Kuosha mikono safarini, wakati na baada ya kula

MulegiJr

Senior Member
Sep 5, 2018
125
88
Jana nilikuwa Safarini kutoka Moshi Dodoma, nilipanda Bus ya Shabiby, tulipofika Babati tukashuka kula, nilipofika eneo la kuchukua chakula nikagundua Siku tatu mfulizo nimekula chipsi so siwezi kula tena chipsi nikasogea kwenye wali na Samaki nikavutiwa, nilipochukua msosi nikawaza kuchukua Tishu, nikimaliza nitatakasa mikono, nikachukua na maji ya buku, na kijiko, wakati wa kula kijiko kilitumika kuchotea wali tu, Je mboga nilikula na nini (Samaki aliyekaangwa)??? Na baada ya kumaliza kula nini kilitokea nilitembea na shombo hadi dodoma?!!! .......

USAFI wa mikono katika Safari za mikoa kibongo bongo bado tunakula chakula kichafu sana, tukishuka tunaenda chooni, then kwenye Bufee kuchukua chakula, utabeba then utanawa nje ukiwa unaingia ndani ya basi ni lazima ushike mlango au kiti, ukifika lazima pia ushike kiti chako, utaanza kula, Umetakasa mikono kweli!!!.

Kuna wengine sababu ya muda mchache tunakimbizana then tunasahau hata kunawa chooni, baada ya mkojo ni nguo nduki unaenda kuchukua biscuti ambayo utaila kwa mkono !!! Ambao umetoka chooni hujanawa.

Embu angalia hii, wakati unafika kwenye kiti, unatakiwa kukumbuka alikalia mwenzio jana au muda mfupi uliopita, means eneo unalokalia kuna kila namna kunavimelea vya magonjwa, ni hatari sana kula chakula ndani ya bus.

Mwenye nyongeza karibu tuangazie Afya yetu tuwapo safarini.
 
Jana nilikuwa Safarini kutoka Moshi Dodoma, nilipanda Bus ya Shabiby, tulipofika Babati tukashuka kula, nilipofika eneo la kuchukua chakula nikagundua Siku tatu mfulizo nimekula chipsi so siwezi kula tena chipsi nikasogea kwenye wali na Samaki nikavutiwa, nilipochukua msosi nikawaza kuchukua Tishu, nikimaliza nitatakasa mikono, nikachukua na maji ya buku, na kijiko, wakati wa kula kijiko kilitumika kuchotea wali tu, Je mboga nilikula na nini (Samaki aliyekaangwa)??? Na baada ya kumaliza kula nini kilitokea nilitembea na shombo hadi dodoma?!!! .......

USAFI wa mikono katika Safari za mikoa kibongo bongo bado tunakula chakula kichafu sana, tukishuka tunaenda chooni, then kwenye Bufee kuchukua chakula, utabeba then utanawa nje ukiwa unaingia ndani ya basi ni lazima ushike mlango au kiti, ukifika lazima pia ushike kiti chako, utaanza kula, Umetakasa mikono kweli!!!.

Kuna wengine sababu ya muda mchache tunakimbizana then tunasahau hata kunawa chooni, baada ya mkojo ni nguo nduki unaenda kuchukua biscuti ambayo utaila kwa mkono !!! Ambao umetoka chooni hujanawa.

Embu angalia hii, wakati unafika kwenye kiti, unatakiwa kukumbuka alikalia mwenzio jana au muda mfupi uliopita, means eneo unalokalia kuna kila namna kunavimelea vya magonjwa, ni hatari sana kula chakula ndani ya bus.

Mwenye nyongeza karibu tuangazie Afya yetu tuwapo safarini.
Ushauri wangu kwako acha kula hizo buffee safarini, jitahidi kula vitu vikavu na juice na maji au biskuti tu, usipozingatia ushauri huu utakuja kujifunza kwa njia ngumu sana na utajuta.

Unashindwa vipi kufunga kula vyakula kwa masaa tu?

Kwa wale wanaosafiri familia na Watoto andaeni vyakula vyenu Nyumbani kama Kuku wa kukaanga na viazi au Samaki na viazi hifadhini kwenye hot pot au kila mtu na contena lake.
 
Ushauri wangu kwako acha kula hizo buffee safarini, jitahidi kula vitu vikavu na juice na maji au biskuti tu, usipozingatia ushauri huu utakuja kujifunza kwa njia ngumu sana na utajuta.

Unashindwa vipi kufunga kula vyakula kwa masaa tu?

Kwa wale wanaosafiri familia na Watoto andaeni vyakula vyenu Nyumbani kama Kuku wa kukaanga na viazi au Samaki na viazi hifadhini kwenye hot pot au kila mtu na contena lake.
Ahsante sana, Dr. hoja hapa inawezekana siyo mimi, kuna watanzania wengi sana wanakutana na aina ya kitu nilichokiibua hapa. Tuangalie extent ya jambo ili kwenye jamii yetu, Je linaweza kuzuirika?
 
Ahsante sana, Dr. hoja hapa inawezekana siyo mimi, kuna watanzania wengi sana wanakutana na aina ya kitu nilichokiibua hapa. Tuangalie extent ya jambo ili kwenye jamii yetu, Je linaweza kuzuirika?
Kwanza jifunze kutokulakula hovyo, hayo mengine ni life style ya mtu.

Maisha uliyoishi nayo kipindi cha Corona ndio yawe maisha yako, tembea na spry sanitizer na maji makubwa yasikosekane ukiwa safari ni.

Asilimia kubwa ya watu hawawezi kuzitumia zile dakika 10 wanazotangaza watu wa mabasi hivyo abiria wengi ubeba take away na kula ndani ya gari.

Kwahiyo jiongeze mwenyewe hapo uwe na mji makubwa na spray sanitizer.
 
Jana nilikuwa Safarini kutoka Moshi Dodoma, nilipanda Bus ya Shabiby, tulipofika Babati tukashuka kula, nilipofika eneo la kuchukua chakula nikagundua Siku tatu mfulizo nimekula chipsi so siwezi kula tena chipsi nikasogea kwenye wali na Samaki nikavutiwa, nilipochukua msosi nikawaza kuchukua Tishu, nikimaliza nitatakasa mikono, nikachukua na maji ya buku, na kijiko, wakati wa kula kijiko kilitumika kuchotea wali tu, Je mboga nilikula na nini (Samaki aliyekaangwa)??? Na baada ya kumaliza kula nini kilitokea nilitembea na shombo hadi dodoma?!!! .......

USAFI wa mikono katika Safari za mikoa kibongo bongo bado tunakula chakula kichafu sana, tukishuka tunaenda chooni, then kwenye Bufee kuchukua chakula, utabeba then utanawa nje ukiwa unaingia ndani ya basi ni lazima ushike mlango au kiti, ukifika lazima pia ushike kiti chako, utaanza kula, Umetakasa mikono kweli!!!.

Kuna wengine sababu ya muda mchache tunakimbizana then tunasahau hata kunawa chooni, baada ya mkojo ni nguo nduki unaenda kuchukua biscuti ambayo utaila kwa mkono !!! Ambao umetoka chooni hujanawa.

Embu angalia hii, wakati unafika kwenye kiti, unatakiwa kukumbuka alikalia mwenzio jana au muda mfupi uliopita, means eneo unalokalia kuna kila namna kunavimelea vya magonjwa, ni hatari sana kula chakula ndani ya bus.

Mwenye nyongeza karibu tuangazie Afya yetu tuwapo safarini.
Nilipokuwa Ngara mpakani mwa Tanzania na Burundi, wenyeji wangu walinitahadharisha kuhusu vyakula vilivyoandaliwa na Warundi, kwamba Warundi ni wachafu sana.

Lakini ukifuatilia kwa makini suala la usafi Tanzania, utabaini kuwa hali ya usafi bado hairidhishi. Watanzania wengi bado ni "wachafu!".
 
Back
Top Bottom