USA vs N.Korea Military Power

USA vs N.Korea Military Power

Naona US wamehamia kwa IRAN kwa kuishutumu kua inahatarisha US interest in middle east na kuendelea kufadhili proxy militia km Hezbollah ya Lebanon,Houth ya Yemen na Makundi uko Irak yanayoipa shida US kutekeleza mikakati yake...Hivyo wanataka Ku review Nuclear Negotiations reached with the world power in 2015 hivyo kuangalia km Vikwazo virejeshwe au lah....Inaonekana North Korea ameshindwa maana waziri wa mambo ya nnje wa US Bw TillerSon amesema Iran anapita nyendo zile zile za NK na akiachwa bila kua checked nae atamiliki Nuke
 
Pia wanaodhani China ataisapoti china wamefeli,sio kweli.mchina hayupo na North Korea kitambo sana.
Kwanini amefunga bomba la mafuta kuelekea north wakati north waliwekewa vikwazo,mbona wanapeleka chakula north

2006 kiongozi wa north alienda china na rais wa chama cha kikomunisti cha china akasema north ni kaka yao na ukaribu na urafiki wao ni kama ulimi na meno
 
Kwa hyo washirika wa KOREA KASKAZINI ni wapi?

Waanzilishi Wengi wa siasa za ukomunisti Kama vile Cuba, Russia, China. Iran naye ni mshirika wake mkubwa Sana katika Kurutubisha Nukilia na Kutengeneza nukes arsenals.

Wenginge ni watu binafsi, mfano: "Mimi hapa".

Uthibitisho ni avatar ya Kim Un na Makomandoo wake.
 
Truth be told, you can't sugarcoat black and say it's pink, it's senseless. NK wangetumia busara za kidiplomasia waombe 'poo' ninachokiona hapa si kuishabikia NK bali kuionea huruma. Kim siku zote anaombwa wayamalize kiutu uzima, yeye anataka tu vita.

Sasa ngoja atiwe adabu iwe fundisho kwa viongozi wanaojifanya wababe.
Aombe poo kwa kosa gani alilolifanya?
 
hivi kuna kifaa cha kisasa cha kivita ambacho US hawana..??..ila mkorea anacho kiwe supplies kwa Us......????
 
Tanzanite klm hivi, bomu la nyuklia unalitunguaje, hivi unaijua nyuklia vizuri ww, hivi unajua nyuklia mpaka mabaki yake yanaua,mionzi yake inaua na kuathiri kabisa cell division, hivi kaka una hata basic knowledge ya modern physics upande wa radioactive material, unaijua half life time period ya hizi radioactive material na hivi ushawahi kujiuliza kwa nini Hiroshima na Nagasaki mpaka sasa hawakai watu. Acha ushabiki hii ngoma ngumu usiwe mtumwa wa hizo tantalila za vyombo vya habari vya magharibi, NK ni namba nyingine kabisa na usijidanganye eti US ndio ina wanasayansi bora kuliko wote duniani, kwa maendeleo ya kisayansi aliyoyafikia NK kwa kuunda vitu vya ke yy mwenyewe, bila kuhitaji msaada wa mtu mwengine, inazihirisha NK anavichwa vilivyoshindikana ktk maswala ya sayansi na teknolojia, hii vita nina uhakika makovu yake hayatafutika wala kusahaulika kwani zitatumika akili nyingi kuliko nguvu na tutaona teknolojia za kivita za hali ya juu zikitumika na US, JAPAN na SK watajuta.
 
Mie nawaonea huruma South Korea maana damage watakayopata ni kubwa sana.....Us hana cha kupoteza sana.....hiyo Seoul....itapigwa makombora mpaka bac...
Mkuu Kuna kitu hukijui kuhusu silaha za kisasa za USA. Kuna satellite NASA walirusha kama miezi mitatu hivi imepita... Kama unavyojua makombora lazima yarushwe either kwenye vituo au magari Maalum.. Hiyo satellite ina sensor ya ku detect kombora lolote linalotaka kurushwa na ku jam kirushio kwa hiyo basi.. Hakuna kombora hata moja litakalorushwa.. Yote yatakuwa disabled! USA ni issue nyingine kabisa kwenye issue za kijeshi huwezi kulinganisha na vitu vya kijinga!
 
North Korea ni kweli ni taifa lenye zana nyingi za kijeshi,na hivi karibuni ame advance sana kutoka uwezo mkubwa wa mizinga hadi sasa kwenye makombora,huyu Bwana anajitapa kuwa na uwezo mkubwa wa jeshi,hilo ni kweli,makombora yake ya Taepodong ambayo ni version mpya ya scud missile anayategemea sana.But all in all hayo makombora yake yoote hayaweZi fua dafu kwa marekani na washirika wake,nakuhakikishia hakuna kombora litafika USA,

Why?.
1.MArekani ameweka mifumo bora zaidi ya ulinzi wa makombora yani Anti ballistic missiles za aina tofauti tofauti maeneo mbali mbali kuizunguka marekani,kuanzia tuu south korea pale marekani kashafunga Terminal High Altitude Area Defense,ambazo zitatungua makombora ya North Korea,achana na patriots,na arow system alizounda kwa ushirikiano na Israel,
Je North Korea atatumia nini?

Jibu ni EMP weapon.
Yani Electromagnetic pulse weapon,
Hili ni bomu la nyuklia ambalo likiwa detonated/lipuliwa nje ya orbit au kwenye orbit ya dunia basi huyuma miale flani ambayo itaharibu vifaa vyote vya electronic plus kuzima na kuharibu mitambo yote ya umeme,wachambuzi wa mambo tunajua hili bomu likipigwa basi tutatudi zama za mawe.

Hili bomu halina madhara kwa binadamu yani maana ya kuwalipua na kutoa moto yani kama ivyo,yani mnashangaa gafla tuu umeme na simu hazifanyi kazi.hata gari haiwaki tena.

North korea ana satellite zake kwenye lower earth orbit south trajectory amabapo ni karibu na USA,mk 3 na MK 4, hofu ni kuwa je huyu kim jong un aja attach Nuclear bombs huko?

Mkuu mimi natofautiana kidogo na maoni yako, kitu cha kwanza Wakorea siyo wajinga kusema wanaweza kurusha makombora yao kama projecticle za kawaida ambazo flight path zake ni highly predictable - Koreans knows how to defeat/beat American anti missile MISSILE in other words American Intergrated Defence System can be beaten, hivi kweli Wakorea wapoteza mabillion ya fedha zao kwenye Research and Development za kuhunda Balistic Missiles zinazoweza kuwa intercepted kirahisi na system za Wamerikani? Come on - Korean Rocket Scientists are no VILAZAS kumbuka hakuna Physics za Kimerikani au Physics za Kikorea zote zinafuata Same basic principles hisipokuwa what counts is how you tinker around na systems zako ku-defeat adui yako basi - hii dhana iliyo jengeka hapa kwamba somehow Wamerika wanatumia nadharia za kisayansi za kutoka mbinguni ambazo Mataifa mengine awana uwezo wa kuzitumia au kuziboresha zaidi hiyo si kweli hata kidogo - hizo ni lugha za wanasiasa na wanajeshi siyo Scientific Community hao ndiyo wanajua ukweli na hawasukumwi na itikadi za ukomunism/socialism na Capitalism au nadharia ya vita baridi - wanasayansi mara zote usema ukweli na mimi nawaeleza ukweli.

Naona hapa unasema Wakorea hawawezi kuhunda ICBMs zinazo weza kuruka mpaka Marekani bila ya kuwa intercepted in mid flight na System za Kimerikani - who told you that? Wakorea wana mbinu nyingi za kudeliver Thermonuclear Payloads mpaka kwenye aridhi ya USA mojawapo ikiwa ni hiyo ya kutumia ICBMs zenye uwezo wa kubadirisha badirisha mwerekeo na hivyo kuwa viguma kuzi track down na kuzi-intercept, mbinu nyingine ambayo ni more deadly ni hii ya kutumia submarine zinazo endeshwa na Dizeli injinis zikishirikiana na electric motors, submarine za type hii hazina kelele hata kidogo, si rahisi kugundurika sina ahakika kila submarini wame-install tubes ngapi zi kufyatulia SLBM lakini aziwezi kuwa chini nane - Wakorea watakacho fanya ni kusafirisha submarini hizo mpaka karibu na West Coast ya USA wakipata amri ya kuvurumisha Submarine Lauched Ballistic Missiles miji yote ambayo ipo within range ya missiles itateketea kutokana na makombora hayo ya nuclear, kumbuka range ya makombora hayo ni kuanzia 1500Km mpaka 2500Km - je, umbali wa kutoka West Caost Mpaka East Coast ya USA ni wa umbali gani - watu watasema hii haiwezekani Amerika ina ulinzi mkali ukiwauliza ilikuwaje tena ndege nne za abiria kuendelea kubaki kwenye anga lao huku zimezima transponders, wamepata taarifa kwamba zimetekwa na magaidi, zinabamizwa moja baada ya nyingine kwenye majengo muhimu lakini jeshi la anga la marekani hawafanyi lolote - je, makombora ya Wakorea si ndiyo yataleta balaa zaidi.

Haya tuje kwenye kwenye THAAD System unazo sema kwamba hakuna kinacho weza kukatiza katika anga zake - una ukweli gani na unacho kisema hapa? - Binafsi sisemi mengi tafuta kwa wakati wako usome kwa umakini makombora ya Urusi na Uchina aina ya Hypersonic speed Missiles e.g Russian 3M22 Zircon na Chinese WU-14 kama kweli system ya THAAD ina uwezo wa kutrack na kuharibu silaha hizo hatari in realtime - tafuta taarifa hizo kutoka huko huko Marekani usikie Wanasayansi, Majenerali na watu wengine weledi wanasema nini kuhusu makombora hayo hatari ya Warusi - version ya kwanza ilifanyiwa majaribio na kufanikiwa ku-hit target zilizo kuwa ambali wa zaidi ya 2,600Km at hypersonic speed,version mpya ya short range imefanyiwa majaribio mwezi March kama sikosei, kama unafikiri THAAD ina uwezo wa ku-defeat a vehicle travelling at Mach5/6 think again - Taifa la Marekani na Washirika wao wako overly worried na makombora hayo hatari ambayo awana kinga ya kuyadhibiti, hivi sasa Amerika nao wako mbioni kufuata nyayo za Warusi na Wachina lakini they still have a long way to go.

Nimalizie kwa kugusia EMP weapons/generators, mkuu mtu yeyote aliyesoma Solid State Physics na Electronics anajua EMP haziana uwezo wa kuharibu system/circuits zinazo tumia Thermoionic Valves, EMP uharibu systems zinazo incorporate semi conductors siyo valves ndiyo maana watu weledi kwenye mission critical systems ziwe silaha, fixed wing planes au choppers wanaweka systems ambazo haziwe kuharibiwa na EMP weapons/generators, Koreans knows that fact si mbumbumbu - huo ndio mchango wangu.
 
Well said, na cha muhimu zaidi hakuna Nchi imewahi kushinda vita kwa kutegemea Airforce tu, boots on the ground ina matter sana sana.
Hivi Umesikia silaha zitakazotumika mkuu.. Ni nuclear bombs mkuu.. Hata sisimizi wanakufa labda uwe na nuclear shelter..au nuclear bunker!ukimbilie huko chini ya ardhi ukajihifadhi. Hiyo issue ya ground force haina mantiki.. Labda waamue kuzichapa kikawaida tu!
 
Mkuu mimi natofautiana kidogo na maoni yako, kitu cha kwanza Wakorea siyo wajinga kusema wanaweza kurusha makombora yao kama projecticle za kawaida ambazo flight path zake ni highly predictable - Koreans knows how to defeat/beat American anti missile MISSILE in other words their Intergrated Defence System, hivi kweli Wakorea wapoteza mabillion ya fedha kwenye research and Development za kuhunda Balistic Missiles zinazoweza kuwa intercepted kirahisi na system za Wamerikani na Wenzake, come on - Korean Rocket Scientist are no KILAZAS kumbuka hakuna Physics cha Physics za Kimerikani au Physics za Kikorea zote zinafuata the same basic principles hisipokuwa what counts is how you tinker around na systems zako kudefeat adui yako basi - hii dhana iliyo jengeka kwamba somehow Wamerika wanatumia nadharia za kisayansi za kutoka mbinguni ambazo Mataifa mengine awana uwezo wa kuzitumia au kuziboresha zaidi si kweli - hizo ni lugha za wanasiasa na wanajeshi siyo Scientific Community hao ndiyo wanajua ukweli na hawasukumwi na itikadi za ukomunism/socialism na Capitalism au nadharia ya vita baridi - wanasayansi mara zote usema ukweli.

Wakorea wana mbinu nyingi za kudeliver Thermonuclear Payloads mpaka kwenye aridhi ya USA mojawapo ikiwa ni hiyo ya kutumia ICBMs, nyingine ambayo ni more deadly ni hii ya kutumia submarine zinazo endeshwa na Dizeli injinis zikishirikiana na electric motors, submarine za type hii hazina kelele hata kidogo, si rahisi kugundurika sina ahakika kila submarini wame-install tubes ngapi zi kufyatulia SLBM lakini aziwezi kuwa chini nane - Wakorea watakacho fanya ni kusafirisha submarini hizo mpaka karibu na West Coast ya USA wakipata amri ya kuvurumisha Submarine lauched Ballistic Missiles miji yote ambayo ipo within range ya missiles itateketea kutokana na makombora hayo ya nuclear, kumbuka range ya makombora hayo ni kuanzia 1500Km mpaka 2500Km - je, umbali wa kutoka West Caost Mpaka East Coast ya USA ni wa umbali gani - watu watasema hii haiwezekani Amerika ina ulinzi mkali ukiwauliza ilikuwaje tena ndege nne za abiria kuendelea kubaki kwenye angani lao huku zimezima transponder wamepata taarifa kwamba zimetekwa na magaidi, zinabamizwa moja baada ya nyingine kwenye majengo muhimu lakini jeshi la anga la marekani hawafanyi lolote - je, Wakorea si ndiyo itakuwa balaa.

Haya tuje kwenye kwenye THAAD System unazo sema hakuna kinacho weza kukatiza katika anga zake - una ukweli gani na unacho kisema hapa? - Binafsi sisemi mengi tafuta kwa wakati wako usome kwa umakini makombora ya Urusi na Uchina aina ya Hypersonic speed kama kweli system ya THAAD ina uwezo wa kutrack na kuharibu silaha hizo hatari in realtime - tafuta taarifa hizo kutoka huko huko Marekani usikie Wanasayansi, Majenerali na watu wengine weledi wanasema nini kuhusu makombora hayo hatari ya Warusi - yamekwisha fanyiwa majaribio na kufanikiwa ku-hit target zilizo kuwa ambali za zaidi ya 2,600Km, Amerika nao wako mbioni kufuata nyayo za Warusi na Wachina.

Nimalizie kwa kugusia EMP weapons/generators, mkuu mtu yeyote aliyesoma SolidState physics na Electronics anajua EMP haziana uwezo wa kuharibu system/circuits zinazo tumia Thermoionic Valves, EMP uharibu systems zinazo incorporeate semi conductors siyo valves ndiyo maana watu weledi kwenye mission critical systems ziwe silaha, fixed wing planes au choppers wanaweka systems ambazo haziwe kuharibiwa na EMP weapons/generators, Koreans knows that fact si mbumbumbu - huo ndio mchango wangu.
Noted,mchango mzuri,
1.hapo kwenye EMP brother je now ni kifaa gani ambacho hakina silicon?,almost 90% ya electronics zina silicon na dunia ni ya elctronic zaidi,madhara yake ni makubwa zaidi hizi EMP weapons,
2.lipo swali wanajiuliza ma intelligencia wengi na watafiti wa mambo,je kama hizi missile za korea ni guided au la?,if ni guided ni nani kampa iyo navigating system tech,USA hawezi mpa GPS,europe hawawezi mpa Galileo mrusi hawezi mpa Glonass na mchina hawezi mpa Beidou. Swali tunalojiuliza katoa wapi hiyo?,.wengi tunaanini hata,hivyo misilles zako sio guided.
3.Taepodong 2 na 3 zote zilifeli majaribio yake ambazo zilikiwa ni ICBM. Ndio maana now yupo bize kuunda ICBM.
4.Stuxnet worm kasha haribu mufumo yake ya computers sana,kwenye program za missiles na vinu vyake
 
Tanzanite klm hivi, bomu la nyuklia unalitunguaje, hivi unaijua nyuklia vizuri ww, hivi unajua nyuklia mpaka mabaki yake yanaua,mionzi yake inaua na kuathiri kabisa cell division, hivi kaka una hata basic knowledge ya modern physics upande wa radioactive material, unaijua half life time period ya hizi radioactive material na hivi ushawahi kujiuliza kwa nini Hiroshima na Nagasaki mpaka sasa hawakai watu. Acha ushabiki hii ngoma ngumu usiwe mtumwa wa hizo tantalila za vyombo vya habari vya magharibi, NK ni namba nyingine kabisa na usijidanganye eti US ndio ina wanasayansi bora kuliko wote duniani, kwa maendeleo ya kisayansi aliyoyafikia NK kwa kuunda vitu vya ke yy mwenyewe, bila kuhitaji msaada wa mtu mwengine, inazihirisha NK anavichwa vilivyoshindikana ktk maswala ya sayansi na teknolojia, hii vita nina uhakika makovu yake hayatafutika wala kusahaulika kwani zitatumika akili nyingi kuliko nguvu na tutaona teknolojia za kivita za hali ya juu zikitumika na US, JAPAN na SK watajuta.
Asante mchango mzuri but mosi yiroshima na nagasaki no miji mikubwa wanayoishi watu mpaka now,wangi hudhani na kudanganyana kuwa zile fat man na little boy ziligeuza ardhi nop,zilikuwa detonated angani sana so zilikuwa thermonuclear,zilisababisha joto la hatari mnoo,likayeyusha vitu na watu,but for your info zile nuclear particles huenda hata kwenye anga ya tz zipo but in trace amount,swhemu pekee nuclear ilihatibu makazi na ecolojia no chenobly ukraine ,nuclear reactor ilipovuja brother moaka ni ghost city hakuna kiumbe anaruhusiwa kukanyaga huko.
2.About EMP weapon/generator ni new weapon maskion mqa wengi,but ni weapon hatari sana inapokuwa detonated kwenye orbit hutuma mionzi flani ambayo huharibu vifaa vyote vya electronic my friend.hivyo hii itasabisha warudi stone age,it destroys power grids na kila chenye silicon.
 
Kwanini amefunga bomba la mafuta kuelekea north wakati north waliwekewa vikwazo,mbona wanapeleka chakula north

2006 kiongozi wa north alienda china na rais wa chama cha kikomunisti cha china akasema north ni kaka yao na ukaribu na urafiki wao ni kama ulimi na meno
Ok,vizuri,ni hivi hata China na Marekani haziivi but ni marafiki wakubwa kibiashara.
Ishu ipo hivi kipindi cha utawala wa Kim Jong il aliona kama China inataka kuingilia nambo yake ya ndani,pia wakaona China kama msaliti baada ya china kufungua masoko na kukaribisha wawekezaji,ambayo ndo imesababisha tuone China ya leo taifa kubwa.basi yule Bwana Kim Jong Il alichofanya ni ku assassinate wale wakorea katika utawala wake waluokua karibu zaidi na serikali ya Beijing,maana walionekana ni pupets. Sijui kama unakua hilo,pia Uchina kwa sasa goal yake ni to be super power hataki vita,anajenga uchumi wake.mkorea akipigana Mchina hataingia
 
Ok,vizuri,ni hivi hata US na Marekani haziivi but ni marafiki wakubwa kibiashara.
Ishu ipo hivi kipindi cha utawala wa Kim Jong il aliona kama China inataka kuingilia nambo yake ya ndani,pia wakaona China kama msaliti baada ya china kufungua masoko na kukaribisha wawekezaji,ambayo ndo imesababisha tuone China ya leo taifa kubwa.basi yule Bwana Kim Jong Il alichofanya ni ku assassinate wale wakorea katika utawala wake waluokua karibu zaidi na serikali ya Beijing,maana walionekana ni pupets. Sijui kama unakua hilo,pia Uchina kwa sasa goal yake ni to be super power hataki vita,anajenga uchumi wake.mkorea akipigana Mchina hataingia
Rekebisha kidogo pale US na Marekani ili tuelewe vizuri.
 
Ok,vizuri,ni hivi hata US na Marekani haziivi but ni marafiki wakubwa kibiashara.
Ishu ipo hivi kipindi cha utawala wa Kim Jong il aliona kama China inataka kuingilia nambo yake ya ndani,pia wakaona China kama msaliti baada ya china kufungua masoko na kukaribisha wawekezaji,ambayo ndo imesababisha tuone China ya leo taifa kubwa.basi yule Bwana Kim Jong Il alichofanya ni ku assassinate wale wakorea katika utawala wake waluokua karibu zaidi na serikali ya Beijing,maana walionekana ni pupets. Sijui kama unakua hilo,pia Uchina kwa sasa goal yake ni to be super power hataki vita,anajenga uchumi wake.mkorea akipigana Mchina hataingia
USA saizi anatawala Japan na s.Korea ,eneo lile USA ana tawala vipi north akivamiwa ,je china atakubali mwambao wake wote akae USA tu

China sasa hivi wana upinzani na uadui na S.Korea sababu ya USA

Halafu kingine USA akifanikiwa kumpiga Kim ,na akaichukua ile nchi basi China atakuwa amezungukwa kila sehemu na usa maana Japan ,s.Korea ,north je china itakubali

No matter what china hatokubali ,USA azidi kujichimbia eneo lake
 
Mleta Uzi

Did you eat stupidity for breakfast?

Ulinganifu gani sasa huo unaokufanya useme N Korea atampiga America wakiingia vitani?

Wewe ungekuwa askari ungetakiwa uwe chambo tu maana kwenye strategy ya vita haufai kuchangia mawazo yoyote. You are dumb

Nyani Ngabu ameeamua kukuita (na wrote wanao-support) nyumbuz
 
Back
Top Bottom