Usalama wa taifa umevamiwa?

Usalama wa taifa umevamiwa?

IMG-20250731-WA0083.jpg
 
Kiongozi anayepewa pesa na mtu akatafute cheo akikipata atamtumikia mtu au watu?
Kuna kiongozi na wana siasa kiongozi yupo kwa kuongoza nchi na wananchi wake kwa kutumia katiba na sheria. Pia huongoza wananchi wake sawa haweki mwanachama wa chama chake bora kuliko mwanachama wa chama chengine.

Kuwa kiongozi wa kweli unaweka maisha yako rehani ila kuwa mwana siasa unaweka nchi yako rehani. Kiongozi hawezi kubadilisha misimamo yake mwana siasa anageuka kwa maslahi yake alio jiwekea.
 
Haya ya rushwa haya jaanza leo.
Tangu wakati wa Mzee Ruksa , na yakapanda chati wakati wa kapa na kikwete.
Magufuli alijaribu kuyapunguza lakini hakuweza.
Samia hana ubavu kuya punguza sababu cabinet yake ni ya wale walo ingia serikalini kwa Rushwa.
Sasa tu ngoje uchaguzi huu utakavyokuwa na serikali atakavyo simamia.

Kwa sasa atakuwa mkali sana maana hii ni awamu yake ya mwisho na anataka kuandika historia
kwaiyo anatengeneza yake lakini sio ya taifa
 
Samia mwenyewe ni mngazija kutoka Comoro Sasa hapo Kuna usalama?
 
Mkuu nakusahihisha sehemu moja, amini usiamini kunacwatu ni wazalendo kweli kweli na hawajaandaliwa na mtu yeyote.
 
Back
Top Bottom