Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 22,220
- 31,551
Umesoma nilicho andika na kuelewaKutumia kitu asilia (maji),huwa ni bora sana,na gharama nafuu sana na ndo njia nzuri yakuondoa uchafu kwa uhakika zaidi,sijui hizo fikra mnazitoa wapi!!!
Umesoma nilicho andika na kuelewaKutumia kitu asilia (maji),huwa ni bora sana,na gharama nafuu sana na ndo njia nzuri yakuondoa uchafu kwa uhakika zaidi,sijui hizo fikra mnazitoa wapi!!!
Piga picha kucha zako tumalize ubishi mimi kucha hizi hapa show yoyUsafi ni muhimu sana kama nyie ni wachafu badilikeni
Kutumia toilet paper hapo mkuu umechemka sana,huko ni kujipakaa sio kujisafisha!!!
Kutumia kitu asilia (maji),huwa ni bora sana,na gharama nafuu sana na ndo njia nzuri yakuondoa uchafu kwa uhakika zaidi,sijui hizo fikra mnazitoa wapi!!!
😆😆,, itakuwa kuna kautundu flaniAu kachumbari wewee...unasema hii kachumbari wameweka nini jamani unakuta hakana maajabu yoyote ila hiyo ladha yake tamuu!!
Sasa hapo uanze kuchunguza walivyo andaa na chombo walichowekea🤮🤮unaweza usile Tena ila ndo huwezi🤣
Mkono mmoja shataff mwingine nasafishia. Aisee nibaki tu na huu ushamba maana bila kuhakikisha kila kitu kimesafishika siwezi kutuliaa😃
Wenye wake kuna kitu kikubwa sana mnapungukiwa nacho ni usafi wa mikono mabachera wanakuwa na mikono safi kuliko wanaume walio oa ...usishangae sababu ni kufua nguo muda mtu afuapo nguo mikono yake utakasika kwa asilimia 100 ...hivyo muafrica mwenye kufua nguo kwa mikono ...mikono yake ni misafi kuliko hata mzungu au muarabu au mtu mwenye kufuliwa nguo na mashine au mkePiga picha kucha zako tumalize ubishi mimi kucha hizi hapa show yoy
Usafi sio kucha tuPiga picha kucha zako tumalize ubishi mimi kucha hizi hapa show yoy
Wenye wake kuna kitu kikubwa sana mnapungukiwa nacho ni usafi wa mikono mabachera wanakuwa na mikono safi kuliko wanaume walio oa ...usishangae sababu ni kufua nguo muda mtu afuapo nguo mikono yake utakasika kwa asilimia 100 ...hivyo muafrica mwenye kufua nguo kwa mikono ...mikono yake ni misafi kuliko hata mzungu au muarabu au mtu mwenye kufuliwa nguo na mashine au na mkePiga picha kucha zako tumalize ubishi mimi kucha hizi hapa show yoy
Mbona mm sijafua nguo leoWenye wake kuna kitu kikubwa sana mnapungukiwa nacho ni usafi wa mikono mabachera wanakuwa na mikono safi kuliko wanaume walio oa ...usishangae sababu ni kufua nguo muda mtu afuapo nguo mikono yake utakasika kwa asilimia 100 ...hivyo muafrica mwenye kufua nguo kwa mikono ...mikono yake ni misafi kuliko hata mzungu au muarabu au mtu mwenye kufuliwa nguo na mashine au mke
Kucha ni moja ya kielelezo kikubwa sanaUsafi sio kucha tu
Mimi sijao broWenye wake kuna kitu kikubwa sana mnapungukiwa nacho ni usafi wa mikono mabachera wanakuwa na mikono safi kuliko wanaume walio oa ...usishangae sababu ni kufua nguo munda mtu afuapo nguo mikono yake utakasika kwa asilimia 100 ...hivyo muafrica mwenye kufua nguo kwa mikono ...mikonoyake ni misafi kuliko hata mzungu au muarabu au mtu mwenye kufuliwa nguo na mashine au mk
Ni safiKucha ni moja ya kielelezo kikubwa sana
Ndio,kisha kwa kujisafisha na sabuni na maji safi,uchafu unatoweka haraka sana na kwa urahisi,ujui hilo mkuu!!?Unautoa uchafu kwa kuushika na mikono?
What if hakuna toilet paper?Hapo unafeli
Shataff yenyewe inasafisha huhitaji kushika mavi
Ukimaliza unakausha tako na toilet paper
Unaenda kunawa maji tiririka na sabuni
Hata ukioa usiache kufua fua hata t-shirt mbili tatu kwa weekMimi sijao bro
What if hakuna toilet paper?
Wewe waona mavi tu. Niliona mdada wa kazi sehemu kwenye biashara ya chakula anapenga kamasi kwa mkono bila kitambaa halafu anaendelea kusonga ugali bila wasiwasi. Kamasi na kinyesi kipi bora?Hivi wakuu hili suala la kwenda haja kubwa, halafu wakati wa kuchamba mtu anashika shika mavi ili kujiosha mnalionaje?
Ukweli ni kwamba wengi wamelishwa mavi. Huwezi kusema wote hujisafisha mikono vizuri na maji ya kutosha na sabuni au ikiwa wote hunawa na sabuni.
Na wengine hujisafisha na maji ya ndoo ya chooni au kopo la chooni linalotumiwa na wengi. Tena utakuta ni maji kidogo sekunde 2 tu mtu kashamaliza kunawa anarudi jikoni au kwenye mgahawa anaendelea kuaanda chakula au kupakulia chakula wateja wake. Hivi kweli kuna usafi unazingatiwa hapo?
Unakuta mmama au dada wa nyumbani ambaye ndiye mpishi wa familia akienda chooni anajisafisha kwa njia hiyo hivi kweli mna uhakika huwa hawawalishi kinyesi walaji?
Ifikie wakati huu utamaduni wa kuchamba kwa kushika shika kinyesi Watanzania waachane nao. Unatia kinyaa sana.