Kama Mungu ndio amepanga utafanyaje?Mh tuombe Mungu aepushie hayo mambo mbali,Us prsdnt aone wanachojaribu kufanya kinaeza kua WW3!
Siyo mkono bro. Kwa upande wa majini N. Korea wapo njiema sana. Na upande wa ground wapo na multiple rocket launcher 2400 wakati USA wapo na 1200.
Mkuu,umekuwa brainwashed kweli na propaganda za wamarekani.Punguza kuangalia moviesYani kwaakili yako yote huo ndo utafiti unaoona unamuwezesha N Korea kumpiga Marekani. Wewe utakuwa sijui umetoka pangoni Leo. Ulishaona watu wanakimbilia kwenda N Korea? Simply hawa N korea wanachezea kiberiti ndo maana Dunia inawaonya 'USA' akiwa kiongozi. Kwasababu wakiamua tuu wanadetonate hydrogen bomb hapo juu ya anga la N Korea na wanarudi back mwaka 1880. Hakuta kuwa na kitu cha umeme kitakachofanya kazi. Just imagine magari hayawaki wala kifaa chochote chenye Nyaya za umeme kitakuwa kimeunguzwa na EMP attack. Welcome to Star Wars 101.
Hhahahaha, wewe jamaa wewe... nimecheka.Jeuri ya USA ni angani tu, ardhini hata sisi tunaweza kuwatoa upepo tu!
Siyo mkono bro. Kwa upande wa majini N. Korea wapo njiema sana. Na upande wa ground wapo na multiple rocket launcher 2400 wakati USA wapo na 1200.
Hivi Umesikia silaha zitakazotumika mkuu.. Ni nuclear bombs mkuu.. Hata sisimizi wanakufa labda uwe na nuclear shelter..au nuclear bunker!ukimbilie huko chini ya ardhi ukajihifadhi. Hiyo issue ya ground force haina mantiki.. Labda waamue kuzichapa kikawaida tu!
... au Nicaragua!! Namkumbuka NoriegaNK wanamchukulia poa kajamaa kapo gado wasidhani ni waarabu!
Kifo cha wengi mkuu....Najiuliza kwanini USA
Huomba Washiriki kwenye vita yake
kwanini haendi yeye kama yeye pekee
Kabla hujajibiwa swali lako jiulize kwa nini Tembo mnyama mkubwa kuliko wote mwituni hutembea wakiwa kundi?Najiuliza kwanini USA
Huomba Washiriki kwenye vita yake
kwanini haendi yeye kama yeye pekee
Vita vya kitekinolojia havihihtaj wingi Wa binadamu wala pesa,
- Population US 360Million Kore 25Million
- Budget US $18Trillions Korea $18Billions
- So Uchumi wa Korea ni Mara mia Moja ya Uchumi wa Marekani
- Atapigwa mpaka Anye.
Nimecheck video hapa chini. Nimegundua USA anambwembwe nyingi sana. Kwa upande wa majini N. Korea iko njema sana. Vile vile kwa upande wa nchi kavu N. Korea wapo vizuri kinoma. Nina shawishika kusema kwamba N. Korea ni tishio kubwa sana kwa USA.
Ninathubutu kusema kwamba Trump anapiga mikwara tu. Na isitoshe kuna vifaavingine vingi vya N. Korea hawavijui. Kwa upande wa anga USA wapo vizuri sana lakini wanaweza kuingia N. Korea yenye uwezo mkubwa majini na nchi kavu?
Torpedo Boats and Missile Craft N. Korea zipo 250 wakati USA 0.
Attack Submarine N. Korea 70 wakati USA 55
Siyo mkono bro. Kwa upande wa majini N. Korea wapo njiema sana. Na upande wa ground wapo na multiple rocket launcher 2400 wakati USA wapo na 1200.
Soma historia ya korea.