyo Move. Every Man cheats but if he loves you..you will never find out.By BAK
 
Mkuu nashukuru kwa yote,...usiwe na wasi wasi hata ukikutana na mimi sintajihusisha na mambo ya mapenzi wala ndoa...maisha yangu ya kimahusiano yashapita na wala siidai hii dunia chochote kwenye hiyo sekta,,,...kuna siasa, uchumi na mambo kibao kwenye maisha nitakayo jihusisha nayo, lakini KAMWE! siyo mapenzi.
Acha Roho mbaya wewe una Maana Hutaki hata kuzaa watoto labda kama Tayari unaye Au unaoo..by the way..ukiona Mwanaume anaingiza mwanamke mwinginw Ndani kwake Na akijua wazi unaweza Enda tena bila wasiwasi ujue Amepanga kukuacha. Kisa kama chako kimewai nipata but sikuwaza kuuwa wala kutopenda..nilichofanya Nilijipa muda Fulani wa kutengamaa akili Na mwili...mwisho wa suku nikatuliaa.Yaani wewe uache kugegedwa kisa Bata Mzinga. Aaa acha ujinga wakati yy ananenepa Wewe ukondeee...Ngalambeeeee waitoooo
 
TCRA walishakataza pia sina interest nao, kwa nini kuhangaika nao?
Jee mnajuana Na Huyo Dada I mean Wewe unamjua Na yeye ana kujua..yaani Na kuyajua mahusiano yenuuu..kama anayajuaa alijiaminijee kuingia kwa Room ya Jamaa..Maana for what I know for sure wanaume walio wengi wanacheat hata kama anaoa kanisani SAA 8 mchana anaweza enda Suuza Lungu kwa Maria wa Sinza but hutajuaaa. Sasa namshanga wako tena kwa msichana unayemjuaaa..Duuuu!
 
Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
Sio kweli hayo maneno ni kwa sababu tu kidonda hajijapona, kila anaepatwa na janga la namna hio lazima umsikie akiapa kwamba sihitaji mwanaume tena ila baada ya muda mfupi utaskia maneno yale yale ya kumtoa nyoka pangoni, hapa la muhimu ninaloliona ni kwamba weka haya mawili akilini, kwanza jitahidi stress ulizo nazo kwa sasa zisije zikakuingiza kwenye janga zaidi ya hilo ulilotoka manake wengi hurukia njia mpya kama kusahau alikotoka, mwisho jua hili,,wanaume karibu woote ni wa baba mmoja, tunatofautiana vitu vidogo sana asikudanganye mtu, sema tu wengine wana kile kitu kinaitwa 'uoga,,,namheshimu mke wangu asione nini kinaendelea' but in the other side of the coin we are all the same....pole sana kwa kipindi hiki ibada ndio suluhisho kwako
 
Back
Top Bottom