Hili swala la kusema eti North Korea ametengwa binafsi naona ni uongo kwasababu zifuatazo
(1)Juzijuzi tu ndo china ilizirudisha meli za North Korea zikiwa zimepeleka makaa ya mawe kuyauza china. Mwenye akili ajiulize, utasemaje North Korea ametengwa huku akiendelea kufanya biashara na China yenye uchumi wa 2 kwa ukubwa duniani? Mimi naamini kama china ataanza kuweka mbinyo wa Kiuchumi kwa North Korea basi hata miaka 3 haitoisha utawala wa Kim utafail.
Hakuna taifa lolote duniani lenye uwezo wa kujitegemea hata USA au China hawawezi
(2)Kuhusu technology ya North Korea kutengeneza makombora ya Nyuklia, je how sure are you kama Wachina hawahusiki? Huenda hayo makombora yametengenezwa kwa usaidizi wa China na Urusi, but not sure.
(3)Naona kwa sasa tunaziona South Korea na Japani kama wachovu wasio jiweza kijeshi. Je, hivi tunafikili hao Wajapani hawana technology ya kutengeneza hayo Makombora ya Nyuklia? Huenda tu wanaheshimu mikataba ya kimataifa, ila endapo vitisho vya North Korea vitaendelea kwa Wajapani huenda nao wakaanza kutengeneza hayo Makombora ili kujihami.