Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,577
Thats why naona mkono ni lazima utumike. Mimi nitaendeleza utamaduni wangu jamaniKwani mnapochamba na maji ya kopo mnakuwa na toilet paper?
Thats why naona mkono ni lazima utumike. Mimi nitaendeleza utamaduni wangu jamaniKwani mnapochamba na maji ya kopo mnakuwa na toilet paper?
Wewe waona mavi tu. Niliona mdada wa kazi sehemu kwenye biashara ya chakula anapenga kamasi kwa mkono bila kitambaa halafu anaendelea kusonga ugali bila wasiwasi. Kamasi na kinyesi kipi bora?
Thats why naona mkono ni lazima utumike. Mimi nitaendeleza utamaduni wangu jamani
Inaonekana dada na ndugu zake hawachambagi vizuri,kawaida kaka kuwavua nguo huku.We Koma tena ukomae, hayo mavi unakula wewe siyo wa Tanzania, jiheshimu mwana haramu usokuwa na staha.
MI NADHANI WEWE UNGEJIITA KIPINDUPINDU,Bora tu uendelee kuwa unaosifika CHINA.Mada nyingine ngumu kwako.
Na bado anakuyekupa kipande cha hindi aliweka kidole mdomoni kutoa mahindi nyuma ya meno na kulamba tena 😂Hili ni janga la taifa. Na chimbuko lake ni uarabuni wenyewe wakiita kutawaza. Likaletwa kwetu, watu wa pwani wakalidaka, na sasa limeenea karibu nchi nzima. Kila choo unakuta ina ndoo moja, yenye maji na kopo kwa pembeni. Inatumika masaa 24, huku maji yakiongezwa bila kuoshwa wala kuosha kopo kwa kisingizo eti, hivi ni vifaa vya chooni, lazima viwe vichafu. Na mbaya zaidi hakuna sabuni na sinki la kunawa. Kinyesi hakiondoki kwa kunawa na maji tu, mtu anatoka na uchafu, anashika vitasa na kupeana mikono au kupika. Wanaume tuna nyongeza: unachupuka popote kujisaidia haja ndogo, unashika ''tango'' kwa vidole, (pengine umetoka kutifua), ukisogea mbele unampa mtu mkono kumsalimia, au unanunua mhindi unakata, kumpa mwenzako...
Jitahidi uchambe vizuri ili mavi yasiingie mdomoni mwako kutoka mikononi mwako.Wewe una maoni gani kuhusu mada iliyo kwenye uzi?
Pressure ya kutosha kabisa.Una uhakika hiyo shataff yako inatoa maji yenye presha?
Pressure ya kutosha kabisa.
Ita depend na moodHata ukioa usiache kufua fua hata t-shirt mbili tatu kwa week
Nimemuuliza juu anatumia gunzi ajajibuKwahiyo wawe wanajitawaza kwa kusugua matako kwenye ardhi au
Labda😅. Nitaendelea tu na huu ushamba kwa kweli. Sihitaji kubadilikaHuwa zinasafisha vizuri sana kuliko hata maji ya kopo na mkono, sasa sijui changmoto yako iko wapi? Nahisi umezoea kuchamba kwa maji ya kopo na mikono
Kana hata na fafanuzi hii ya faida ya kufua japo t shirt moja bado unaongelea mood 🙄pole sanaIta depend na mood
kazi kweli kweliNimemuuliza juu anatumia gunzi ajajibu
Kwamba roba la gunzi's chooni 😂😂Nimemuuliza juu anatumia gunzi ajajibu