Whatever.Mmmh bata mweusi...na wewe utakuwa bata
Mkuu mbona nimeeleza kila kitu....anyway, siyo big deal tena....yalishapita.Aiseee ulitaka uue kwa maneno?....mbona action hamna apo?
Wanaume ni Polygamy by nature. Na mwanaume kutembea na mwanamke mwingine haimaanishi kua hampendi wa awali, sometimes they just need a litter adventure.Nilijitoa kwake kwa kila kitu then leo ananifanyi upumba.vu? kwakweli halivumiliki Mkuu.
Usijali kila mtu husema hivyo pindi anapotendwa with time hicho kidonda kitapona na utafall tena.Siyo leo, kesho wala uzeeni, kaka siijati mwanaume tena! kwenye maisha yangu.
And that is my chosen life.Mambo mengine tunawalaumu wengine kumbe makosa ni yetu. Lini uliona uchumba wa miaka sita ukazaa ndoa? Ndani ya miaka sita mnaongea nini cha maisha ambacho mnapanga hakipangiki?
Ni watu wachache sana wanaokaa katika uchumba sugu wakaishia kuoana. Uchumba sugu ni sumu katika ndoa, tena uchumba unaochagizwa na uasherati, hauna matokeo mazuri.
Jilaumu kwanza mwenyewe kwa kukubali kutumika katika uasherati kwa miaka sita huku mkipanga na kupangua. Mkiambiwa mjitunze msitumike mnatunanga na kusema ni maisha yenu tuwaache. You just harvested what you saw!!
...and I just gave you my two cents. Instead of whining about men's cheating habit, look at your own endeavour. Take it or leave it my little sister!!And that is my chosen life.
Nimekupenda bure mtani...Mambo mengine tunawalaumu wengine kumbe makosa ni yetu. Lini uliona uchumba wa miaka sita ukazaa ndoa? Ndani ya miaka sita mnaongea nini cha maisha ambacho mnapanga hakipangiki?
Ni watu wachache sana wanaokaa katika uchumba sugu wakaishia kuoana. Uchumba sugu ni sumu katika ndoa, tena uchumba unaochagizwa na uasherati, hauna matokeo mazuri.
Jilaumu kwanza mwenyewe kwa kukubali kutumika katika uasherati kwa miaka sita huku mkipanga na kupangua. Mkiambiwa mjitunze msitumike mnatunanga na kusema ni maisha yenu tuwaache. You just harvested what you saw!!
Mtani, tukisema tunaambiwa "ni maisha yetu, mtuache". Ukweli ni kuwa uchumba wa miaka unaishia kuumizana tu. Sasa imagine huyo cousin wako, atalea watoto peke yake na machungu kibao, tuombe Mungu asiishie kupata depression!!Nimekupenda bure mtani...
Nina cousin naye alikaa kwenye huo uchumba sugu, wakazaa mtoto, mtoto akaanza shule(baby class) wazazi bado wanajiita wachumba..
Cousin akapewa mimba ya pili, kabla hajajifungua
mwanaume akatangaza ndoa na mwanamke mwingine, ndoa ikasomwa kanisani kwa mara ya kwanza, cousin ndiyo anagutuka usingizini kwenda kupinga hiyo ndoa, wakubwa wakamshauri atulie, asilazimishe mapenzi...
Watu mnakaa kwenye uchumba hadi mna expire bhana? Mnakosa hata ladha ya kuitwa wachumba..
Uzuri huyo baba watoto wake ana Mpunga mrefu...Mtani, tukisema tunaambiwa "ni maisha yetu, mtuache". Ukweli ni kuwa uchumba wa miaka unaishia kuumizana tu. Sasa imagine huyo cousin wako, atalea watoto peke yake na machungu kibao, tuombe Mungu asiishie kupata depression!!