Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,758
- 105,472
Kiwe choo cha umma halafu kijijini ni balaa jingineš¤£. Huko ustaarabu wa choo safi ni kama msamiati vile.Wanaokunya vyoo vya umma wana moyo sana
Kiwe choo cha umma halafu kijijini ni balaa jingineš¤£. Huko ustaarabu wa choo safi ni kama msamiati vile.Wanaokunya vyoo vya umma wana moyo sana
Bora ulivyoondoka mkuu ulifanya uamuzi sahihi kuliko kuforce kula kinyesi
Makopo na ndoo za chooni daima sifa yake ni chafu na kila mtu anashika akiwa ametoka kunya au kushika mavi anatawaza imagine kuna vimelea vingapi vya magonjwa vimeachwa humo
Au anakata nyama ya kuchoma, au ya supu, au ya mtori ambayo tayari imeiva kwa kuishika na mkono wa kushoto/kuchamba chooni š
Umewahi kutumia toilet paper kuchamba?Bado cjaelewa ko izo toilet paper mtu ndo unakua hugus mavi au inakuaje mzee. Tunafosi uzungu sanaaaaaa
Bado cjaelewa ko izo toilet paper mtu ndo unakua hugus mavi au inakuaje mzee. Tunafosi uzungu sanaaaaaa
Tissue za fine
Muanzisha huu uzi inabidi aangaliwe kwa makini bila hivyo anapotea yaani anaona kutumia tissue ndio usafi kuliko kutumia majiš¤Hivi wakuu hili suala la kwenda haja kubwa, halafu wakati wa kuchamba mtu anashika shika mavi ili kujiosha mnalionaje?
Ukweli ni kwamba wengi wamelishwa mavi. Huwezi kusema wote hujisafisha mikono vizuri na maji ya kutosha na sabuni au ikiwa wote hunawa na sabuni.
Na wengine hujisafisha na maji ya ndoo ya chooni au kopo la chooni linalotumiwa na wengi. Tena utakuta ni maji kidogo sekunde 2 tu mtu kashamaliza kunawa anarudi jikoni au kwenye mgahawa anaendelea kuaanda chakula au kupakulia chakula wateja wake. Hivi kweli kuna usafi unazingatiwa hapo?
Unakuta mmama au dada wa nyumbani ambaye ndiye mpishi wa familia akienda chooni anajisafisha kwa njia hiyo hivi kweli mna uhakika huwa hawawalishi kinyesi walaji?
Ifikie wakati huu utamaduni wa kuchamba kwa kushika shika kinyesi Watanzania waachane nao. Unatia kinyaa sana.
Migahawa mingi inaendeshwa kwa uchafu sana kuanzia wapishi hadi mazingira jikoni ni kama dampoYaani inabidi ujikaze tu
Kwa Mfano Kuna mama ntilie wengine ukiwaona wakiwa wanapika huwezi kula chakula chao hata ushikiwe panga
Kushika mavi unaonaje?Muanzisha huu uzi inabidi aangaliwe kwa makini bila hivyo anapotea yaani anaona kutumia tissue ndio usafi kuliko kutumia majiš¤
Vyote ni sawa tu, inategemea na mazoea ila muhimu zaidi ni kunawa kwa sabuni kila unapotoka chooni, kabla ya kuandaa na kula chakula.Muanzisha huu uzi inabidi aangaliwe kwa makini bila hivyo anapotea yaani anaona kutumia tissue ndio usafi kuliko kutumia majiš¤
Kuna wale wananusa mkono kama unanuka mavi akisikia kaharufu anapotezeaUnakuta mtu katawaza huko chooni lakini mkono alioshikashika kinyesi unanuka mavu na kuna uwezokano kwenye kucha zake kukawa na mabaki ya mavi, tuwe wastaarabu wajameni, mtu ni afya
Unatumia shataff kujimwagilia asshole huku unashika mimavi kujisafisha? Kama unamaanisha hivyo unakosea sanaHivi ukitumia shataff mikono haitumiki? Mimi mshamba kumbe!
Au kachumbari wewee...unasema hii kachumbari wameweka nini jamani unakuta hakana maajabu yoyote ila hiyo ladha yake tamuu!!hii africa bana, mfano mzuri angalia zile chips za kitaa! tamu balaa,, zinaoshwa mara moja tu,, wewe nyumbani mara tatu na haziwi kama zile š,,
weka namba uokote
Miji mikubwa kama Hongkong Iko karibu na bahari,umejiuliza uchafu wite unaenda wapi Baharini,hebu jiulize mji wa Dsm kule ufukweni yale mavi ya ocean road Baharini yanatoka wapi?Hivi wakuu hili suala la kwenda haja kubwa, halafu wakati wa kuchamba mtu anashika shika mavi ili kujiosha mnalionaje?
Ukweli ni kwamba wengi wamelishwa mavi. Huwezi kusema wote hujisafisha mikono vizuri na maji ya kutosha na sabuni au ikiwa wote hunawa na sabuni.
Na wengine hujisafisha na maji ya ndoo ya chooni au kopo la chooni linalotumiwa na wengi. Tena utakuta ni maji kidogo sekunde 2 tu mtu kashamaliza kunawa anarudi jikoni au kwenye mgahawa anaendelea kuaanda chakula au kupakulia chakula wateja wake. Hivi kweli kuna usafi unazingatiwa hapo?
Unakuta mmama au dada wa nyumbani ambaye ndiye mpishi wa familia akienda chooni anajisafisha kwa njia hiyo hivi kweli mna uhakika huwa hawawalishi kinyesi walaji?
Ifikie wakati huu utamaduni wa kuchamba kwa kushika shika kinyesi Watanzania waachane nao. Unatia kinyaa sana.
Huko ni kubaya mno MkuuWanaokunya vyoo vya umma wana moyo sana
Lazima nitumie mkono maana inaweza isisafishe vzrUnatumia shataff kujimwagilia asshole huku unashika mimavi kujisafisha? Kama unamaanisha hivyo unakosea sana