Je, kuna failure ya Intelligence? (Usalama wa Taifa)

Je, kuna failure ya Intelligence? (Usalama wa Taifa)

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,131
Reaction score
29,789
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.

Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.

Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine.

Usalama wa Taifa miaka hiyo ilikuwa very very smart.

Waligundua njama hawakupanic, walifanya uchunguzi kimya kimya bila kubugudhi wananchi.

Na wananchi walikuwa nyuma ya serikali na kuiunga mkono.

Tunakumbuka sokomoko lilikuwa wakati wa ukamataji.
Na walikamatwa wote na kupelekwa mahakamani.

Sasa mambo yakoje.
TISS ya sasa imekaa kisiasa zaidi kuliko kitaalam.
Mpaka kuwaachia Polisi waanze kuilinda serikali mitaani, hii ni failure ya System.

Na hapo tujikumbushe kuwa siasa si uhaini, na siasa zimeelezwa vizuri katika katiba ya nchi yetu.

Imefika mpaka tunajiuliza wale wanausalama nguli waliostaafu, hawajaweza kuacha kizazi kinacho faa kwenye recruiting ya wanausalama ambao wangeweza kuwa wabobezi wa kizazi hiki?

Inawezekana kabisa kuwa udhaifu uliopo unatokana kuajiri ndugu jamaa na marafiki wa karibu na viongozi, badala ya umakini mkali toka kuchukua vijana wenye akili mashuleni.

Hapo hapo tukumbuke kuwa TISS ya sasa imekuwa na wakuu karibia wanne katika kipindi kifupi.
 
Hatari sana.
Unafikiri kinachoogopwa ni nini?
Wananchi kufanya maandamano kupindua serikali?Hili ni gumu kutokea hata maandamano yakiruhusiwa.

Au kinachoogopwa waliondani ya system kutumia maandamano kupindua serikali? Hili ndilo linaogopwa zaidi.
Viongozi wanaogopa kuambiwa wananchi hawapo pamoja nao
 
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.

Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.

Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine.

Usalama wa Taifa miaka hiyo ilikuwa very very smart.

Waligundua njama hawakupanic, walifanya uchunguzi kimya kimya bila kubugudhi wananchi.

Na wananchi walikuwa nyuma ya serikali na kuiunga mkono.

Tunakumbuka sokomoko lilikuwa wakati wa ukamataji.
Na walikamatwa wote na kupelekwa mahakamani.

Sasa mambo yakoje.
TISS ya sasa imekaa kisiasa zaidi kuliko kitaalam.
Mpaka kuwaachia Polisi waanze kuilinda serikali mitaani, hii ni failure ya System.

Na hapo tujikumbushe kuwa siasa si uhaini, na siasa zimeelezwa vizuri katika katiba ya nchi yetu.

Imefika mpaka tunajiuliza wale wanausalama nguli waliostaafu, hawajaweza kuacha kizazi kinacho faa kwenye recruiting ya wanausalama ambao wangeweza kuwa wabobezi wa kizazi hiki?

Inawezekana kabisa kuwa udhaifu uliopo unatokana kuajiri ndugu jamaa na marafiki wa karibu na viongozi, badala ya umakini mkali toka kuchukua vijana wenye akili mashuleni.

Hapo hapo tukumbuke kuwa TISS ya sasa imekuwa na wakuu karibia wanne katika kipindi kifupi.
Kama ni laana ya kuliangamiza taifa hii taasisi itabeba sehemu kubwa ya laana hii pengine kuliko nyingine yeyote!
 
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.

Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.

Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine.

Usalama wa Taifa miaka hiyo ilikuwa very very smart.

Waligundua njama hawakupanic, walifanya uchunguzi kimya kimya bila kubugudhi wananchi.

Na wananchi walikuwa nyuma ya serikali na kuiunga mkono.

Tunakumbuka sokomoko lilikuwa wakati wa ukamataji.
Na walikamatwa wote na kupelekwa mahakamani.

Sasa mambo yakoje.
TISS ya sasa imekaa kisiasa zaidi kuliko kitaalam.
Mpaka kuwaachia Polisi waanze kuilinda serikali mitaani, hii ni failure ya System.

Na hapo tujikumbushe kuwa siasa si uhaini, na siasa zimeelezwa vizuri katika katiba ya nchi yetu.

Imefika mpaka tunajiuliza wale wanausalama nguli waliostaafu, hawajaweza kuacha kizazi kinacho faa kwenye recruiting ya wanausalama ambao wangeweza kuwa wabobezi wa kizazi hiki?

Inawezekana kabisa kuwa udhaifu uliopo unatokana kuajiri ndugu jamaa na marafiki wa karibu na viongozi, badala ya umakini mkali toka kuchukua vijana wenye akili mashuleni.

Hapo hapo tukumbuke kuwa TISS ya sasa imekuwa na wakuu karibia wanne katika kipindi kifupi.
JWZ, TISS wote wanatumia akili za Abdul na Samia.
 
Changamoto kubwa nyakati hizi ni kushindwa kutofautisha taifa, nchi na serikali.
Upi ni usalama wa taifa?
Wa nchi?
Na wa serikali je?
Vyote vinatakiwa viwe salama.
Hili swali Bora kabisa la kifalsafa.
Sijui kama utaeleweka.
 
Changamoto kubwa nyakati hizi ni kushindwa kutofautisha taifa, nchi na serikali.
Upi ni usalama wa taifa?
Wa nchi?
Na wa serikali je?
Vyote vinatakiwa viwe salama.
Usalama umebinafsishwa kwa viongozi, hili ni tatizo kubwa.
 
Changamoto kubwa nyakati hizi ni kushindwa kutofautisha taifa, nchi na serikali.
Upi ni usalama wa taifa?
Wa nchi?
Na wa serikali je?
Vyote vinatakiwa viwe salama.
Je na TISS imeingia mtego huo na kunasa?
 
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.

Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.

Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine.

Usalama wa Taifa miaka hiyo ilikuwa very very smart.

Waligundua njama hawakupanic, walifanya uchunguzi kimya kimya bila kubugudhi wananchi.

Na wananchi walikuwa nyuma ya serikali na kuiunga mkono.

Tunakumbuka sokomoko lilikuwa wakati wa ukamataji.
Na walikamatwa wote na kupelekwa mahakamani.

Sasa mambo yakoje.
TISS ya sasa imekaa kisiasa zaidi kuliko kitaalam.
Mpaka kuwaachia Polisi waanze kuilinda serikali mitaani, hii ni failure ya System.

Na hapo tujikumbushe kuwa siasa si uhaini, na siasa zimeelezwa vizuri katika katiba ya nchi yetu.

Imefika mpaka tunajiuliza wale wanausalama nguli waliostaafu, hawajaweza kuacha kizazi kinacho faa kwenye recruiting ya wanausalama ambao wangeweza kuwa wabobezi wa kizazi hiki?

Inawezekana kabisa kuwa udhaifu uliopo unatokana kuajiri ndugu jamaa na marafiki wa karibu na viongozi, badala ya umakini mkali toka kuchukua vijana wenye akili mashuleni.

Hapo hapo tukumbuke kuwa TISS ya sasa imekuwa na wakuu karibia wanne katika kipindi kifupi.
Iko namna!
 
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.

Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.

Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine.

Usalama wa Taifa miaka hiyo ilikuwa very very smart.

Waligundua njama hawakupanic, walifanya uchunguzi kimya kimya bila kubugudhi wananchi.

Na wananchi walikuwa nyuma ya serikali na kuiunga mkono.

Tunakumbuka sokomoko lilikuwa wakati wa ukamataji.
Na walikamatwa wote na kupelekwa mahakamani.

Sasa mambo yakoje.
TISS ya sasa imekaa kisiasa zaidi kuliko kitaalam.
Mpaka kuwaachia Polisi waanze kuilinda serikali mitaani, hii ni failure ya System.

Na hapo tujikumbushe kuwa siasa si uhaini, na siasa zimeelezwa vizuri katika katiba ya nchi yetu.

Imefika mpaka tunajiuliza wale wanausalama nguli waliostaafu, hawajaweza kuacha kizazi kinacho faa kwenye recruiting ya wanausalama ambao wangeweza kuwa wabobezi wa kizazi hiki?

Inawezekana kabisa kuwa udhaifu uliopo unatokana kuajiri ndugu jamaa na marafiki wa karibu na viongozi, badala ya umakini mkali toka kuchukua vijana wenye akili mashuleni.

Hapo hapo tukumbuke kuwa TISS ya sasa imekuwa na wakuu karibia wanne katika kipindi kifupi.
Wote walioachwa wana kadi za Chama! Kwa hio inakua inapigwa training ya intelligence with ukada kama vile enzi zetu tulivyowekewaga physics with chemistry kama somo moja!
 
Usalama Wa Taifa TISS kwa miaka ya karibuni imeprove failure wa sehemu kubwa katika miaka ya karibuni.

Mwaka 1982, kulikuwa na njama za kuipindua serikali ya Mwalimu Nyerere.

Wahusika walikuwa kina Mohammed Musa Tamimu, Capt Eugene Maganga, na Uncle Tom na wengine.

Usalama wa Taifa miaka hiyo ilikuwa very very smart.

Waligundua njama hawakupanic, walifanya uchunguzi kimya kimya bila kubugudhi wananchi.

Na wananchi walikuwa nyuma ya serikali na kuiunga mkono.

Tunakumbuka sokomoko lilikuwa wakati wa ukamataji.
Na walikamatwa wote na kupelekwa mahakamani.

Sasa mambo yakoje.
TISS ya sasa imekaa kisiasa zaidi kuliko kitaalam.
Mpaka kuwaachia Polisi waanze kuilinda serikali mitaani, hii ni failure ya System.

Na hapo tujikumbushe kuwa siasa si uhaini, na siasa zimeelezwa vizuri katika katiba ya nchi yetu.

Imefika mpaka tunajiuliza wale wanausalama nguli waliostaafu, hawajaweza kuacha kizazi kinacho faa kwenye recruiting ya wanausalama ambao wangeweza kuwa wabobezi wa kizazi hiki?

Inawezekana kabisa kuwa udhaifu uliopo unatokana kuajiri ndugu jamaa na marafiki wa karibu na viongozi, badala ya umakini mkali toka kuchukua vijana wenye akili mashuleni.

Hapo hapo tukumbuke kuwa TISS ya sasa imekuwa na wakuu karibia wanne katika kipindi kifupi.
Wa sasa hivi wanajua hakuna wa kuipindua nchi
 
Back
Top Bottom