MJUMBE WA AMANI
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 262
- 238
- Thread starter
- #81
Asante Mkuu, kwa kweli ni Mungu ndiye aliyepita katikati ndio maana sijafanya nilichopania.Hongera, umemaliza vizuri, haka kasafari kanaweza kuwa kagumu on the way maana ulimzoea, ila jipe moyo maana ni maamuzi ya busara! sio mianaume mingine inakuja hapa kuomba ushauri wa kuacha au kutokuacha