Sina uhakika Kama kuna watu wana akili vizuri;
Yaaani munaamini tissue zaidi kuliko maji?
Tissue inaacha traces za kinyesi huko nyuma halafu ndio inakuwa nini. Hili halina ubishi hata utumie tissue Zima. Cha msingi tumia tissue Kama uko safari au sehemu ya emergency saaaana.
Unakutana na mtu au umekaa na mtu sehemu ananuka kabisa kinyesi.
Weka ndoo ya maji chooni kwako na sabuni, tawaza vizuri na sabuni na maji ya kutosha:
Pia kinachonishangazaga, inakuwaje mtu unakuwa huna ratiba ya kwenda chooni? Yaaani wewe popote tu na muda wowote unaenda chooni? Huko ni kukosa discipline yako mwenyewe.
Mwili wa binadamu unauwezo wa kuadapt mazingira, jicondition kwamba utaenda chooni ukiwa nyumbani kwako tu, unless uwe unaumwa tumbo tena kwa emergency hapo sawa.