Usalama wa taifa umevamiwa?

Usalama wa taifa umevamiwa?

kuna mtu mmoja namfahamu siyo raiya kabisa
amenunua kiwanja tena dar es slaam hakuna anayejali
ana mpaka NIDA
Je mtanzani anaweza kupata NIDA RWANDA?
KUNUNUA ARDHI JE?
USALMA WA CCM WAPO TU WANAKULA MATIKITI
Wakivaa v tshirt vya taifa stars na zile kapero zenye bendera ya taifa wanafikiri wamemaliza
usalama wa taifa anakubali kudai madeni ya bar tena akijitambulisha kabisa kwamba anatokea MAKUMBUSHO? kweli
Si nchi ya viongozi wajinga/CCM mkuu sio dar tu tz imejaa wageni na wananunua ardhi kama watz tu na hakuna wakuwauliza. Kuna wasomali kila kona wanyarwanda na warundi na wakongoman ndio usiseme. Ola.yote ni sababu ya ku fail kwa mafisiemu.
 
kuna usalama condomu sasa hata mkubwa anatembea na bosi wake wakampata copy and paste msoga na kizimkazi
 
Watu wengi wanafikiri usalama ni kulala na kuamka mzima.

Lakini usalama ni zaidi ya hapo

Nawaambia nchi haipo salama kwa Sasa

Hakuna usalama wa ajira yaani kwa Sasa mpaka utoe rushwa ya pesa au ngono au uwe mtoto wa kiongozi ndio upate ajira au cheo?

Usalama wa kiafya haupo Kama ndugu yako anakufa anadaiwa milioni moja wanashikiria maiti Muhimbili?

Usalama wa uraia wako haupo kwa sababu mtu anaweza kutoka Rwanda, Burundi, Congo au Oman na kuja akaanza kuwa Chawa wa kiongozi mwisho wa siku anakuwa waziri mkuu

Ukiwa mzalendo na mzawa unaweza kuundiwa zengwe la kuambiwa si uraia Kama ilivyokuwa kwa wapili na watu kibao.

Wako wapi wengine wakina Nasari, Wenje, Zitto, kafilulila, Mdee walioibuka from no where na kuwa wabunge now bila pesa hakuna ubunge? Ingawa walikuja kukengeuka lakini tumeshindwa ku groom wapya?

Kiufupi usalama wa tiafa umevamiwa na umekufa!.
Tafathali mkuu hapo kwenye chawa kupande fyeo mpaka kuwa wathiri mkurugenzi
 
kuna mtu mmoja namfahamu siyo raiya kabisa
amenunua kiwanja tena dar es slaam hakuna anayejali
ana mpaka NIDA
Je mtanzani anaweza kupata NIDA RWANDA?
KUNUNUA ARDHI JE?
USALMA WA CCM WAPO TU WANAKULA MATIKITI
Wakivaa v tshirt vya taifa stars na zile kapero zenye bendera ya taifa wanafikiri wamemaliza
usalama wa taifa anakubali kudai madeni ya bar tena akijitambulisha kabisa kwamba anatokea MAKUMBUSHO? kweli
Wako wengi mwanza uliowataja hapo
 
kuna mtu mmoja namfahamu siyo raiya kabisa
amenunua kiwanja tena dar es slaam hakuna anayejali
ana mpaka NIDA
Je mtanzani anaweza kupata NIDA RWANDA?
KUNUNUA ARDHI JE?
USALMA WA CCM WAPO TU WANAKULA MATIKITI
Wakivaa v tshirt vya taifa stars na zile kapero zenye bendera ya taifa wanafikiri wamemaliza
usalama wa taifa anakubali kudai madeni ya bar tena akijitambulisha kabisa kwamba anatokea MAKUMBUSHO? kweli
Kila Kona wamejaa yaani ni aibu TISS imelala usingizi wa porn
 
Haya ya rushwa haya jaanza leo.
Tangu wakati wa Mzee Ruksa , na yakapanda chati wakati wa kapa na kikwete.
Magufuli alijaribu kuyapunguza lakini hakuweza.
Samia hana ubavu kuya punguza sababu cabinet yake ni ya wale walo ingia serikalini kwa Rushwa.
Sasa tu ngoje uchaguzi huu utakavyokuwa na serikali atakavyo simamia.

Kwa sasa atakuwa mkali sana maana hii ni awamu yake ya mwisho na anataka kuandika historia
Magu huyu huyu alie jaza wasukuma kibao idarani au mwingine mkuu?
 
Back
Top Bottom